Kama ungepewa urais ungeanza wapi kunyanyua hali za wananchi?

Atanaye, sijakusahau! But you have expounded on what I had responded and I need to revise.
I agree that I was too sloppy in saying that what you wrote is 'vague' - poor choice of words!
Nadhani umejibu na hoja nzito maswali yangu lakini naomba nizungumzie suala moja la kodi!
Na kuhusu makampuni nitafanya vinginevyo kwani sasa ndio waliosamehewa makodi haya na hakuna ajira kwa mtanzania!
Hii ni kweli kwa baadhi ya makampuni tu, tena ni yale makubwa! Makampuni madogo na ya kati ambayo ndiyo yanayotoa ajira kwa wananchi hawapewi misamaha! I am speaking from experience!
Kodi inayolipwa na kampuni ni kubwa mno, maana kuna NSSF, income tax na madudu mengine mengi. Also overheads ni kubwa sana kutokana na matatizo ya miundombinu. Kwa mfano kampuni yangu unaweza kusema ni SME lakini wafanyakazi wangu wote nawalipia private health insurance kwa sababu nimegundua in fact I save money if they get quality health care kwani hawaugui ovyo, watoto wao wanapata matibabu mazuri kwa hiyo mamao hatoki all the time kumpeleka mtoto hospitali, but still ni gharama!
Lakini nashangaa SMEs hatuthaminiwi. Serikali inaangalia wawekezaji wakubwa tu! Wao pia ni muhimu sikatai but we need to give priority to SMEs na family businesses (that was the essence of Reaganomics BTW)
 
Mzalendohalisi, nimecheka sana! Kwa kuandika hivyo una maana kwamba umepanga kuwa rais kwa miaka 20? Umekuwa Musharaff? ;)
Kwa bahati mbaya if all goes well, una miaka 10 tu kuwa rais. Je utaweza kuyatimiza haya yote ndani ya miaka 5 - 5?
On a more serious note:
Nakubaliana na wewe ya kuwa misaada ndiyo chanzo kikubwa cha Tanzania kutopata maendeleo na ndiyo maana baadhi ya nchi zilizopata misukosuko kama vita n.k. wakijakutulia wanapata maendeleo sana look at Vietnam, Angola (fastest growing economy in Africa! 20 something percent per year!) Tatizo ni kwamba we are very dependent so we have to be weaned off. Ule msamaha aliou-achieve Mkapa was a good step lakini tumerudi nyuma tena, we have to maintain fiscal discipline!

Susuviri,
Siyo Musharaf wala- ni ngumu kuangalia our priorities in a span of 5 to 10 years- let us be realistic! My vision will be in 20- 30 years, nikushatawala 10 years basi wengine wanendeleza! Tambua muhimu ni Good Foundation kama kwa Mfano Malysisia na Singapore!
Moja nililosahau- ningekuwa diktator for the 1st 5 years so as kuleta discpline ya Watz wafanye kazi, kutetea utawala wa sheria na kupigana na rushwa. Hii pia ingesaidia kutofautisha siasa na kazi na uchumi. Katika ofisi nyingi za serikali watu kelele tu- hakuna tija- yet wanataka mshahara mkubwa. Sera yangu in 1st 5 years- hakuna kuzalisha- hakuna mshahara!
Watz tumekuwa wavivu- vijiji watu wanlima robo heka, watu hawataki kujenga vyoo vyao- je unadhani hapa kuna haja kuwabembeleza? Hakuna maendeleo ya kweli popote duniani yaliyokuja kwa watu kutofanya kazi- angalia US, Europe n.k
Mwanzoni wananch wanweza wasinielewe- ila baada ya 10 years maendeleo yatakuwepo!
 
MADELA WA MADILU,
Kwa nini uwapeleke vijana nje ya nchi- kwa nini usiimarishe vyuo vilivyopo na kuanzisha vingine? Kisha ajiri Waaalimu wazuri toka nje- ili kujenga uwezo wa ndani?

Ndiyo maana nimesema Vipanga.
Watu wenye uwezo mkubwa darasani nitawasomesha nje wale wenye uwezo wa wastani watasoma hapa nchini.

Ni rahisi kujifunza uhunzi na siri zake nyingi ziizungukayo kazi hiyo ukiishi na muhunzi mwenyewe.
 
Tuna uwezo wa kuzarisha chakula chetu wenyewe na kuuza ziada nje kama tutaachana na kilimo cha jembe la mkono na kujiimarisha kwenye kilimo cha kutumia machine.
Pia ni lazima tuwe na viwanda vyetu wenyewe vya kutengenezea mbolea.
Nashangaa kabisa nchi isemayo kilimo ndo uti wa mgongo wa uchumi wa taifa inakubali kiwanda chake cha mbolea kife kifo cha mende.

Hata kama matrekta mapya hatuwezi mudu kwa nini tusiingize matrekata Used?
Mawaziri hata rais wetu mwenyewe wanatembelea na kutukoga na magari used kwa nini tusilime kwa matrekta used tukapata chakula fresh na kuacha kula vipolo vya makopo kutoka Brazil?
Trekta used hapa Marekani Massey Ferguson, Ford John Deer na Fiat bei zake zina Range kutoka $3500- $10,000 kutegemeana na ukubwa wa trekta na upya wake.




