klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
khaaaaa! Mzee banavipi dada ujio wako kwangu ni faraja.
khaaaaa! Mzee banavipi dada ujio wako kwangu ni faraja.
unamaanisha na mimi kuna watu nawakwaza humu jf?
Nani kakudanganya mie mwafrika? Infakti afrika sjui hata iko bara gani, hebu icheki kwenye atlas halaf niPMmiafrika ndivyo mlivyo.
hivyo eeeh! sante. vipi, shwari? mzuka full fullulu? wanaokukera wote niandike majina yao na ya ukoo wao.vipi dada ujio wako kwangu ni faraja.
africa ipo bara la ulaya, uakuwa kama hujasoma jogolafia.Nani kakudanganya mie mwafrika? Infakti afrika sjui hata iko bara gani, hebu icheki kwenye atlas halaf niPM
Nina swali wajameni.... Ukiona thread inakupa raha kusoma kama hii ndo kuchakachua kwenyewe?? Maana hapa tu ipo robo the team i.e Husny, Klorokwini, AshaDii, MTM na twawakilisha....lol... after all its chit chat.
Nina swali wajameni.... Ukiona thread inakupa raha kusoma kama hii ndo kuchakachua kwenyewe?? Maana hapa tu ipo robo the team i.e Husny, Klorokwini, AshaDii, MTM na twawakilisha....lol... after all its chit chat.
naogopa na wewe watakukera.
Mimi ni Lawyer mzoefu, nimejua unakoelekea mkuu, na husninyo tayari ashakula mahari yangumbona umecheka mkuu. Au haufurahii mwenzio nikipata faraja.
hiyo jiografia uliyosoma ni ya zamani. Hilo bara lime expire siku nyingi.
Hivi unazani JF tukigoma sisi wanaotuita wachakachuzi hakyanani kwa siku nzima JF kutakuwa kunapostiwa post 20 tu tena ule muda wa ofisini. Usiku atabaki invisible na PAW wanaedit sheria tuNina swali wajameni.... Ukiona thread inakupa raha kusoma kama hii ndo kuchakachua kwenyewe?? Maana hapa tu ipo robo the team i.e Husny, Klorokwini, AshaDii, MTM na twawakilisha....lol... after all its chit chat.
nini maana ya kuchakachua?