Kama unataka mali utaipata shambani

mrregion

JF-Expert Member
Jul 23, 2018
464
543
c&p

*BAADA YA MIAKA 20 MTAKUJA TANZANIA KUOMBA KAZI*

Nilipokuwa mwanafunzi nchini Poland miaka ya 90, tulikuwa na tabia ya kwenda Sweden wakati wa likizo na kufanya vibarua mbalimbali hasa kwenye mashamba ya wakulima. Watanzania kutoka nchi mbalimbali za Ulaya Mashariki tulikuwa na sehemu zetu tulikokuwa tunakutana na kufanya vibarua hivyo kwa malipo ambayo kwa mwenyeji yalikuwa madogo sana lakini kwa sisi toka Ulaya ya Mashariki ya wakati huo yalikuwa makubwa sana. Tukirudi Poland na hizo nchi zingine na dola zetu, basi tunaanza kuishi kama watoto wa mfalme wa Nsesi. Pombe kwa wingi, watoto wa kizungu, na sherehe kila weekend.

Hao wakulima wa Sweden walikuwa watu wa kawaida wenye elimu za chini lakini wakiwa matajiri wenye mashamba makubwa makubwa na machine kubwa kubwa. Sisi vibarua wao tulikuwa na elimu kubwa kubwa, wanafunzi wa Ph.D, Masters, Degrees. Tulikuwa engineers, madaktari, wanasheria, wachumi nk.

Siku mmoja boss wetu huyo mkulima akawa anapiga story na sisi na kuanza kumwuliza kila mmoja anasomea nini. Tukamwambia maelimu yetu makubwa makubwa. Tulipomaliza akasema yeye elimu yake ni ya msingi ambayo ilikuwa kama form four ya Tanzania lakini ana mashamba na anaweza kutuajiri sisi Wasomi. Akaendelea kusema amefika Tanzania mara nyingi na ni nchi nzuri sana na hali ya hewa nzuri kwa kilimo na uwekezaji mwingine. Anashangaa kwanini ni maskini hivyo mpaka wasomi wake tunakuja kufanya vibarua mashambani ili kujiongezea kipato? Akasema Sweden peke yake imeisaidia mno Tanzania lakini haoni tukisogea mbele.

Alichomalizia ndio kimenifanya niandike leo. Akasema tukibadilishana watu leo. Waswedish wote wakaenda Tanzania na mikono yao mitupu na Watanzania wote wakaja Sweden na mikono yao mitupu. Baada ya miaka 20 Tanzania itakuwa nchi tajiri na Sweden itafilisika na kuwa nchi maskini na mtaanza kurudi Tanzania kuomba vibarua.

Ukweli mwingine unauma lakini hubaki kuwa ukweli. Ni miaka karibu 25 toka tuambiwe hayo na bado Sweden ni nchi tajiri na Tanzania ni nchi maskini. Zile elimu zetu kubwa kubwa hazijatusaidia kitu. Naendelea kutafakari. Yule Mzungu ni kama alikuwa sahihi.

Tunakosea wapi watanzania na nani atakuja kutwambia kuwa sio kila kitu uwe na mtaji bali kama ardhi ipo basi fulsa ya kwako wewe ni kuwa na afya njema. Jifunze kuumia ili baadae uje uwaajili wasomi na wakuite bosi.

Bado nawakumbusha vijana rudini vijijini mkatumie ardhi ya familia ipasavyo na ukipata nafasi nunua pia ardhi itakusaidia. Limeni kila aina ya mazao yaani mazao ya mda mrefu miti nk na mazao ya mda mfupi mbogamboga na matunda.

KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI
 
Shukran sana mkuu umenena vyema mwenye uelewa atakuwa amesikia na atalifanyia kazi.Mi baada ya kuligundua hilo nmefanya mwaka huu japo nimefeli ila nimegundua wapi nilipokosea next time nitafanya mapinduzi inshallah.
 
c&p

*BAADA YA MIAKA 20 MTAKUJA TANZANIA KUOMBA KAZI*

Nilipokuwa mwanafunzi nchini Poland miaka ya 90, tulikuwa na tabia ya kwenda Sweden wakati wa likizo na kufanya vibarua mbalimbali hasa kwenye mashamba ya wakulima. Watanzania kutoka nchi mbalimbali za Ulaya Mashariki tulikuwa na sehemu zetu tulikokuwa tunakutana na kufanya vibarua hivyo kwa malipo ambayo kwa mwenyeji yalikuwa madogo sana lakini kwa sisi toka Ulaya ya Mashariki ya wakati huo yalikuwa makubwa sana. Tukirudi Poland na hizo nchi zingine na dola zetu, basi tunaanza kuishi kama watoto wa mfalme wa Nsesi. Pombe kwa wingi, watoto wa kizungu, na sherehe kila weekend.

Hao wakulima wa Sweden walikuwa watu wa kawaida wenye elimu za chini lakini wakiwa matajiri wenye mashamba makubwa makubwa na machine kubwa kubwa. Sisi vibarua wao tulikuwa na elimu kubwa kubwa, wanafunzi wa Ph.D, Masters, Degrees. Tulikuwa engineers, madaktari, wanasheria, wachumi nk.

Siku mmoja boss wetu huyo mkulima akawa anapiga story na sisi na kuanza kumwuliza kila mmoja anasomea nini. Tukamwambia maelimu yetu makubwa makubwa. Tulipomaliza akasema yeye elimu yake ni ya msingi ambayo ilikuwa kama form four ya Tanzania lakini ana mashamba na anaweza kutuajiri sisi Wasomi. Akaendelea kusema amefika Tanzania mara nyingi na ni nchi nzuri sana na hali ya hewa nzuri kwa kilimo na uwekezaji mwingine. Anashangaa kwanini ni maskini hivyo mpaka wasomi wake tunakuja kufanya vibarua mashambani ili kujiongezea kipato? Akasema Sweden peke yake imeisaidia mno Tanzania lakini haoni tukisogea mbele.

Alichomalizia ndio kimenifanya niandike leo. Akasema tukibadilishana watu leo. Waswedish wote wakaenda Tanzania na mikono yao mitupu na Watanzania wote wakaja Sweden na mikono yao mitupu. Baada ya miaka 20 Tanzania itakuwa nchi tajiri na Sweden itafilisika na kuwa nchi maskini na mtaanza kurudi Tanzania kuomba vibarua.

Ukweli mwingine unauma lakini hubaki kuwa ukweli. Ni miaka karibu 25 toka tuambiwe hayo na bado Sweden ni nchi tajiri na Tanzania ni nchi maskini. Zile elimu zetu kubwa kubwa hazijatusaidia kitu. Naendelea kutafakari. Yule Mzungu ni kama alikuwa sahihi.

Tunakosea wapi watanzania na nani atakuja kutwambia kuwa sio kila kitu uwe na mtaji bali kama ardhi ipo basi fulsa ya kwako wewe ni kuwa na afya njema. Jifunze kuumia ili baadae uje uwaajili wasomi na wakuite bosi.

Bado nawakumbusha vijana rudini vijijini mkatumie ardhi ya familia ipasavyo na ukipata nafasi nunua pia ardhi itakusaidia. Limeni kila aina ya mazao yaani mazao ya mda mrefu miti nk na mazao ya mda mfupi mbogamboga na matunda.

KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI
Ulichoandika kimejaa busara na hekima ya hali ya juu sana. Lakini kwa kundi la watu walio humu utapata wachangiaji wachache sana.! Ila ungeandika lolote la kumtukana ama kumkashfu Magufuli ama Paul Makonda,, wachangiaji wangekuwa tayari mia kadhaa.
 
Shukran sana mkuu umenena vyema mwenye uelewa atakuwa amesikia na atalifanyia kazi.Mi baada ya kuligundua hilo nmefanya mwaka huu japo nimefeli ila nimegundua wapi nilipokosea next time nitafanya mapinduzi inshallah.
Pongezi sana Mkuu. Kila kitu ni kuweka nia tu.
 
Ulichoandika kimejaa busara na hekima ya hali ya juu sana. Lakini kwa kundi la watu walio humu utapata wachangiaji wachache sana.! Ila ungeandika lolote la kumtukana ama kumkashfu Magufuli ama Paul Makonda,, wachangiaji wangekuwa tayari mia kadhaa.
Katika maisha yangu huwa napenda ninapofanikiwa basi na wenzangu wafanikiwe na ndo maana napenda sana kushauri hasa kwa vijana wenzangu kuwa mtaji mhimu kuliko mtaji wowote ni AFYA kwanza alafu tafuta fulsa nyingine hasa za ardhi alafu tumia nguvu zako kwanza kabla ya kufikiria vibarua.

Tuliotokea mikoani ardhi ipo ya kutosha ila bado hatugutuka.
 
