Kama una miaka 30 na zaidi na bado unaishi maisha haya, basi wewe ni kubwa jinga

Kwanza, pmoja na kutita kubwa jinga Mkuu. Tambua kwamba maisha ni kuchagua siyo lazima wote tuishi kama unavyotaka wewe. Hayo ndiyo maisha tuliyoyachagua.

Pili, kama kila kitu kipo nyumbani kwanini mtu akateseke kwenda kupanga? mateso ya kupanga ni makubwa sana wakati maisha ni haya haya. Kwanini ujitese? au kujitesa ndiyo kunakufanya uonekane kidume?

Tatu, angalia maisha yako mkuu. Achana na maisha ya watu kabisa.
...Umemjibu Vyema Mkuu. Raha mojawapo ya Dunia yetu hii in Watu kutofautiana na kila MTU kuishi maisha take, sio kuishi kama Shule ambako wrote mnapaswa kuwa Sare ...!!
 
Tatizo we mleta huu uzi hujitambui. Fikiria Upande wa pili, unaelewa kwamba hali ya muhula huu wa tano ni magumu. Mshukuru Mungu kama umepata ajira inayokuingizia hela au biashara zako zinaenda vizuri. Huku wengine vijana wana zaidi ya miaka mitano hawana ajira ukiachia hapo biashara yenyewe inayumba, wengine ndio hawana mtaji pakuanzia biashara zao.

Usione mtu miaka 30 na zaidi anapenda kukaa nyumbani, Watu wana stress na zaidi ya hapo ni depression. Kitu kingine usione kijana bado anakaa na wazazi nyumbani ukamchukulia fala ana mipango yake au anatekeleza mipango yake (ujenzi wa nyumba yake) huku anafanya Mishe zake za kuingiza hela.
Next time think kabla haujaandikaa huu uzi wako.

Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
 
Unahamaje sasa home?

IMG_20201225_183213.jpg
 
Back
Top Bottom