Hatutaweza vutia wawekezaji wowote mpaka hali ya umeme na maji iwe ya uhakika kwa 99%


Pale TRA kuna mchezo wa kiibilisi unanunua machinery toka nje kwa $5000.00 ukifika pale unachajiwa $7000.00. Sababu inakuwa eti wamechunguza bei ya hiyo mashine na kukuta ni $35,000.00.
Kunamachinery ngapi hapa first world wanaziuza kwa token price kwa vile ziko nje ya technolojia iendayo na muda?
magari mengi yanauzwa chee kabisa kwa kushindwa kumeet STD za huku na si kwa sababu ni mabovu
Hii yote inafanyika ili utoe $1000.00 pembeni na kulipa $700 serikalini

Nani azalishe ndani ya nchi alipe kodi kubwa wakati umeme shida maji shida na usumbufu kibao kutoka kwa watendaji wa serikali, wakati akiagiza bidhaa nje anakula na TRA kisha anuza kwa faida?

Kuku wanaagizwa toka Brazil?
hapa Marekani tu pamoja na restriction zao kuku wanalishwa kila aina ya sumu ili wakue haraka!
Sasa nchi kama Brazil ambayo mtaani ujambazi na uharamia ni kama kazi siwatalishwa vidonge vya majira ili wakue na kuongezeka uzito?
Uzuri nikwamba vingunge na mafisadi ndio walaji wa nyama kutoka nje pengine na wale akina Kilajambokuiga.
Hata Togwa tunaagiza kutoka nje?
Machungwa ?ndizi? nyanya?.
Hata Mapisto yule kichaa wa miaka mingi pale dar machale yangemcheza angekuwa Mr President.

Sisi hatutakiwi kuanza kufanya basic research bali tunatakiwa kuendelea pale wenzetu walipo sasa hivi.

Mtu anamaliza UDSM digirii ya Engineering anachowekudesign ni machine ya kufyatulia tofari au machine ya kukamulia mafuta tena kwa kiwango cha teknolojia ya 1800 huko Europe.

Kwa bahati mbaya kwa miaka mingi tumekuwa tukijisifia wenyewe kwamba digirii ya UDSM ni kali sana na digirii ya India ni mbuzi, sijui ni kwa ulinganifu upi?
Tunasahau kwamba vijana wanaongia UDSM wengi ni wale Cream kutoka high school kwa hiyo pengine tunadhani wakitoka watakuwa cream pia.
Kwa kiwango cha maendeleo tuliyo nayo sasa Tanzania ni vema kusomesha watu wengi nje kwa makusudi na nia ya kuhamisha technolojia na kuruhusu wapate exposure kubwa ya Technolojia kabla ya kurudi nyumbani na kuendeleza uzoefu wao.

Japan, India, China, Malaysia, Indonesia, Korea na Taiwan walifanya hivyo kabla ya kujenga uwezo wa university zao za ndani.

Kuita wataalamu kuja kufundisha vijana wetu nalo ni jambo zuri tu, hatahivyo watalaamu hao watafundisha sehemu tu ya ujuzi walio nao. Wakati kupeleka vijana wetu wakasome na kujichanganya na wenzao katika nchi zilizo kubuhu katika viwanda kutawapa uhuru wa kujifunza kila kitu bila pingamizi lolote.

Wengine tupo hapa unyamwezini tunafanya kazi katika viwanda vya mitambo ya Cutting Edge Technology ambayo mtaani watu wengi wanajifanya wanaijua vema mitambo hiyo na kutoa stori nyingi sana" Ile process ya nahii wanananihii kisha nahiii zinatengezwa easy! Watu wanatengeneza pesa"
Ukweli ni kwamba siri nyingi za mitambo ya viwanda vya dunia ya kwanza ni mpaka uje ujionee mwenyewe. Huwezi jua siri hii kwa kufika na kulala mwezi mzima Hotel za 5 star za Hyatt huku ukipapaswa na warembo wa dunia au kubeba mabox na kumalizia fedha yako ya ugumu wote ulevini na kuipa lkisogo shule.
Kwa mfano mitambo mingi ionyeshwayo magazetini juu ya hii Technolojia ya mahali nifanyapo kazi ni ya miaka ya 70 wakati hapa tuna mitambo ya model ya mwaka 2005 ambayo inakufanya mtu ujiulize sisi Tanzania kama nchi tunaelekea wapi kitechnolojia.
Naongea kwa uzoefu,hizi si stori za kubeba mabox.
Tanzania nimeishi nakufanya kazi kwa muda mrefu na sasa naishi hapa Unyamwezini najionea mwenyewe mambo haya mazito kila siku.

Ni rahisi kuunda injini lakini si rahisi kuunda injini inayo dumu na kumudu kila Stress na Strain.
Ni rahisi kufua chuma lakini si rahisi kufua chuma chenye strength uitakayo.
 
Madilu,
1. Taabu kubwa asilimia kubwa ya Wale wanaoenda (vipanga) nje kupata elimu hiyo kubaki huko huko (pull factors)- bado nadhani ni vema kujenga uwezo wa vyuo vyetu- na kuwaleta hao waalimu hapa. Wachache tu waende nje.

2. Sidhani kama unaongelea high tech. industrialization wakati hakuna umeme na barabara- tunahitaji the type of industrialization to transform mazao ya kawaida kwanza into finished products! Je tunaweza kupaa wakati bado tunatambaa? Ndo nikasema in the 1st 10 years I will not prioritise in industralization- nitaimprove infstructure, umeme, huduma za jamii n.k. as preconditions for Industrlization in phase II i.e next 10 years!

