BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,420
Binafsi najivunja kuwa mtanzania, vipo VINGI vinavyonifanya nijivunie kuwa mtanzania mojawapo ni amani na uwezo wa mtu kuishi popote ndani ya nchi.
Kama na wewe unapenda kuwa mtanzania like yako naitaka, pia andika chochote kizuri kuhusu Tanzania.
View attachment 2630105
Kama na wewe unapenda kuwa mtanzania like yako naitaka, pia andika chochote kizuri kuhusu Tanzania.
View attachment 2630105