Kama unanunua mahindi tuonane hapa

Kama unanunua mahindi tuonane hapa

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,252
Reaction score
16,171
Nina tani 20 za mahindi nauza, naomba ofa yako. Yako Handeni Tanga
 
Nina tani 20 za mahindi nauza, naomba ofa yako. Yako Handeni Tanga
Asee tani 20 si mchezo mdau. Daah safi ila kwa nini usisogee maeneo ya kange palee kuna kiwanda kikubwa tu cha unga Pembe flour nadhani wanaweza kukupa offer ya mana mdau, Au check maeneo ya pugu road huku dar kuna azam flour aweza kupa deal la ukweli mdau.
 
Asee tani 20 si mchezo mdau. Daah safi ila kwa nini usisogee maeneo ya kange palee kuna kiwanda kikubwa tu cha unga Pembe flour nadhani wanaweza kukupa offer ya mana mdau, Au check maeneo ya pugu road huku dar kuna azam flour aweza kupa deal la ukweli mdau.
Ivi pugu road neo nyerere road au?
Inanichanganya kidogo
 
nataka 450 kwa kilo nije kuchukua...

Agro Business Iringa
 
Taja bei Ya Kilo Moja kwa dar utauzaje?Miimi nataka tani 30
 
Wadau nipo songea nataka kufanya biashara ya mahindi kuleta dar je debe ni shilingi ngapi huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom