RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Tanzania ni taifa ambalo tumekuwa gizani sana kuhusiana na sheria zetu/ katiba yetu inayolinda viongozi wa juu wa umma kutoshitakiwa pindi wanapofanya jinai katika utumishi wa umma, hii inawafanya kupuuza wananchi waliowachagua kutekeleza ya kwao katika utumishi wao na siyo ya wananchi
Tumeona awamu zote zinapita kwa kashifa mbalimbali ya mikataba tata yanasemwa tu lakini hakuna maamuzi na hata umma ukisikia fedha zimeibwa walio wengi nikupongezana na kuambiana kwamba chukua chako mapema maisha ni hayahaya, ifike tuseme kwamba zama zimebadilika hakuna aliyejuu ya sheria binadamu wote ni sawa viongozi hao siyo mungu kiasi kwamba wanafanya mema katika nchi,
Ombi langu kuna kila sababu ya kufuta sheria hizo ili viongozi waliopo madarakani wajue wanachotakiwa kukifanya katika utumishi wao , waliowengi tumeona wamelitia hasara taifa hili kwa mambo mbalimbali yabayohusu mikataba mbalimbali, jambo hakuna sababu yakulifumbia macho mbele ya jamii ya watu milion 61.3 sheria ifutwe haraka haina afya katika taifa hili , wanasiasa walio wengi badala ya kutumikia wananchi wengi wamebaki kupongezana kwa manufaa yao wenyewe huku waliowengi wakiumia
Ni wakati wa kuamka tuache kulala nchi hii hakuna aliyejuu ya sheria kilasiku wanafanya mabadiliko ya sheria mbalimbali lakini oneni wenyewe hilo eneo hawaligusi kabisa kwani wanajuwa ni mwiba kwao, nimeshuhudia mabadiliko ya sheria mbalimbali zenge mapungufu lakini eneo hilo limefumbiwa macho ni wakati sasa swala hili kulipigia kelele kabla nchi yetu haijakongoroka na mapapa hawa wa wezi wa mali za umma.
Tumeona awamu zote zinapita kwa kashifa mbalimbali ya mikataba tata yanasemwa tu lakini hakuna maamuzi na hata umma ukisikia fedha zimeibwa walio wengi nikupongezana na kuambiana kwamba chukua chako mapema maisha ni hayahaya, ifike tuseme kwamba zama zimebadilika hakuna aliyejuu ya sheria binadamu wote ni sawa viongozi hao siyo mungu kiasi kwamba wanafanya mema katika nchi,
Ombi langu kuna kila sababu ya kufuta sheria hizo ili viongozi waliopo madarakani wajue wanachotakiwa kukifanya katika utumishi wao , waliowengi tumeona wamelitia hasara taifa hili kwa mambo mbalimbali yabayohusu mikataba mbalimbali, jambo hakuna sababu yakulifumbia macho mbele ya jamii ya watu milion 61.3 sheria ifutwe haraka haina afya katika taifa hili , wanasiasa walio wengi badala ya kutumikia wananchi wengi wamebaki kupongezana kwa manufaa yao wenyewe huku waliowengi wakiumia
Ni wakati wa kuamka tuache kulala nchi hii hakuna aliyejuu ya sheria kilasiku wanafanya mabadiliko ya sheria mbalimbali lakini oneni wenyewe hilo eneo hawaligusi kabisa kwani wanajuwa ni mwiba kwao, nimeshuhudia mabadiliko ya sheria mbalimbali zenge mapungufu lakini eneo hilo limefumbiwa macho ni wakati sasa swala hili kulipigia kelele kabla nchi yetu haijakongoroka na mapapa hawa wa wezi wa mali za umma.