3. Mengine uliyosema hapo juu naafikiana na wewe!
 
UDSM pekee ina zaidi ya ya wasomi 1000 ilio watimua kazi kwa kosa la kuomba Extension ili wajijenge kiuchumi na kimaarifa.
Nchi za wengine mtu hafukuzwi ualimu wa Univesirsity anabadirishwa na kuitwa Visiting Professor.

Kisa kikubwa cha kufukuza wasomi hao ni kuhakikisha wao wazee wanabakia kuwa na majina pale UDSM hata kama gharama yake ni kifo cha STD ya Elimu.
Research hawafanyi na wanafundisha Technolojia ya miaka ya 70.

High Tech haina maana ya complication ina maana ya Efficieny na best possible ways of doing the same thing.

Unaweza jaza sumu za kuhifadhi chakula ndani ya kopo la nyanya au ukatumia Nuclear Technology kuhakikisha chakula kinabakia fresh.
 
UDSM pekee ina zaidi ya ya wasomi 1000 ilio watimua kazi kwa kosa la kuomba Extension ili wajijenge kiuchumi na kimaarifa.
Nchi za wengine mtu hafukuzwi ualimu wa Univesirsity anabadirishwa na kuitwa Visiting Professor.

Kisa kikubwa cha kufukuza wasomi hao ni kuhakikisha wao wazee wanabakia kuwa na majina pale UDSM hata kama gharama yake ni kifo cha STD ya Elimu.
Research hawafanyi na wanafundisha Technolojia ya miaka ya 70.

High Tech haina maana ya complication ina maana ya Efficieny na best possible ways of doing the same thing.

Unaweza jaza sumu za kuhifadhi chakula ndani ya kopo la nyanya au ukatumia Nuclear Technology kuhakikisha chakula kinabakia fresh.

1. Hicho kizazi (generation) ya Viongozi UD uliotoa mfano ndo mda wao umefika mwisho na wanastaafu! Sijui kama ni sera ya serikali to frustrate wataalamu wanaopata skills nje ya nchi- those are case specific issues which can be addressed- they are policy and management issues za UD which need managment decisions!

2. Over High tech naafikiana na wewe- tupe tu mfano wa hali halisi kwa mazingira ya sasa Tz in goods and service provision especiaaly for export!
 
Taabu kama nchi tumeweka vipaumbele vingi mno wakati mmoja! Tunashika kila kitu at the end we achieve so little! Hayo wawazo kuwaondoa mawaziri wote na Makatibu wakuu wote na kuweka wapya ni hadithi za Alinacha- as a country you need stability and peace na siyo kulipiza kisasi au kukomoana!
This is how I would prioritize:

A: Priorities 1st 10 Years
1. Chakula cha kutosha (Green/Food Revolution)
2. Massive Investment in Education haswa ufundi vijijini
3. Investment in health
4. Ujenzi wa barabara
5. Massive Investment in reliable energy
6. Kuhakikisha nakusanya kodi toka 40% or less kwa vyanzo vya sasa to 80% or more in 10 years

B: Priorities 2nd 10 years
1: Promote industrialization
2. Promotion of tourism
3. Cut off of external AID (to support budget) unless for humanitarian reasons
4. E.t.c

Muhimu baada ya miaka 10 ya mwanzo ni kukataa misaada- je humjatambua kuwa Misaada ndo inatudumaza? When 40% of budget ni AID- you can not prioritise independently, wakati serikali inakusanya only 40% ya vyanzo vya mapato kwa sasa!

mzalendohalisi umeeonyesha Vision ipo!
Na mimi niliogopa! 20-years! nitakuchagua kwa aka 10 tu
na kama ndio chama chako basi watamalizia priority B! Ntampa kura mwanavision mwingine amalizie 10 zilizobaki!
 
Moja nililosahau- ningekuwa diktator for the 1st 5 years so as kuleta discpline ya Watz wafanye kazi, kutetea utawala wa sheria na kupigana na rushwa. Hii pia ingesaidia kutofautisha siasa na kazi na uchumi.

Mkubwa hapa umeongea point kali mno, ambayo wengi hawatapenda waisikie. Bila udikteta nchi za Africa haziwezi kupiga hatua hata siku moja. Hapa naongelea madikteta wenye uchungu wa nchi, wanaotawala kwa maslahi ya nchi yao.

Adui mkubwa wa maendeleo ya Tz na Africa kwa ujumla ni demokrasia inayoruhusu wapumbavu kujaa bungeni, inayoruhusu kura kuwa bidhaa adimu, inayoruhusu watu wa nchi moja kuangalia zaidi utofauti wa kiitikadi badala ya umoja wa nchi yao uliokuwa embeded na tamaduni, fikra na mila zao. Leo hii watanzania wanaulizana maswali ambayo kamwe hawakuulizana wakati wa dikteta Nyerere (RIP)...."mwenzangu chadema au CUF?" Yaani sasa nguzo ya umoja imeyeyushwa na hii kitu demokrasi. Tayari hisia zinatanda kwamba Chadema ni 'chama cha wachaga', 'CUF cha waislamu' yaani athari za demokrasia ya vyama vingi sasa inafanya yale mambo ambayo mwl Nyerere aliyakataza: ukabila!!!

Demokrasia ndio inayofanya maraisi wetu wajilimbikizie mali...it is so simple..kama raisi ana miaka 10 madarakani, kwanza lazima ataiba kabla ya muda wake, pili long-term policies za kuendeleza taifa kwa miaka zaidi ya kipindi chake haya mpango kwake. At the end of the day, Tz as a whole loses.

