Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Basi nitakuwa naijua ila najisahaulisha!!Tarehe haifichiki rafiki... Ipo wazi kabisa!
Hebu niambie kigezo namba moja cha kuwa mchaga jamani!
Kigezo cha kwanza ;pale pindi uonapo pesa popote lazima akili iruke kidogo na uitamani kuipata


