Kama Una Nia. Karibu!!

Kama Una Nia. Karibu!!

Fay Mastories

Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
49
Reaction score
3
Habari!.
Kampuni ya Forever Living Products,inatoa fursa kwa watu wote bila kujali umri wala elimu yako,mnaosoma pamoja na mnaofanya kazi kujiongezea kipato cha ziada kupitia biashara hii, Biashara Ya Mtandao!!

Tuna bidhaa nyingi na za uhakika kwa ajili ya afya,urembo na usafi zaid.
Unapojiunga nasi,unajifunza mengi kupitia biashara hii!.kwa siku unaweza kutenga masaa mawili tu kuifanya au siku nzima na ukafanikiwa! FLP sio kutembea na bidhaa kuuza,hapana na wengi hatutegemei hapo!.ni kushirikisha watu.Tuna ofisi kila mkoa na tunatoa training tosha na jinsi ya kukuza kipato chako kupitia sisi!.unaposhirikiana nasi na kuwa team moja tunafanya kazi wote,na tunafanikiwa wote!.
hufanyi kazi peke yako!.

Yapo maelezo mengi juu ya biashara hii tuwasiliane kujua zaidi.
vigezo;
~uwe na miaka 18+
~uwe na a/c ya bank (malipo ufanyikia huko).
~ili uwe registered kama member ni lazima uwe na mtaji wa 375,000/=au zaidi,hii utumika kununulia mzigo mwanzoni.

nitumie PM namba yako ntakutafuta.
0719383663 Text
 
tatizo kubwa watu wanadhani ni kutembea na bidhaa hapana!!,hatushauri ivo,ni akili na nguvu yako mwenyewe kushirikisha watu na kutengeneza team yako!!.flp ina faidi nyingi sana kwa watu wake!!.

ni pesa?!.
ni nyumba?!.
ni uhuru tu?!.
au ni kusafiri nnje ya nchi na sehemu mbalimbali?!.

ukimbie umaskini,njoo tufanye kazi!!.
 
Kama huna hiyo pesa inakuaje na unataka kufanya kazi?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Jamaa wasanii sana, huwa wajifanya wana hela nyingu sana , lakini kwa interview zao aka seminars za masaa 5 hawatoi hata maji, kazi ni kujisifia wametimiza ndoto zao,
 
hehehehe eti bila kujali umri alafu kwenye vigezo uwe na 18+......teeehe nimepita tu
 
we unashangaa 375?!,wakati mtu anauwezo wa kuzalisha zaidi ya milioni nnje ya bidhaa za kawaida!!.kama una nia unafanya na unaweza.

Tatzo kumconvice mtanzania halisi anunue bidhaa aionayo ya kawaida kwa bei juu ya TzS10,000, sidhani kama mnazo bidhaa chini ya 10k!
 
Mleta uzi naona kasepa kimya kimya....teh teh teh...jf bwana!!! ni raaaaaaha
 
mimi waliniletea hayo madawa ya mswaki... nikawauliza wanasaidia vipi viwanda vya nyumbani?? wakaanza kuleta blahblah....
sote tukijiunga na forever living, viwanda vyetu sivitakufa????
 
Back
Top Bottom