Habari za asubuhi. Ni matumaini yangu wenzangu ni buheri wa afya.
Kuna hii kitu nilikuwa natafakari jinsi hali ilivyo kwa sasa katika jamii yetu. Kuna trend ambazo naziona ambazo zinaturudisha nyuma katika mapambano dhidi ya ugonjwa huu.
UKIMWI upo jamani. Sisi tunaofanya kazi sekta ya afya tunathibitisha hilo. Yes, hauzungumziwi sana kama hapo zamani na upatikanaji wa dawa unasaidia kupunguza makali ya ugonjwa ila ugonjwa upo na watu wanazidi kuambukizwa kila siku.
Baadhi ya vitu nilivyogundua:
1. Ongezeko la watu kutotumia kinga hata pale ambapo wanakutana na mtu mpya. We nenda tu uzi wa kimasihara hesabu watu wangapi ambao walitumia kinga, ni wachache. Lakini pia kuna wale ambao wananunua kinga lakini utamu ukikolea anatoa au anaamua kwenda kavu kavu.
Mnajiweka katika hatari kubwa sana ndugu zangu.
2. Ongezeko la wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume. Men having sex with men (MSM). Hili suala watu hawapendi kulizungumzia ila lipo. Na baadhi ya watu wanaopinga ushoga kwa maneno unakuta nyuma ya pazia wanashiriki kwa namna moja au nyingine.
Mwaka 2014 hivi, professa wetu mmoja pale chuo alipresent pepa yake na moja ya vitu alivyogundua katika tafiti ni kwamba hapa Tanzania 20+ % ya wanaume wameshashiriki au wanaendelea kushiriki mapenzi ya jinsia moja.
Ina maana katika wanaume 5. Mmoja wao ameshawahi au anaendelea kushiriki. Hii inahusisha vijana wadogo wa kiume, vijana ambao hawajaoa, vijana waliooa na hata wenye familia, wazee pia.
Ingia tu mitandao ya dating kama tinder, badoo n.k utajionea jinsi ambavyo vijana wengi wa kiume wanajinasibu tena bila kificho.
Miaka ya mwanzo wakati UKIMWI unaanza, ulikuwa unatambulika kama ni ugonjwa wa mashoga maana wai ndio walikuwa wanaingiliana kinyume na maumbile tena bila kinga.
3. Hali imebadilika kwa sasa. Idadi ya watu wanaopenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile imeongezeka kwa kasi ya kimbunga. Mbaya zaidi watu wanafanya bila kinga na bila kujua hali ya kiafya ya mtu anayefanya naye.
Kutengeneza michubuko ya huko topeni ni rahisi sana. Anal sex ina one of the highest risk kuambukiza VVU. Lakini watu wanaona ujanja siku hizi
4. Uwepo wa kundi la watu ambao hawapimi afya zao na bado wanaendelea na ngono zembe. Ina maana kama mtu ana maambukizi hawezi kujua, hataanza dawa. Walau ukitumia dawa unapunguza kiwango cha virusi kwenye damu na hivyo kushusha uwezekano wa kuambukiza mtu mwingine. Lakini hali haipo hivyo. Watu hawataki kupima
5. Watu kutotumia dawa kwa usahihi. Dawa za ARV zikitumika vyema husaidia kushusha kiwango cha virusi kwenye damu, husaidia kinga ya mwili kupanda, hupunguza uwezekano wa kupata magonjwa nyemelezi. Lakini watu hawataki hiyo. Mwisho wa siku wanakuja hospitali wakiwa na stage 4 HIV associated diseases na wengine huwa ndio mwisho wao.
Tubadilike jamani, uamuzi upo katika mikono ya kila mmoja wetu. Jikinge mkinge na mwenzako.
Uzi tayari
Sent using .... who cares anyway
Kuna hii kitu nilikuwa natafakari jinsi hali ilivyo kwa sasa katika jamii yetu. Kuna trend ambazo naziona ambazo zinaturudisha nyuma katika mapambano dhidi ya ugonjwa huu.
UKIMWI upo jamani. Sisi tunaofanya kazi sekta ya afya tunathibitisha hilo. Yes, hauzungumziwi sana kama hapo zamani na upatikanaji wa dawa unasaidia kupunguza makali ya ugonjwa ila ugonjwa upo na watu wanazidi kuambukizwa kila siku.
Baadhi ya vitu nilivyogundua:
1. Ongezeko la watu kutotumia kinga hata pale ambapo wanakutana na mtu mpya. We nenda tu uzi wa kimasihara hesabu watu wangapi ambao walitumia kinga, ni wachache. Lakini pia kuna wale ambao wananunua kinga lakini utamu ukikolea anatoa au anaamua kwenda kavu kavu.
Mnajiweka katika hatari kubwa sana ndugu zangu.
2. Ongezeko la wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume. Men having sex with men (MSM). Hili suala watu hawapendi kulizungumzia ila lipo. Na baadhi ya watu wanaopinga ushoga kwa maneno unakuta nyuma ya pazia wanashiriki kwa namna moja au nyingine.
Mwaka 2014 hivi, professa wetu mmoja pale chuo alipresent pepa yake na moja ya vitu alivyogundua katika tafiti ni kwamba hapa Tanzania 20+ % ya wanaume wameshashiriki au wanaendelea kushiriki mapenzi ya jinsia moja.
Ina maana katika wanaume 5. Mmoja wao ameshawahi au anaendelea kushiriki. Hii inahusisha vijana wadogo wa kiume, vijana ambao hawajaoa, vijana waliooa na hata wenye familia, wazee pia.
Ingia tu mitandao ya dating kama tinder, badoo n.k utajionea jinsi ambavyo vijana wengi wa kiume wanajinasibu tena bila kificho.
Miaka ya mwanzo wakati UKIMWI unaanza, ulikuwa unatambulika kama ni ugonjwa wa mashoga maana wai ndio walikuwa wanaingiliana kinyume na maumbile tena bila kinga.
3. Hali imebadilika kwa sasa. Idadi ya watu wanaopenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile imeongezeka kwa kasi ya kimbunga. Mbaya zaidi watu wanafanya bila kinga na bila kujua hali ya kiafya ya mtu anayefanya naye.
Kutengeneza michubuko ya huko topeni ni rahisi sana. Anal sex ina one of the highest risk kuambukiza VVU. Lakini watu wanaona ujanja siku hizi
4. Uwepo wa kundi la watu ambao hawapimi afya zao na bado wanaendelea na ngono zembe. Ina maana kama mtu ana maambukizi hawezi kujua, hataanza dawa. Walau ukitumia dawa unapunguza kiwango cha virusi kwenye damu na hivyo kushusha uwezekano wa kuambukiza mtu mwingine. Lakini hali haipo hivyo. Watu hawataki kupima
5. Watu kutotumia dawa kwa usahihi. Dawa za ARV zikitumika vyema husaidia kushusha kiwango cha virusi kwenye damu, husaidia kinga ya mwili kupanda, hupunguza uwezekano wa kupata magonjwa nyemelezi. Lakini watu hawataki hiyo. Mwisho wa siku wanakuja hospitali wakiwa na stage 4 HIV associated diseases na wengine huwa ndio mwisho wao.
Tubadilike jamani, uamuzi upo katika mikono ya kila mmoja wetu. Jikinge mkinge na mwenzako.
Uzi tayari
Sent using .... who cares anyway