NITAIFANYA BIG DAY YAKO IWE NZURI
jamani!! Bebii kazi imeanza unalo hilooo!!jumamosi ni harusi ya mdogo wangu.je unaweza kufika sehemu inaitwa mofu-tanganyika masagati?nataka pambo la millioni 2....tehetete
Bebii mi nataka mume vipi nayo nikuone?