Kama ungalikuwa wewe utafanyaje?

Kama ungalikuwa wewe utafanyaje?

Mke wa kwanza sawa anamakosa,wa pili? Wa tatu jichunguze wewe sasa huyu wa nne jibu ni kwamba wewe ndo kichomi!!!!
Kwan wewe tangu umemuoa mama Baraka hujawahi chapa nje? Wewe ndo mwenye tatxo
 
ila jamani twende mbele turudi nyuma, naona wengi mna muhukumu huyu kaka lakini ukweli ni kwamba hata ingekuwa mimi nikute mume wangu anaongea na mzazi mwenzie tena kwa unyenyekevu ambao hata mimi huwa hanionyeshi alafu mbaya zaidi baada ya maongezi namuuliza huyo nani anajikanyaga kanyaga, nisingemuelewa, lazma kuna jambo si la kawaida hapo hakikisha unafatilia kujua ni nini hasa, ingawa na wewe kwa historia yako inaonekena una tatizo jiangalie pia
 
Habari wanajamvi.

Ni hivi majuzi mke wangu mama Baraka nimemkuta anaongea kwenye simu na mzazi mwenzake baba Baraka, kinachonipa mashaka ni namna alivyokuwa anajibu kwa unyenyekevu wakati mwingine akijitetea kuwa hakumkatia simu bali lilikuwa ni tatizo la mtandao.

Hofu yangu ya kwamba huenda ninachapiwa ilikuja baada ya kumwuliza Ulikuwa unaongea na nani? hakutoa majibu ya kuridhisha, psychologically alichanganyikiwa.

Ukweli sina imani nae kabisa na wazo nililonalo nikumwacha, na iwapo nitamwacha atakuwa ni wa nne.

Nipeni ushauri.

so what.....and why not......
 
Duh! Ni shida sana kuoa ke aliezalishwa na me mwengine! Zaidi ni uwepo wa aliemzalisha!
...
Nakushauri hivi:
Fanya uchunguzi wa kina dhidi ya hao wazazi, na ukumbuke hao ni wazao na utakavyowewe waongee kwa ukali na kujibizana majibu mabovu, hilo haliwezekani!
...
Kwa upande wa pili, usijaribu kuilazimisha nafsi yako na kujitaftaftia maradhi ya moyo eti kisa umeacha watatu!
Hata ungeacha kumi bado sio sababu ya kutomuacha wa 11 ikiwa atakwenda kinyume!
...
Utambue hakuna aliekamilika, na hiyo kuacha acha sio sababu wewe ni dhaifu saaana!
Ni kutopata unaendana nae tu!
Ivi wewe haujiulizi, kwanini kuna watu wanaachika na kuacha gumzo kwanini kaachwa?
Na je haujaona watu wanaoonekana wanatabia mbaya na hata kulaaniwa hatotulia na mke or mume na mwisho wa siku wanaishi kwa amani?
...
Embu kaa chini tafakari hayo niliobwabwaja hapo!
 
nipe majibu ya haya maswali kisha tupeane ushauri.....
1. una umi gani....?
2. je mara zote nne umeoa au unasogeza kimtindo na maisha yanaendelea....?
3. je umezaa na wanawake wote hao, jumla watoto wangapi unao?
ukinijibu hayo bwana comfix vizuri kabisa basi nami nitafix hiyo mammbo.....
 
Last edited by a moderator:
Hivi ww kabila gani?! Hauna binduki au?! Samahani lakin, ni ushauri tu.......!! teh! teh! teeeehh!!
 
nipo sana bado naendelea na Valentine.......ambayo inaisha tar 28........

hahahaaa!! ndo ukaamua kunikimbia kwa speed ya TZR mamii?

nilikutumiaga hii vcard.. hivi uliiona kweli?

i_miss_you_postcard-1830.jpg
 
hahahaaa!! ndo ukaamua kunikimbia kwa speed ya TZR mamii?

nilikutumiaga hii vcard.. hivi uliiona kweli?

i_miss_you_postcard-1830.jpg

sikuipata....ila umetisher.......we ni noumer........hiyo avatar yako nimezizi.........
 
Kuchapiwa mbona kawaida tu, Na ukichapiwa we mezea tu wala usimwache.
Hii mkuu HAPANA, labda kama nimeanza kuishiwa na sifa zangu za kuwa mwanamume.
akithubutu tu kuonjesha mtu asali yangu mkataba unavunjika.

Eeh Mola niepushie mbali mtihani huo kutokea sababu nina uhakika nitashindwa kuukabili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom