FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
kama missed call moja inatosha, na Sina salio usiwaze kuhusu kukutafuta naendelea na mambo yangu...yaan wengine wanataka muda wote uwe umeishikilia simu ili akipga tu upokee😏😏 my ex girlfriend ndio alikua na tabia hiyo
very true sasa ukija mpigia anavyolalamika utadhani wewe kila kona unabebana na simu