Viongozi waliochaguliwa kidemokrasia, wanahofia kura zaidi kuliko kuhofia majukumu waliyonayo katika kuwaendeleza wananchi. Matokeo yake kura inakuwa bidhaa, siasa na uongozi vinabadiri sura na kuwa sawa na kazi nyingine za kawaida zinazotegemea umairi wa kuongea kwenye interview kuliko ubora wa mwongeaji.

Uongozi ndani ya demokrasia unakuwa sawa na mchezo wa mbio za vijiti. Kila mtu kwenye mstari ana haki na chances sawa za kupewa kijiti akimbize. Hata kama hana miguu!! Anayemaliza mbio sheria inamtaka hasiendelee kukimbiza kijiti, hata kama amekimbiza vizuri na kuleta ushindi kwa timu yake. Upumbavu mtupu!

Ningekuwa rais? Ningekuwa dikteta, dikteta anayejali maslahi ya taifa. Ningeondoka madarakani pale tu napoona nimeshindwa ku-deliver, sio uzee, wala sio kwa kura za wenye uchu wa kukimbiza kijiti. na nchi ingeendelea. Nyerere alifanya hivi na tuliona matokeo, tumejaribu mambo mapya na sasa tunakiona. Udikteta ndio suluhisho.
 
Mkubwa hapa umeongea point kali mno, ambayo wengi hawatapenda waisikie. Bila udikteta nchi za Africa haziwezi kupiga hatua hata siku moja. Hapa naongelea madikteta wenye uchungu wa nchi, wanaotawala kwa maslahi ya nchi yao.

Adui mkubwa wa maendeleo ya Tz na Africa kwa ujumla ni demokrasia inayoruhusu wapumbavu kujaa bungeni, inayoruhusu kura kuwa bidhaa adimu, inayoruhusu watu wa nchi moja kuangalia zaidi utofauti wa kiitikadi badala ya umoja wa nchi yao uliokuwa embeded na tamaduni, fikra na mila zao. Leo hii watanzania wanaulizana maswali ambayo kamwe hawakuulizana wakati wa dikteta Nyerere (RIP)...."mwenzangu chadema au CUF?" Yaani sasa nguzo ya umoja imeyeyushwa na hii kitu demokrasi. Tayari hisia zinatanda kwamba Chadema ni 'chama cha wachaga', 'CUF cha waislamu' yaani athari za demokrasia ya vyama vingi sasa inafanya yale mambo ambayo mwl Nyerere aliyakataza: ukabila!!!

Demokrasia ndio inayofanya maraisi wetu wajilimbikizie mali...it is so simple..kama raisi ana miaka 10 madarakani, kwanza lazima ataiba kabla ya muda wake, pili long-term policies za kuendeleza taifa kwa miaka zaidi ya kipindi chake haya mpango kwake. At the end of the day, Tz as a whole loses.

Viongozi waliochaguliwa kidemokrasia, wanahofia kura zaidi kuliko kuhofia majukumu waliyonayo katika kuwaendeleza wananchi. Matokeo yake kura inakuwa bidhaa, siasa na uongozi vinabadiri sura na kuwa sawa na kazi nyingine za kawaida zinazotegemea umairi wa kuongea kwenye interview kuliko ubora wa mwongeaji.

Uongozi ndani ya demokrasia unakuwa sawa na mchezo wa mbio za vijiti. Kila mtu kwenye mstari ana haki na chances sawa za kupewa kijiti akimbize. Hata kama hana miguu!! Anayemaliza mbio sheria inamtaka hasiendelee kukimbiza kijiti, hata kama amekimbiza vizuri na kuleta ushindi kwa timu yake. Upumbavu mtupu!

Ningekuwa rais? Ningekuwa dikteta, dikteta anayejali maslahi ya taifa. Ningeondoka madarakani pale tu napoona nimeshindwa ku-deliver, sio uzee, wala sio kwa kura za wenye uchu wa kukimbiza kijiti. na nchi ingeendelea. Nyerere alifanya hivi na tuliona matokeo, tumejaribu mambo mapya na sasa tunakiona. Udikteta ndio suluhisho.

Mgonjwaukimwi,
Good reflexions!
1. Saa ingine naona Western democracy- is luxury kwa Afrika! It took many years to mature in Europe and was preceeded by Economic Industrial Revolution! Africa inakuwa democracy kwanza na 'freedom' to demand rights from government- then uchumi! Haiwezekani! As Mwal. said Uhuru ni kazi- siyo siasa!
Angalia China model- sii mambo ya Democracy ya Magh. ni Ukomunist na kazi na discpnile kwanza- na utaifa mbele! Taabu kubwa- madiktator wazalenzo Africa baadae kupata tamaa na kubadilika! Au hupigwa vita ndani na nje kwa manufaa binafsi!

2. We need something in between Western democracy na udictator or pure dictatoship kwanza. Vyama vingi, na western democracy zinakuwa kama 'Social experiments' in African countries- hii inaendeleza wao kututawala kiulani.

3. Lastly mbona wapo viongozi kama M7, Paulo Biya na Omari Bongo ni madiktator kwa jinsi fulani-(sijui kama wana uchungu na nchi zao) nao wote wametawala over 20 years! What went wrong?
 
