Sio maji tu, umeme, uporaji wa ardhi na viongozi wa halmashauri jiji, kutosikilizwa wananchi, huduma mbovu za afya.Upatikanaji wa maji hapa Jijini Mwanza hauridhishi hata kidogo na tunapenda kuitaarifu Serikali ya CCM kuwa kama hali hii itazidi kuendelea na sisi tutarudisha kadi za CCM kama maeneo mengine.
we unadhani kwanini ccm inashinda wanawapiga kura loyal sio mdomo mdomo kwenye field ya siasa wako very committedKumbe kuna watu mna kadi za CCM?
Umevurugwa asubuhi tuUpatikanaji wa maji hapa Jijini Mwanza hauridhishi hata kidogo na tunapenda kuitaarifu Serikali ya CCM kuwa kama hali hii itazidi kuendelea na sisi tutarudisha kadi za CCM kama maeneo mengine.
Nyie wasukuma vipi! Mnashindwa kununua mipira ya maji na kuitumbukiza ziwani mnasubiri serikali iwaletee maji!Upatikanaji wa maji hapa Jijini Mwanza hauridhishi hata kidogo na tunapenda kuitaarifu Serikali ya CCM kuwa kama hali hii itazidi kuendelea na sisi tutarudisha kadi za CCM kama maeneo mengine.