getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,824
Mkuu una dhahabu halafu unaona uvivu kwenda sokoni kuiuza 
ilhali wanao wakufa kwa njaa na ufukara.
Waza kuhusu ufugaji wa Nguruwe je inakuchukua muda gani kuanza kuuza nguruwe wako ? Je kwa miaka mitano utakuwa na nguruwe wangapi?
Soko la nyama ya nguruwe a.k.a Kitimoto kuna wakati wowote limewahi kupungua mijini?
Umaskini kwetu ni wa kujitakia
"KAMA MNATAKA MALI MTAIPATA SHAMBANI."!

ilhali wanao wakufa kwa njaa na ufukara.Waza kuhusu ufugaji wa Nguruwe je inakuchukua muda gani kuanza kuuza nguruwe wako ? Je kwa miaka mitano utakuwa na nguruwe wangapi?
Soko la nyama ya nguruwe a.k.a Kitimoto kuna wakati wowote limewahi kupungua mijini?
Umaskini kwetu ni wa kujitakia
"KAMA MNATAKA MALI MTAIPATA SHAMBANI."!
Labda wanipe kidonge nami nimeze niwe mkulima naipenda sana kulima na kufuga ila kunatime moto unakuja alafu unakata navisahau kabisaa na nimeaomea mifugo ila sijawahi juhusisha