Mgonjwaukimwi,
Good reflexions!
1. Saa ingine naona Western democracy- is luxury kwa Afrika! It took many years to mature in Europe and was preceeded by Economic Industrial Revolution! Africa inakuwa democracy kwanza na 'freedom' to demand rights from government- then uchumi! Haiwezekani! As Mwal. said Uhuru ni kazi- siyo siasa!
Angalia China model- sii mambo ya Democracy ya Magh. ni Ukomunist na kazi na discpnile kwanza- na utaifa mbele! Taabu kubwa- madiktator wazalenzo Africa baadae kupata tamaa na kubadilika! Au hupigwa vita ndani na nje kwa manufaa binafsi!

2. We need something in between Western democracy na udictator or pure dictatoship kwanza. Vyama vingi, na western democracy zinakuwa kama 'Social experiments' in African countries- hii inaendeleza wao kututawala kiulani.

3. Lastly mbona wapo viongozi kama M7, Paulo Biya na Omari Bongo ni madiktator kwa jinsi fulani-(sijui kama wana uchungu na nchi zao) nao wote wametawala over 20 years! What went wrong?

I think that it is dangerous to walk down that path to any form of dictatorship! Unajua hata akina Idi Amin na Bokassa walijiona kwamba ni visionaries na wanaitakia mema nchi yao.
You also touched on the Chinese example, I have been there several times na ninadhani wengine pia hapa JF, not all is rosy kama tunavyodhani. Kuna wananchi mamilioni waliosahaulika, wanaandamana kudai haki zao ikiwa ni pamoja na kunyanganywa ardhi na wakubwa lakini wanaswekwa ndani. Hakuna hata forum kama hizi maana govt inamonitor everything.
Mimi nadhani Ufaransa na Marekani wamekuwa na demokrasia kwa zaidi ya karne so there are things we can learn.
We do not have to reinvent the wheel.
Look: democracy may be messy and not always what we individually want, but it is these characteristics that also make it a great thing!
Kitu tunachotakiwa kujifunza Waafrika ni uvumilivu. Kama hupendi anachofanya Rais au chama tawala, build arguments, nenda bungeni etc lakini sio ubabe, matusi etc. I think in Tanzania hivi sasa the political atmosphere is very good, there are healthy debates within parties, among parties.
Naamini kwamba kama you put forward a great vision hakuna atakayekupinga!
One example ni Mungwana alivyoshika madaraka. 80% waliompigia ilikuwa pia ni wachadema na also independents waliompa kura ya urais. And if you are president in this coutnry you have a great mandate. How you use it is important!
I think that if you want to ensure that your 20 year plan is properly implemented without being a dictator, you play your political cards well. Look at how Tony Blair alimrithisha Gordon Brown!
 
Madela wa Madilu, umegusia vitu muhimu sana:
1. Kilimo
2. Teknolojia na elimu

1. Kilimo
Mimi nadhani kwamba kilimo Tanzania bado tunataka iwe ni ya mkulima mdogo wa jembe la mkononi na hatuelewi ya kuwa ni kilimo cha large scale ndicho kitanyanyua nchi. Tuliposikia wazungu wa Zimbabwe wanataka kuja tukaanza makelele sasa matokeo yake, wameenda Angola na Msumbiji na uchumi wao unapaa! Sisemi kwamba lazima waje wazungu au wawekezaji wa nje lakini ni lazima tuhakikishe kuna big financing kwa ajili ya large scale farming. Also tunahitaji experts wa kilimo wanaojua large scale siyo mashirika ya umma - cooperatives etc, ambayo ni siasa tu!
Pia supply chain ya chakula ni mbovu kabisa. Inakuwaje mjini unanunua chakula kwa bei mara 10 ya kile unachoweza kununua kilomita 200 from town? It's ludicrous. Hili swala la chakula tunahitaji wachumi na wataalam wa kilimo waivalie njuga. Siyo kuwapa wakulima wadogo ruzuku ya mbolea! I agree kabisa na wewe kuhusu trekta BTW!
2. Teknolojia na Elimu: tatizo ni kwamba Bongo tunataka kila mtu akasome chuo kikuu! Hivi Ujerumani kwa mfano (leaders in precise technology manufacturing in Europe), unafikiri kila mtu at Mercedes Benz factory ni university graduate na maPhD!? I am sure you Madilu know the answer: NO. What we need is proper technical colleges. That will give practical skills to people. Na skills hizi zinaweza kutumika mara moja. Hebu jaribu kujenga nyumba na kutafuta good skilled fundi bomba, au electrician. Utapata engineer lakini atakayekuwekea siyo engineer! Ni mafundi. Tusiongelee kabisa mafundi gari. Huku Dar kila mtu anakimbilia kwa wachina!
Technical education is vital, na also wanafunzi wasifikiri kwamba you are failure ukisoma technical college. Tehcnically minded people waone fahari kuwa part of that technical college.
 
Nisemapo watu wasomeshwe nje sina maana wasome digirii tu.
Unajua hata ukisomea certificate ukapata full exposure utatusaidia kwa sana tu.

kama ulivyosema viwanda vikubwa kama Boeing na Lockhead vinategemea mafundo mchundo katika shughuli za kila siku na PhD holders katika Research na designing.

Elimu ni yote ujifunzayo ili kujenga uwezo wa kutatua matatizo yanayo kuzunguka.

Elimu ya cheti au vyeti isiyolenga kutatua matatizo ni elimu ya Manunda wadhanio kupanga foleni huku wamevaa majoho wakati wa mahafari ndo usomi kuliko uelewa wao wakati wa kuhitimu.