Katika maisha yangu huwa napenda ninapofanikiwa basi na wenzangu wafanikiwe na ndo maana napenda sana kushauri hasa kwa vijana wenzangu kuwa mtaji mhimu kuliko mtaji wowote ni AFYA kwanza alafu tafuta fulsa nyingine hasa za ardhi alafu tumia nguvu zako kwanza kabla ya kufikiria vibarua.

Tuliotokea mikoani ardhi ipo ya kutosha ila bado hatugutuka.
Kaka Nchi hii tuna baadhi watu walio lelewa kiajabu sana wanao amini katika ajira kwa sabbu ajira za wazazi wao serikalini pamoja na deal za hapa na pale ndio zilizo walea na kuwakuza, Baba au mama alikuwa mwanasiasa ama mtumishi
Wa mshahara mkubwa na nafasi fulani

Hawa ukiwaambia kuna maisha nje ya Ajira ambayo ni huru zaidi kwao katu hawawezi kukuelewa, Kamwe kwani wanaamini wamenyang'anywa nafasi waliyo stahili kuwepo.
Ukizunguka Tanzania ukaangalia ukubwa wa Ardhi iliyopo na nguvu kazi inayopotea mtaani na kwenye mitandao ya kijamii inauma sana.
 
Kaka Nchi hii tuna baadhi watu walio lelewa kiajabu sana wanao amini katika ajira kwa sabbu ajira za wazazi wao serikalini pamoja na deal za hapa na pale ndio zilizo walea na kuwakuza, Baba au mama alikuwa mwanasiasa ama mtumishi
Wa mshahara mkubwa na nafasi fulani

Hawa ukiwaambia kuna maisha nje ya Ajira ambayo ni huru zaidi kwao katu hawawezi kukuelewa, Kamwe kwani wanaamini wamenyang'anywa nafasi waliyo stahili kuwepo.
Ukizunguka Tanzania ukaangalia ukubwa wa Ardhi iliyopo na nguvu kazi inayopotea mtaani na kwenye mitandao ya kijamii inauma sana.
Wakati nipo kidato cha nne miaka kadhaa iliyopita nilimwambia mamangu nataka kwenda iringa kwa babu nikamwone ila naomba hela nimchukulie zawadi. Mamangu alisema nitakupa hela ukampe baba inatosha nikamwambia nataka nikampe zawadi mimi kama mimi. Nakumbuka mamangu kwa kuwa familia yetu ilikuwa ahueni alinipa hela nikamnunulia babu viwalo vya maana sana na nilifanya hivyo lengo kuu ni kuomba anipe shamba.

Nilipofika kwa babu nilitoa zawadi zangu na dagaa kama kilo 2 hivi na babu alinogewa sana na mjukuu wake wa kwanza kumuonyesha upendo ule. Babu aliniambia mjukuu wangu naona umekua naomba tuzunguke kwenye miliki zangu za ardhi nikuonyeshe mipaka nikasema haina shida babu, tulizunguka sana karibia masaa 4 maana alikuwa anamiliki mashamba/ mapori zaidi ya eka 500. Mwishoni mwa mizunguko nikaomba shamba akasema unataka kiasi gani nikasema hata eka 25 au 50 zinatosha babu.

Baada ya kuomba alisema nakupa kadri ulivyoomba na ntawambia wajomba zako na mama zako ili baadae wasikusumbue kama ntakufa karibuni. Akanionyesha mwisho wa shamba langu na kuanzia hapo kila likizo nilirudi iringa kuchimba mashimo ya miti na kupanda miti ya mbao na ikumbukwe sikuwashirikisha wazazi hivyo nilitumia mikono yangu na niliombea niwe na afya njema na hakika Mungu akabariki mwili, roho na nafsi vikawa katika usalama.

Hadi sasa namiliki shamba la miti zaidi ya eka 20 na nilianza kupanda mwaka 2009 na sijawahi kutumia kibarua yoyote labda kwa sasa kwa vile nafanya kazi serikalini.

Vijana tuna mda mwingi sana na nyumbani ardhi zipo ila hatujashituka na mda unaenda. TURUDI NYUMBANI YAJAYO YATAFURAHISHA
 
Wakati nipo kidato cha nne miaka kadhaa iliyopita nilimwambia mamangu nataka kwenda iringa kwa babu nikamwone ila naomba hela nimchukulie zawadi. Mamangu alisema nitakupa hela ukampe baba inatosha nikamwambia nataka nikampe zawadi mimi kama mimi. Nakumbuka mamangu kwa kuwa familia yetu ilikuwa ahueni alinipa hela nikamnunulia babu viwalo vya maana sana na nilifanya hivyo lengo kuu ni kuomba anipe shamba.

