Barikiwa sana kiongozi kwa ushauri mzuriKwako Intelligent businessman dronedrake
Ewe kijana hasa wa kiume kama unataka kufanikiwa katika maisha yako acha mambo yafuatayo;
Kamwe usifanye ngono zembe. Yaani hata kama umeoa fanya kwa ajili ya kuzaa watoto tu si kwa ajili ya starehe. Ngono hukausha mifupa, ngono huleta uvivu, ngono humaliza uwezo wa kufikiri, ngono huleta magonjwa.
Kwa ambaye hujaoa usichuungulie uchi wa mwanamke kwa njia yoyote ile ile video au halisi. Usigusishe kiungo chako ovyo ovyo kwenye uchi wa wanawake. Wanawake wana mabalaa, mikosi, majini ya ukoo yaani ukikaa vibaya unachukua mikosi ya ukoo na yeye akachukua nyota. Kaulize utanipa majibu hapa.
Usivute bangi, sigara, shisha hulemaza ubongo hivyo uwezo wa kufikiri hupungua.
usibeti utakuja kunishukuru ni hasara na wanaofanikiwa ni wachache sana. Kubeti hudumaza akili pia hukupa uvivu wa kutofanya kazi.
Usifikiri kupitiliza juu ya vitu ambavyo huna uwezo navyo (overthinking) ni hatari pia.
Usijilinganishe, wanadamu tuna bahati na uwezo tofauti na njia tofauti za kutupa kipato. Hivyo usijilinganishe utaumia sana kitu ambacho kitakufanya kukata tamaa.
Usinywe pombe ili kupunguza mawazo, ulevi ukiisha mawazo yapo palepale.
Fanya yafuatayo,
kula mlo kamili kama una uwezo, fanya mazoezi, lala usingizi wa kutosha na usichelewe kuamka, tafuta kazi yoyote halali fanya ili mradi mkono uingie kinywani.
Asante sana Kiongozikaribu
🤣🤣🤣Mkuu hapo umekosea na umefanya uzi wako wote usiwe na mantiki😡😡😡😡
Huwa ninashangaa, mtu siyo mlevi, sio mtu wa wanawake na hachezi kamari, nini kitasababisha asimake?Labda utajiri wa afya ila sio utajiri wa mali.
Kuna watu hawafanyi hivyo vyote lakini ni masikini
Chemshabongo nyingine ni kwamba, inakuwaje mtu hafanyi hayo yote halafu hapigi hatua?Ngumu Sana Kaka, hivyo vitu vina poteza watu wengi.
Omba Sana, pepo la ngono zembe, kamali, na hata starehe mbaya ziku epuke
masonic. yule mwamba aliamua kumpigia magoti shetani. usidanganyike nayeKahubiri kanisani, lete facts sio porojo porojo hapa.
Mondi anakula unga, anachapa pisi kali na bado mkwanja anao.
Mmmmmh leo dadaYaani baba wawili anigegede kwa ajili ya kunipiga mimba!!!!?
Hapa ni mwendo wa kulalana tu!
Siku nikitaka kuwa romantic namnywea wine,, nikitaka kuchangamka vizuri na kuwa steji shoo mzuri kwa lupaso napiga Kilimanjaro, tukitaka kupeana za ki hardcore tunapiga konyagi na mechi za kushtukiza ziko pale pale.
😂😂😂😂 acheni hizi mambo bna, Yesu hahitaji kumchafua mtu ili uone ukuu wake.masonic. yule mwamba aliamua kumpigia magoti shetani. usidanganyike naye
JESUS IS LORD&SAVIOR
kuna watu wanajua ukweli lkn wanabishaAsante sana Kiongozi
all in all is vanityUsipo fanya hayo yote duniani utakuwa umekuja kufanya Nini Sasa kutalii maisha ni mara moja tu yaishi maana hayarudi tena siku ikipita ndio imepita ndio maisha yako
ukichanganya vibaya utaharibuAkili za kuambiwa changanya na za kwako