MH Mungai ameua hata shule maarufu ya Ifunda Tech kwa sababu yeye binafsi haoni nafasi ya mafundi mchundo katika jamii.
Tatizo la kukaa muda mrefu madarakani na kudhani unajua kila kitu wakati hujui chochote ndo hilo.
Kuna makosa yanayofanyika katika mfumo wa Elimu ambayo yatatugharimu katika mfumo wa uchumi.Piga Ua.

Tatizo jingine ni kwamba tuna wazee wengi ambao ni wajanja wa kuongea na wamejenga heshima kubwa kwamba wamesoma ipasavyo kumbe ni vihiyo walionunu Digirii miaka ya 70.
Wengi wanavurunda mambo kwa vile uwezo wao wa kupambanua mambo umegonga glass ceiling.
Nasikia mkurugenzi wa shirika la uwekezaji MH Mollel ni kihiyo mkubwa sijui maneno hayo ni ya kweli?
kam ni kweli iweje apewe nafasi hiyo muhimu katika taifa?
hapo pia naona mjinga mkubwa si yeye Mollel bali aliyemuweka katika kiti huku akijua fika makali hana.

kama hivi tumekwisha ruhusu wachina kuingia Tanzania tujiandae kuwa manamba katika nchi yetu wenyewe. Wachina ni jamii ya watu wanaojua kuitumia corrupt system kuliko jamii nyingine yeyote ya watu dunia. Kama huamini naomba tu uyashike maneno yangu haya kisha mwaka 2025 wakati wa uchaguzi nitafute tujadiri tuone wachina wamesambaa kiasi gani na kwa kiasi gani wameshika kila biashara pale Tanzania.
 
I think that it is dangerous to walk down that path to any form of dictatorship! Unajua hata akina Idi Amin na Bokassa walijiona kwamba ni visionaries na wanaitakia mema nchi yao.
You also touched on the Chinese example, I have been there several times na ninadhani wengine pia hapa JF, not all is rosy kama tunavyodhani. Kuna wananchi mamilioni waliosahaulika, wanaandamana kudai haki zao ikiwa ni pamoja na kunyanganywa ardhi na wakubwa lakini wanaswekwa ndani. Hakuna hata forum kama hizi maana govt inamonitor everything.
Mimi nadhani Ufaransa na Marekani wamekuwa na demokrasia kwa zaidi ya karne so there are things we can learn.
We do not have to reinvent the wheel.
Look: democracy may be messy and not always what we individually want, but it is these characteristics that also make it a great thing!
Kitu tunachotakiwa kujifunza Waafrika ni uvumilivu. Kama hupendi anachofanya Rais au chama tawala, build arguments, nenda bungeni etc lakini sio ubabe, matusi etc. I think in Tanzania hivi sasa the political atmosphere is very good, there are healthy debates within parties, among parties.
Naamini kwamba kama you put forward a great vision hakuna atakayekupinga!
One example ni Mungwana alivyoshika madaraka. 80% waliompigia ilikuwa pia ni wachadema na also independents waliompa kura ya urais. And if you are president in this coutnry you have a great mandate. How you use it is important!
I think that if you want to ensure that your 20 year plan is properly implemented without being a dictator, you play your political cards well. Look at how Tony Blair alimrithisha Gordon Brown!

Susuviri,
Mgonjwawaukimwi alifafanua zaidi hapo juu over aina ya udiktator ninaoongelea! Siyo kuwatensha watu au kuwaua watu- hapana- ni kuleta discpline ya kazi, na kutenganisha kazi, siasa na uchumi!
Mimi niseme hivi- hakuna nchi iliyoendelea kwa watu kubembelezwa na kuomba kujenga vyoo vyao au kuzalisha- in Oct. 2005 nilienda Mbeya kutathmini mambo ya usafi na watu kuwa na vyoo na kama wanavitumia. Mkuu wa Wilaya mmoja alikuwa amesitisha kampeni ya kuhamasisha watu kujenga vyoo kwani walitishia hawatachagua CCM- kama wanalazimishwa kujengwa vyoo vyao- hivyo Mkuu wa Wilaya akasitisha hadi uchaguzi uishe! Hii ndo nasema ni luxury democracy! This way- nasema it will take us 100 years- kuendelea!
Hii democracy ya Mgh. kwetu sisi ina mapungufu mengi- hebu soma tena kwa makini mchango wa Mgonjwawaikimwi!
 
Mgonjwaukimwi,
Good reflexions!
1. Saa ingine naona Western democracy- is luxury kwa Afrika! It took many years to mature in Europe and was preceeded by Economic Industrial Revolution! Africa inakuwa democracy kwanza na 'freedom' to demand rights from government- then uchumi! Haiwezekani! As Mwal. said Uhuru ni kazi- siyo siasa!
Angalia China model- sii mambo ya Democracy ya Magh. ni Ukomunist na kazi na discpnile kwanza- na utaifa mbele! Taabu kubwa- madiktator wazalenzo Africa baadae kupata tamaa na kubadilika! Au hupigwa vita ndani na nje kwa manufaa binafsi!

2. We need something in between Western democracy na udictator or pure dictatoship kwanza. Vyama vingi, na western democracy zinakuwa kama 'Social experiments' in African countries- hii inaendeleza wao kututawala kiulani.

Ukweli tupu....aidha tuwe na dikiteta ama democracy inayoendana na mazingira yetu...sio democracy ya kuiga.

