Pamoja na jibu lako zuri mwongezee na ujumbe huu kwamba akamuulize huyo aliyekataza hiyo mikutanoWabunge ni wajumbe kwenye vikao vya madiwani na wanatakiwa kushiriki kikamilifu katika vikao hivyo. so wanayoyazungumza huwa wanayatoa kwenye hivyo vikao