Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,112
Jukwaa la Elimu kule, thread moja unakuta ina coments 2-3, lkn huku kwenye upuuzi ndo kama hivi.
comment yako ya ngapi vile?
Jukwaa la Elimu kule, thread moja unakuta ina coments 2-3, lkn huku kwenye upuuzi ndo kama hivi.
ni nungwi aisee
kwa hiyo nikitua tu pale eapotii utaanza kuniita bebi bebi na mimvi yangu?......as long as wallet yangu ni nene!
Sorry..... hiv ukiwa unatoka Zanzibar kuja Dar Uzee Mwisho wapi:??
comment yako ya ngapi vile?
yes baby... (kama hujatua pls usiitikie hili jina)
mwache bhana huyo aelewi somo la hapa cc aende kule kule kuelimika zaidi
Nimemwacha, mzima wewe?
mamii nakumiss sana aisee.. hivi unapoteleaga wapi nyakati za jua?