3. Lastly mbona wapo viongozi kama M7, Paulo Biya na Omari Bongo ni madiktator kwa jinsi fulani-(sijui kama wana uchungu na nchi zao) nao wote wametawala over 20 years! What went wrong?

Sidhani kama wanauchungu na nchi zao, ila kwasababu udikiteta hauna nafasi katika dunia ya leo, basi hata mazuri waliyoyafanya madikiteta hawa yanamezwa na kelele za wapenda demokrasi.

Swali ambalo hadi sasa sijapata jibu ni hili: Democracy ni zao au chanzo cha maendeleo?
 
Atanaye, sijakusahau! But you have expounded on what I had responded and I need to revise.
I agree that I was too sloppy in saying that what you wrote is 'vague' - poor choice of words!
Nadhani umejibu na hoja nzito maswali yangu lakini naomba nizungumzie suala moja la kodi!

Hii ni kweli kwa baadhi ya makampuni tu, tena ni yale makubwa! Makampuni madogo na ya kati ambayo ndiyo yanayotoa ajira kwa wananchi hawapewi misamaha! I am speaking from experience!
Kodi inayolipwa na kampuni ni kubwa mno, maana kuna NSSF, income tax na madudu mengine mengi. Also overheads ni kubwa sana kutokana na matatizo ya miundombinu. Kwa mfano kampuni yangu unaweza kusema ni SME lakini wafanyakazi wangu wote nawalipia private health insurance kwa sababu nimegundua in fact I save money if they get quality health care kwani hawaugui ovyo, watoto wao wanapata matibabu mazuri kwa hiyo mamao hatoki all the time kumpeleka mtoto hospitali, but still ni gharama!
Lakini nashangaa SMEs hatuthaminiwi. Serikali inaangalia wawekezaji wakubwa tu! Wao pia ni muhimu sikatai but we need to give priority to SMEs na family businesses (that was the essence of Reaganomics BTW)

Naamini kweli SMEs zinakuwa hazina usemi hasa ukiangalia kwamba tuko kwenye stage ya kuongeza na kuboresha miundombinu! Kwa sasa nafikiri priority ambazo zipo ni MNEs au Multinational enterprises. Hizi(MNEs) kwa vile basi wanaweza kuleta capital technology na management resorces ndio wanaopewa priorities na tax credit ili kufanya spidi katika kuweka miundombinu. Lakini tunapwaya katika negotiations kwa kuwa tu our common interests zinakuwa dis-regarded by our own ambitions and interests...tunaona mifano ya deal tunazoingiza almost sifuri kwenye coffers zetu! In other terms our bargaining power is limited either due to some extent because of tax treaties na UFISADI. Hii inamfinya mlipa kodi mdogo kwa mfano hapa hiyo bizness yako kwani ndio wanaolipa deficit.

Kwa hayo hapo juu I will make sure our objectives in our negotiations to have an agreement na hizo NME's benefits both parties with emphasis ya technology na management resorces ziweze kubaki...hapa sme's zitaweza kubenefit, mwananchi atabenefit na uchumi kwa ujumla utabenefit.

Kama itawezekana kwakuangalia upya Biashara za moja kwa moja na nchi za nje basi suala hili nitaliangalia kwa maslahi ya Mwananchi na SME's with an open end!
 
Mikopo kwa wananchi inafanywa na serikali ya sasa na kwa mtazamo wangu ni kugawa tu pesa na zinakuja kutumika vibaya. Utahakikisha vipi wananchi wanarudisha mikopo? Utatumia utaratibu gani kugawa mikopo?
Kuhusu ukubwa wa jeshi, kuna hatari hapo kwani kumbuka jeshio hilo kubwa limepewa mafunzo ya kupigana, wakiingia mtaani wanaweza kuendeleza attitude hiyo hiyo ya kupigana. Nadhani umesoma ktk habari jinsi vijana wa JKT wanavyofanya vurugu uraiani! Mi nadhani hao wanajeshi wanaweza kufanya kazi nyingi muhimu kama vile kujenga mabarabara n.k. na kuwa kama Peace Corps au ndiyo hiyo jeshi la kuhifadhi chakula unayozungumzia?

You have some very good points! Just elaborate a bit

Sawa!!!..

Mikopo Ilitolewa Tangu siku-nyingi..
Lakini Hii Ya Kikwete..Haikupangwa Ikapangika!!!Mimi Binafsi Nilisita Kuchukua Japo WAZO lili nivutia sana!!.....Na bado Nina penda Kuhusika...-
Serikari ilipaswa Kutumia zaidi ya miaka Mitatu au Hata zaidi Kufanya Utafiti!!....

Si Kila mtu akikopeshwa anaweza kulipa...NA
Si lazima Fedha zote zinazo tolewa na serikari Lazima Zirudi..!!
Kwasababu si kila mtu anao uwezo(upeo) wa kufanya Biashara..
lakini faida kwa serikali ni muhimu

Nikiwa Raisi Nitakuja na ya kwangu Inayo Itwa "OFFER IS ON THE TABLE"- is up to you!! take it or ...live.

