Kama ungalikuwa wewe utafanyaje?

Kama ungalikuwa wewe utafanyaje?

jamani kwanini hukuipata?

na hii nayo niambie sasa..

love-spells3.jpg

hii haina mashikor.......rudisher iley iley.........
 
Najaribu kukuelewa.

Umeoa mke wa mtu ina maana? (Kwa maana hapo kuna wewe, mama na Baba Baraka)....... so kama ni mzazi mwenzake ulitaka aongee naye vipi? halafu kumbe una jua ni mzazi mwenzake kwa nini ikupe shida?
Habari wanajamvi.

Ni hivi majuzi mke wangu mama Baraka nimemkuta anaongea kwenye simu na mzazi mwenzake baba Baraka, kinachonipa mashaka ni namna alivyokuwa anajibu kwa unyenyekevu wakati mwingine akijitetea kuwa hakumkatia simu bali lilikuwa ni tatizo la mtandao.

Hofu yangu ya kwamba huenda ninachapiwa ilikuja baada ya kumwuliza Ulikuwa unaongea na nani? hakutoa majibu ya kuridhisha, psychologically alichanganyikiwa.

Ukweli sina imani nae kabisa na wazo nililonalo nikumwacha, na iwapo nitamwacha atakuwa ni wa nne.

Nipeni ushauri.
 
Habari wanajamvi.

Ni hivi majuzi mke wangu mama Baraka nimemkuta anaongea kwenye simu na mzazi mwenzake baba Baraka, kinachonipa mashaka ni namna alivyokuwa anajibu kwa unyenyekevu wakati mwingine akijitetea kuwa hakumkatia simu bali lilikuwa ni tatizo la mtandao.

Hofu yangu ya kwamba huenda ninachapiwa ilikuja baada ya kumwuliza Ulikuwa unaongea na nani? hakutoa majibu ya kuridhisha, psychologically alichanganyikiwa.

Ukweli sina imani nae kabisa na wazo nililonalo nikumwacha, na iwapo nitamwacha atakuwa ni wa nne.

Nipeni ushauri.

Huyo si mke wako peke yako, mnamshare na huyo mzazi mwenzake - kaa ukijua hilo.
 
du kwanza pole sana.pl ndugu yangu hukujua changamoto za kuoa mtu alozaa?huwez kuwakataza kuwasiliana.pl alshndwa kukujbu as kiukwel ungemind,kuhusu kuacha unaonyesha jns gan huna uvumilvu.maana kama kwa hl tu wataka kuacha...mikosi mingne hutajua uli itoa kwa ukoo gan,jchunguze xana.
 
Ahsanteni kwa michango yenu, lkn nilichokiona hapa wengi wanachukulia poa na kuninanga kuwa mm ndiye ttz sawa ni mtazamo wenu. Lkn sasa km angalikuwa mwungwana basi angenitaka radhi 7bu anaelewa kabisa kuwa nimeumia na hachukui hatua yyt ya kuniweka sawa. Ok nitachanganya na za kwangu kisha nitapata jibu.
 
Sasa mkuu hapa unataka ushauri gani wati mwenzetu una exprience ya kuwaacha?????
We endeleza tu kama ulivyo fanya kwa hao watatu walio pita...
 
Wanaume seem tunaongoza kwa wivu sana compared na hii jinsia tofauti, kinachokupa taabu hapa ni kuvuta picha namna unavyojituma kwake kwamba mwanaume wmenzio anajishughulisha hivyo hivyo au? Ulitaka amjibu mzazi mwenzie kibabe au? Vipi wakati ukijicommit kuishi nae haya ya kuwa na Baraka hukuyajua au?
 
Wivu wa nini ndugu yangu, unajuaje labda baba Baraka ndiye aliyembikiri? Nikuibie siri, piga ua galagaza mwanamke hamwachi aliyembikiri ng'o!

Hii nayo kali kweli et..!! Mwanamke hamwachi aliyembikiri aaaa wapi imani tu!!!!!!!
 
mbona watu mnatoka nje ya mada jamani?

mmeulizwa.. '' ungelikuwa ni wewe, unglifanyaje''?

mimi kwa kweli kwa upande wangu,.... ningewacharanga mapanga wote wawili!

Punguza hasira umesema mapanga nimekumbuka mbaliiii!!!!!
 
kwl kabxa kulkon mwanaume unbkr af nkuache haitokei ng'oooooo,, ,

Wewe acha hizo ingekuwa hivyo basi wanaume walio bikiri wangekuwa wanaogoza kwa kuwa na maduu wengi kwa kuwa walibikiri...... una kuta mwanaume mmoja alisha wahi kubikiri maduu 6..
Kwanza naomba kujua huo utamaduni ni wa wapi???
 
Kwani mlipooana hukujua kuwa huyo Bakari na baba yake? Au mlikubaliana kuwa hawatakuwa wanawasiliana hata kuhusu mtoto wao? Kama uliamua kuoa mwanamke aliyechapwa mpaka akapata mtoto, hiyo ndo gharama yake, mtoto lazima amuse baba yake wa kweli
 
Habari wanajamvi.

Ni hivi majuzi mke wangu mama Baraka nimemkuta anaongea kwenye simu na mzazi mwenzake baba Baraka, kinachonipa mashaka ni namna alivyokuwa anajibu kwa unyenyekevu wakati mwingine akijitetea kuwa hakumkatia simu bali lilikuwa ni tatizo la mtandao.

Hofu yangu ya kwamba huenda ninachapiwa ilikuja baada ya kumwuliza Ulikuwa unaongea na nani? hakutoa majibu ya kuridhisha, psychologically alichanganyikiwa.

Ukweli sina imani nae kabisa na wazo nililonalo nikumwacha, na iwapo nitamwacha atakuwa ni wa nne.

Nipeni ushauri.

Yani hivyo tu ndo unataka kufikia hatua ya kumwacha? Kama ni hivyo wewe Ndiyo utakayekuwa na matatizo. Huyo ni mzazi mwenzie, cha msingi ni kuendelea kumkumbusha heshima Ambayo mshajijengea na kwa sasa wewe Ndiyo mume we.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom