Kama una CD4 kubwa badi uwezi kuumwa ukimwi.

Kama una CD4 kubwa badi uwezi kuumwa ukimwi.

Wanduta

Senior Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
123
Reaction score
40
Wana jamvi,yani niukweli ulio wazi kwamba kumekuwa na gubiko kubwa la maambukizi ya virusi vya ukimwi na ukimwi kwa wingi,lakini kwa tafiti nilizozifanya mahospitalini nimegundua kuwa wanao athirika kwa wingi ni wale watu wenye CD4 lelemama,kwa sababu wale wenye CD4 ng'ang'ari hawawezi pata maambukizi hata wakijaamiina na watu wenye maambukizi,ko na waomba muwe makini kwa sababu unaweza ukawa na mwenzi na mkapima, lakini yeye asionekane muathirika kwasababu ya CD4 imara na badae ukaliwa kichwa.
 
Hahahaha yaani unaliwaje kichwa wakati umeshasema mmepima naukimwi hana
 
Hahahaha yaani unaliwaje kichwa wakati umeshasema mmepima naukimwi hana
Yeye anaonekana hana kwasababu CD4 zinaficha ukweli na wewe ukiingia kwa kichwa unaitwa HATUNAE TENA
 
Izo CD4 kubwa ndio zikoje?
Zinakua zaidi ya kiwango na ndo maana unakuta Kuna mtu anakwambia Ana miaka 40 ila unakuta ugonjwa wake mkubwa ni mafua au ka home ka kawaida
 
Yeye anaonekana hana kwasababu CD4 zinaficha ukweli na wewe ukiingia kwa kichwa unaitwa HATUNAE TENA
Kwenye uzi umesema mwenye hizo CD4 nyingi hawezi kuambukizwa hata akijamiiana na mwenye ukimwi.

Hapa unasema hizo CD4 zinaficha ukweli na ukikutana na mtu kama huyo utaitwa hatunae tena.

Mbona una ji contradict pakubwa sana ndani ya mda mfupi namna hiii?
 
Kwenye uzi umesema mwenye hizo CD4 nyingi hawezi kuambukizwa hata akijamiiana na mwenye ukimwi.

Hapa unasema hizo CD4 zinaficha ukweli na ukikutana na mtu kama huyo utaitwa hatunae tena.

Mbona una ji contradict pakuvwa sana ndani ya mda mfupi namna hiii?
Ok yaaani anakuwa na vvu au ukimwi,but aumdhuru but weye mwenye weak CD4 ndo unakumbwa na jangwa la Sahara.
 
Zinakua zaidi ya kiwango na ndo maana unakuta Kuna mtu anakwambia Ana miaka 40 ila unakuta ugonjwa wake mkubwa ni mafua au ka home ka kawaida
Kwa iyo nawez kwend hospital kupim izo CD4?
Miak yangu ni <21 tangu nijitambue sijawah kuumw kiasi cha kwenda hospital. Sana ni kwenda kupim malaria na nina zaid ya miaka miwili sijanywa dawa zaid ya panaldo. Kutokan na maelez yako je inawezkn ikawa kiashira cha kuwa na cd4 kubwa?
 
Kwa iyo nawez kwend hospital kupim izo CD4?
Miak yangu ni Kutokan na maelez yako je inawezkn ikawa kiashira cha kuwa na cd4 kubwa?
Kama ni kweli,basi uko miongoni mwa Hilo kundi but,kwa uhakika zaidi waweza kwenda kupima hospital
 
Back
Top Bottom