Mimi ni Lawyer mzoefu, nimejua unakoelekea mkuu, na husninyo tayari ashakula mahari yangu
Mwalim wangu wa jiografia alikuwa anajipodoa sana nilikuwa simuelewiafrica ipo bara la ulaya, uakuwa kama hujasoma jogolafia.
yaani humu kuchakachua ndio mwake mwake. hebu mwamshe mjomba akuje pande hizi.
kuchakachua is over, back to the topic.
Hivi unazani JF tukigoma sisi wanaotuita wachakachuzi hakyanani kwa siku nzima JF kutakuwa kunapostiwa post 20 tu tena ule muda wa ofisini. Usiku atabaki invisible na PAW wanaedit sheria tu
hehehe mkuu hizi janja zako ni vere famous hapa mjinikisu changu ni butu, wala usitie shaka.
Mwalim wangu wa jiografia alikuwa anajipodoa sana nilikuwa simuelewi
Alleluyah, dua yangu imekubaliwa, njoo PM nikufarijihusninyo ni mjane anaugulia maumivu ya kuachwa na uporoto. kesho lazma niende global publishers nipeleke habari.
Mjombako hana ubavu wa kuja hapa.. kafuruliza saana safari, na kazi zimemtinga... Kalala siku nyiiiingi.....lol
Copy ya hiyo post tayari nimeifoward kwa mods.Nashukuru umeliona hilo.... lol...
Alleluyah, dua yangu imekubaliwa, njoo PM nikufariji
Tutakesha pamoja manake namimi kile kibarua cha kulinda nite club kimeanza rasmi leo.mwache alalae, mimi leo silali nina appointment na mtu humu.
nitaripoti abuse we endelea uone.
Tatizo ni kwamba woote wenye tabia hio hudhania hawana...
Tutakesha pamoja manake namimi kile kibarua cha kulinda nite club kimeanza rasmi leo.