Billions zitatengwa kwa kila eneo..
Wakuu wa mikoa ..Wakuu wa wilaya..Madiwani..Usalama wa taifa..au vyovyote vile!!- Nitawatumia viongozi wa aina nyingi!!...Itakua Rahisi..kwa Kutumia Internet..(Nita fafanua)!!
-Kwenye Hii Mikopo si lazima Kazi iwe ni Kukopesha tu!! Kazi nyingi Itafanyaika!! Hela ya serikari Lazima Iwe Ya moto Sio Mchezo!!..sio Ya Mjomba wako...wapo watakao taka mikopo -lakini watajikuta ni wafanyakazi wa serikali...na wapo watakao poteza kazi...
A
1.Elimu.
Mikopo kwa wajasilia mali watakao kua wana anzisha Shule..( Utafiti kwanza Mambo mengi yapo Humu)
2.Viwanda..(kwa wanao anzisha viwanda Vipya- vikubwa na vidogo)na mikopo- ikibidi kwa viwanda vilivyopo vitakavyo kua vinatoa mchango wa moja kwa moja kwa viwanda vipya)( utafiti kwanza!!)

B......Nitaendelea Muda unakwisha Nipo Internet cafe


*Kuhusu Jeshi..Ni Ujinga Kuwaza Upande mmoja tu..watakao Kua wezi watadhibitiwa..Nitafaanua..

Jamani nipeni kura...
 
Gigo, Naona unaelekea kupata kura nyingi, nasubiri kidogo nitengeze poll alafu tuone nani atafaa kuwa rais mwaka 2010! :) akagombanie!
Kwa kweli umenikuna sana na system hiyo ya mikopo uliyoandika na ningependa kujua kidogo zaidi.
Kuhusu viwanda ningependa tu kuuliza mawazo yako kuhusu EPZ maana nimeona CHina na Malaysia inasaidia sana. Juzi nilimwona EL katembeea kiwanda moja kikubwa cha nguo huko EPZ ya Ubungo karibu na Urafiki lakini hatupati info zaidi. Je imetusaidiaje EPZ na kuna dalili kwamba watu wanakuja kufungua viwanda? Maana ningesikia IBM wamehamisha hapa kiwanda ningeona maana yake.
Anyway nasubiri kwa hamu part 2 yako. Peace brother!
 
Gigo, Naona unaelekea kupata kura nyingi, nasubiri kidogo nitengeze poll alafu tuone nani atafaa kuwa rais mwaka 2010! :) akagombanie!
Kwa kweli umenikuna sana na system hiyo ya mikopo uliyoandika na ningependa kujua kidogo zaidi.
Kuhusu viwanda ningependa tu kuuliza mawazo yako kuhusu EPZ maana nimeona CHina na Malaysia inasaidia sana. Juzi nilimwona EL katembeea kiwanda moja kikubwa cha nguo huko EPZ ya Ubungo karibu na Urafiki lakini hatupati info zaidi. Je imetusaidiaje EPZ na kuna dalili kwamba watu wanakuja kufungua viwanda? Maana ningesikia IBM wamehamisha hapa kiwanda ningeona maana yake.
Anyway nasubiri kwa hamu part 2 yako. Peace brother!

B..
Kabla sija wapa nafasi ya kuuliza mwaswali...Ngoja nimalizie seehemu iliyo baki...
1..Mikopo kwa wafanya kazi wa Serikali..(utafiti...wapo watakao taka hata kuacha kazi baada ya kupata mkpo...)
2..wananchi wasio kua wafanya kazi wa serikali...

Vitambulisho vya uraia vya aina yake vitatumika..Tukihusisha DATA base Babu Kubwa....

sasa Nina ruhusu Maswali...
 
Nimekuwa nikisoma hoja mbalimbali za wanaJF na ningependekeza hoja zijengwe kuhusu suala hili.
Baadhi ya wanaJF wamesema urais si lelemama ni kitu complicated etc. Sasa mimi natoa challenge, je kama wewe ungekuwa rais ungeanza wapi?
Naomba nianze kwa kusema tatizo letu kubwa ni utendaji:
- Ningeanza kwa kuteua mawaziri 15 tu! Ningeunganisha wizara na kufanya idara. Mawaziri hawa 15 wangepewa mwongozo (hamna haja ya semina, wapewe mwongozo kimaandishi na mkutano moja wa orientation) wa kazi na kukumbushwa miiko na maadili
- Ningetangaza mali zangu hadharani na kuwabana mawaziri nao wafanye hivyo
- Ningeomba ushauri wa wakuu wa idara na watendaji katika mawizara. Nimegundua kwamba administrators wengi serikalini wako very frustrated na wanaelewa matatizo ni nini na hata suluhisho wanayo lakini wizara zinaendeshwa kisiasa
- Ningetoa maagizo ya kupitia upya auditing za wizara yote, where there is a problem watendaji na viongozi wawajibishwe.
- TAMISEMI ingefanyiwa pia auditing at all level. Kuwapa nguvu zaidi local governemnet is not a free hand kuchota.
- Kuipa nguvu zaidi PCCB tuprosecute without interference
- Baada ya kuweka adminsitration in place, that is when money and spending etc can be looked at with priority to Education, Infrastructure and Health. Others will improve accodingly.

Tusikae kulalamika nchi inaenda wapi, tujenge hoja hapa na tutoe suluhisho. Maybe one of us here is president-in-waiting! :)
kuwa rais haimaanishi wewe ndio ufanye. kumbuka maendeleo ya nchi huletwa na mwananchi.... hivyo tusibweteke na kuona kuwa rais ndio ufanye maendeleo yanchi. rais kazi yake ni kumaliza na kusukuma yale yaloanza na kushindikana kiuchumi ama kimawazo, na yeye kazi yake ni kukaa na wataalamu waliobobea.
 
Back
Top Bottom