Na safari zimelimwa; hadi kwa kibali maalum.....sasa mtaani ni heshima kubwa.....sisi walima matikiti nikiuza naamkiwa shikamoo hadi na wazee ha ha haHaswa kama ulienda uwanjani ukitegemea Sapraaaaizii....
View attachment 762764
Happy Workers Day
Ulichokiandika sijui hata kama umeelewaWafanyakazi wa Serikali wacha yawakutage; tumeshawasaidia weee wadai haki zao hawajisaidii ....tumeshachoka; ngoja wapambane na hali yao may be watabadilika.
Kesho asubuhi nikavune mpunga wangu; matikiti hela 6 nimeuza leo jioni....
Wafanyakazi wa Serikali wacha yawakutage; tumeshawasaidia weee wadai haki zao hawajisaidii ....tumeshachoka; ngoja wapambane na hali yao may be watabadilika.
Kesho asubuhi nikavune mpunga wangu; matikiti hela 6 nimeuza leo jioni....
Nawaonea huruma waliopoteza hela kununua T-shirt.business as usual
...nawaonea huruma waliopoteza muda kwenda uwanjani ...ni bora ungebaki hata nyumbani unabebishana na mkeo au mumeo
Ni vyema KULIMA MATIKITI NA KUUZA. ANGALIZO ni pale wanunuzi watakaposhindwa KUMUDU BEI YA MATIKITI. Mfanyakazi akilipwa vizuri MZUNGUKO WA FEDHA HUONGEZEKA.Na safari zimelimwa; hadi kwa kibali maalum.....sasa mtaani ni heshima kubwa.....sisi walima matikiti nikiuza naamkiwa shikamoo hadi na wazee ha ha ha