Nilipofika kwa babu nilitoa zawadi zangu na dagaa kama kilo 2 hivi na babu alinogewa sana na mjukuu wake wa kwanza kumuonyesha upendo ule. Babu aliniambia mjukuu wangu naona umekua naomba tuzunguke kwenye miliki zangu za ardhi nikuonyeshe mipaka nikasema haina shida babu, tulizunguka sana karibia masaa 4 maana alikuwa anamiliki mashamba/ mapori zaidi ya eka 500. Mwishoni mwa mizunguko nikaomba shamba akasema unataka kiasi gani nikasema hata eka 25 au 50 zinatosha babu.

Baada ya kuomba alisema nakupa kadri ulivyoomba na ntawambia wajomba zako na mama zako ili baadae wasikusumbue kama ntakufa karibuni. Akanionyesha mwisho wa shamba langu na kuanzia hapo kila likizo nilirudi iringa kuchimba mashimo ya miti na kupanda miti ya mbao na ikumbukwe sikuwashirikisha wazazi hivyo nilitumia mikono yangu na niliombea niwe na afya njema na hakika Mungu akabariki mwili, roho na nafsi vikawa katika usalama.

Hadi sasa namiliki shamba la miti zaidi ya eka 20 na nilianza kupanda mwaka 2009 na sijawahi kutumia kibarua yoyote labda kwa sasa kwa vile nafanya kazi serikalini.

Vijana tuna mda mwingi sana na nyumbani ardhi zipo ila hatujashituka na mda unaenda. TURUDI NYUMBANI YAJAYO YATAFURAHISHA
Kila heri mkuu.Kuna scheme za mpunga zimejengwa, zina maji usipime ,lakini watu wanalima masika ,kiangazi wanapumzika wakati maji yapo ya kutosha.
 
c&p

*BAADA YA MIAKA 20 MTAKUJA TANZANIA KUOMBA KAZI*

Nilipokuwa mwanafunzi nchini Poland miaka ya 90, tulikuwa na tabia ya kwenda Sweden wakati wa likizo na kufanya vibarua mbalimbali hasa kwenye mashamba ya wakulima. Watanzania kutoka nchi mbalimbali za Ulaya Mashariki tulikuwa na sehemu zetu tulikokuwa tunakutana na kufanya vibarua hivyo kwa malipo ambayo kwa mwenyeji yalikuwa madogo sana lakini kwa sisi toka Ulaya ya Mashariki ya wakati huo yalikuwa makubwa sana. Tukirudi Poland na hizo nchi zingine na dola zetu, basi tunaanza kuishi kama watoto wa mfalme wa Nsesi. Pombe kwa wingi, watoto wa kizungu, na sherehe kila weekend.

Hao wakulima wa Sweden walikuwa watu wa kawaida wenye elimu za chini lakini wakiwa matajiri wenye mashamba makubwa makubwa na machine kubwa kubwa. Sisi vibarua wao tulikuwa na elimu kubwa kubwa, wanafunzi wa Ph.D, Masters, Degrees. Tulikuwa engineers, madaktari, wanasheria, wachumi nk.

Siku mmoja boss wetu huyo mkulima akawa anapiga story na sisi na kuanza kumwuliza kila mmoja anasomea nini. Tukamwambia maelimu yetu makubwa makubwa. Tulipomaliza akasema yeye elimu yake ni ya msingi ambayo ilikuwa kama form four ya Tanzania lakini ana mashamba na anaweza kutuajiri sisi Wasomi. Akaendelea kusema amefika Tanzania mara nyingi na ni nchi nzuri sana na hali ya hewa nzuri kwa kilimo na uwekezaji mwingine. Anashangaa kwanini ni maskini hivyo mpaka wasomi wake tunakuja kufanya vibarua mashambani ili kujiongezea kipato? Akasema Sweden peke yake imeisaidia mno Tanzania lakini haoni tukisogea mbele.

Alichomalizia ndio kimenifanya niandike leo. Akasema tukibadilishana watu leo. Waswedish wote wakaenda Tanzania na mikono yao mitupu na Watanzania wote wakaja Sweden na mikono yao mitupu. Baada ya miaka 20 Tanzania itakuwa nchi tajiri na Sweden itafilisika na kuwa nchi maskini na mtaanza kurudi Tanzania kuomba vibarua.

Ukweli mwingine unauma lakini hubaki kuwa ukweli. Ni miaka karibu 25 toka tuambiwe hayo na bado Sweden ni nchi tajiri na Tanzania ni nchi maskini. Zile elimu zetu kubwa kubwa hazijatusaidia kitu. Naendelea kutafakari. Yule Mzungu ni kama alikuwa sahihi.

Tunakosea wapi watanzania na nani atakuja kutwambia kuwa sio kila kitu uwe na mtaji bali kama ardhi ipo basi fulsa ya kwako wewe ni kuwa na afya njema. Jifunze kuumia ili baadae uje uwaajili wasomi na wakuite bosi.

Bado nawakumbusha vijana rudini vijijini mkatumie ardhi ya familia ipasavyo na ukipata nafasi nunua pia ardhi itakusaidia. Limeni kila aina ya mazao yaani mazao ya mda mrefu miti nk na mazao ya mda mfupi mbogamboga na matunda.

KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI
i have found the solution
 
white man told us and made us believe in lies .
c&p

*BAADA YA MIAKA 20 MTAKUJA TANZANIA KUOMBA KAZI*

Nilipokuwa mwanafunzi nchini Poland miaka ya 90, tulikuwa na tabia ya kwenda Sweden wakati wa likizo na kufanya vibarua mbalimbali hasa kwenye mashamba ya wakulima. Watanzania kutoka nchi mbalimbali za Ulaya Mashariki tulikuwa na sehemu zetu tulikokuwa tunakutana na kufanya vibarua hivyo kwa malipo ambayo kwa mwenyeji yalikuwa madogo sana lakini kwa sisi toka Ulaya ya Mashariki ya wakati huo yalikuwa makubwa sana. Tukirudi Poland na hizo nchi zingine na dola zetu, basi tunaanza kuishi kama watoto wa mfalme wa Nsesi. Pombe kwa wingi, watoto wa kizungu, na sherehe kila weekend.

Hao wakulima wa Sweden walikuwa watu wa kawaida wenye elimu za chini lakini wakiwa matajiri wenye mashamba makubwa makubwa na machine kubwa kubwa. Sisi vibarua wao tulikuwa na elimu kubwa kubwa, wanafunzi wa Ph.D, Masters, Degrees. Tulikuwa engineers, madaktari, wanasheria, wachumi nk.

Siku mmoja boss wetu huyo mkulima akawa anapiga story na sisi na kuanza kumwuliza kila mmoja anasomea nini. Tukamwambia maelimu yetu makubwa makubwa. Tulipomaliza akasema yeye elimu yake ni ya msingi ambayo ilikuwa kama form four ya Tanzania lakini ana mashamba na anaweza kutuajiri sisi Wasomi. Akaendelea kusema amefika Tanzania mara nyingi na ni nchi nzuri sana na hali ya hewa nzuri kwa kilimo na uwekezaji mwingine. Anashangaa kwanini ni maskini hivyo mpaka wasomi wake tunakuja kufanya vibarua mashambani ili kujiongezea kipato? Akasema Sweden peke yake imeisaidia mno Tanzania lakini haoni tukisogea mbele.

Alichomalizia ndio kimenifanya niandike leo. Akasema tukibadilishana watu leo. Waswedish wote wakaenda Tanzania na mikono yao mitupu na Watanzania wote wakaja Sweden na mikono yao mitupu. Baada ya miaka 20 Tanzania itakuwa nchi tajiri na Sweden itafilisika na kuwa nchi maskini na mtaanza kurudi Tanzania kuomba vibarua.

Ukweli mwingine unauma lakini hubaki kuwa ukweli. Ni miaka karibu 25 toka tuambiwe hayo na bado Sweden ni nchi tajiri na Tanzania ni nchi maskini. Zile elimu zetu kubwa kubwa hazijatusaidia kitu. Naendelea kutafakari. Yule Mzungu ni kama alikuwa sahihi.

Tunakosea wapi watanzania na nani atakuja kutwambia kuwa sio kila kitu uwe na mtaji bali kama ardhi ipo basi fulsa ya kwako wewe ni kuwa na afya njema. Jifunze kuumia ili baadae uje uwaajili wasomi na wakuite bosi.

Bado nawakumbusha vijana rudini vijijini mkatumie ardhi ya familia ipasavyo na ukipata nafasi nunua pia ardhi itakusaidia. Limeni kila aina ya mazao yaani mazao ya mda mrefu miti nk na mazao ya mda mfupi mbogamboga na matunda.

KAMA UNATAKA MALI UTAIPATA SHAMBANI
 
Hapa lazima uulizwe wewe umelima hekari ngapi za mazao. Na mbona bado masikini?
 
Back
Top Bottom