Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 886
Nimekuwa nikisoma hoja mbalimbali za wanaJF na ningependekeza hoja zijengwe kuhusu suala hili.
Baadhi ya wanaJF wamesema urais si lelemama ni kitu complicated etc. Sasa mimi natoa challenge, je kama wewe ungekuwa rais ungeanza wapi?
Naomba nianze kwa kusema tatizo letu kubwa ni utendaji:
- Ningeanza kwa kuteua mawaziri 15 tu! Ningeunganisha wizara na kufanya idara. Mawaziri hawa 15 wangepewa mwongozo (hamna haja ya semina, wapewe mwongozo kimaandishi na mkutano moja wa orientation) wa kazi na kukumbushwa miiko na maadili
- Ningetangaza mali zangu hadharani na kuwabana mawaziri nao wafanye hivyo
- Ningeomba ushauri wa wakuu wa idara na watendaji katika mawizara. Nimegundua kwamba administrators wengi serikalini wako very frustrated na wanaelewa matatizo ni nini na hata suluhisho wanayo lakini wizara zinaendeshwa kisiasa
- Ningetoa maagizo ya kupitia upya auditing za wizara yote, where there is a problem watendaji na viongozi wawajibishwe.
- TAMISEMI ingefanyiwa pia auditing at all level. Kuwapa nguvu zaidi local governemnet is not a free hand kuchota.
- Kuipa nguvu zaidi PCCB tuprosecute without interference
- Baada ya kuweka adminsitration in place, that is when money and spending etc can be looked at with priority to Education, Infrastructure and Health. Others will improve accodingly.
Tusikae kulalamika nchi inaenda wapi, tujenge hoja hapa na tutoe suluhisho. Maybe one of us here is president-in-waiting!
Baadhi ya wanaJF wamesema urais si lelemama ni kitu complicated etc. Sasa mimi natoa challenge, je kama wewe ungekuwa rais ungeanza wapi?
Naomba nianze kwa kusema tatizo letu kubwa ni utendaji:
- Ningeanza kwa kuteua mawaziri 15 tu! Ningeunganisha wizara na kufanya idara. Mawaziri hawa 15 wangepewa mwongozo (hamna haja ya semina, wapewe mwongozo kimaandishi na mkutano moja wa orientation) wa kazi na kukumbushwa miiko na maadili
- Ningetangaza mali zangu hadharani na kuwabana mawaziri nao wafanye hivyo
- Ningeomba ushauri wa wakuu wa idara na watendaji katika mawizara. Nimegundua kwamba administrators wengi serikalini wako very frustrated na wanaelewa matatizo ni nini na hata suluhisho wanayo lakini wizara zinaendeshwa kisiasa
- Ningetoa maagizo ya kupitia upya auditing za wizara yote, where there is a problem watendaji na viongozi wawajibishwe.
- TAMISEMI ingefanyiwa pia auditing at all level. Kuwapa nguvu zaidi local governemnet is not a free hand kuchota.
- Kuipa nguvu zaidi PCCB tuprosecute without interference
- Baada ya kuweka adminsitration in place, that is when money and spending etc can be looked at with priority to Education, Infrastructure and Health. Others will improve accodingly.
Tusikae kulalamika nchi inaenda wapi, tujenge hoja hapa na tutoe suluhisho. Maybe one of us here is president-in-waiting!