Old - Hand
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 2,040
- 1,896
Usilete mahesabu ya mikoani ndani ya jiji.... debe ndio ninWadau nipo songea nataka kufanya biashara ya mahindi kuleta dar je debe ni shilingi ngapi huko
Usilete mahesabu ya mikoani ndani ya jiji.... debe ndio ninWadau nipo songea nataka kufanya biashara ya mahindi kuleta dar je debe ni shilingi ngapi huko
Mkubwa bei imesimama ngapi kwa sasa, unaweza nipa mawili matatu kuhusiana na gharama za kilimo na maeneo ya kilimo cha mahindi kwa songea. Nijibu hata kwa pmSio kwa sasa ashachelewa
Nakujibu hapa hapa.... kule mzee mashamba kununua simple kukodi simple.... na rutuba ipo.Mkubwa bei imesimama ngapi kwa sasa, unaweza nipa mawili matatu kuhusiana na gharama za kilimo na maeneo ya kilimo cha mahindi kwa songea. Nijibu hata kwa pm
Unaenda kununua vp unajua bei ya sasa. Nifafanulie kidogo unaposema utajiri upo nje njeNakujibu hapa hapa.... kule mzee mashamba kununua simple kukodi simple.... na rutuba ipo.
Mi mwenyewe natimba kule muda wa mavuno na napajua vizuur saaana... ni sehem ambayo utajiri upo nnje nnje kwa wajasiriamali
We jamaa bhaana..... pesa zinaokotwa road ukiwa unapita tu.Unaenda kununua vp unajua bei ya sasa. Nifafanulie kidogo unaposema utajiri upo nje nje
Biashara zenye kutaka ofa mara nyingi ni mufilisi, zina mtu kati au tangoofa yako wewe