Pole Mchaga! Ukitaka kuiba unabadilishaga hata jina na kukana hata kabila lako! Ngosha wa kujitangaza namna hiyo anatafuta nini Arusha?
mkuu vuta subira tuko nje ya a twn mpaka next week. karibu sana
Julisha ulipo mkuu
Moshono?
Kijenge juu?
Tengeru?
Usa?
Kimandolu?
Njiro?
Unga lmted?
Sekei?
Sanawari?
Mianzini?
Sakina?
Majengo?
Ngarenaro?
Mbauda?
Sombetini?
Olasiti?
Fild force?
Kwa Mrombo?
Atakuwa Ngalelooo au Matejoo!
Usijali, nitakucheck kesho.
Kwani ulisikia Arusha ni ya wachaga tu
Huo utaratibu tu wa kutafuta kukusanyika kwa mzengwe ulioweka mtandaoni unanuka ukabila, na mpaka sasa ukabila ni hulka ya Wachaga, ushahidi ni wa kutosha na si kwa kuzushiana lawama kama unavyofanya wewe.
karibu sana ngosha2011.........umekuja wakati mgumu sana....wengi wetu tupo kwenye luna de miel.....poyeeeeeee.........
Sijakuelewa maana mi ni msukuma ila kwa sasa nipo arusha kikazi
Hata ningekuja mimi mngenitosa hivi. Niambieni angalau mngejaribu kukopa tafazali.
Utakuepo hadi lini? Nipo Moshi kidogo ila nadhani Arusha One atakutafuta ndo maeneo yake hayo.
njoo hapa kaloleni kuna bar inaitwa toroka uje....
Basi pole kwa sababu umejiunga na makabila yanayopenda kujiita Elizabeth Michael ili wasijulikane kuwa wao ni Wapare. Watu hao wakitokea kwenye mtandao hujiita "Ngosha" ili watu wasikose imani nao. Anajua akijiita Malya watu wengine wote watamkimbia abaki na Wachaga wenzake tu.
Nashangaa maana mi nipo full kwa mfuko tatizo ni kampani tu
Hata ningekuja mimi mngenitosa hivi. Niambieni angalau mngejaribu kukopa tafazali.
Kwa waliopo arusha,unaweza kunicheki kwa PM ili tukutane angalau tufahamiane
Nipo hapa picnic kuna kampani kutoka hapa hapa Jf