Hadi kufikia 2030s UKIMWI utakua sio big deal tena

United ya Ferguson

JF-Expert Member
Oct 29, 2021
2,772
5,431
Mpango wa shirika la afya Dunia WHO hadi kufikia mwaka 2030 na kuendelea ni kuhakikisha wanauzuia maumbukizi mapya ya HIV Duniani Yani Kwa lugha rahisi ni kwamba kufikia hiyo mwaka shirika la afya litahakisha limepigana hadi kuzuia watu kuambukizwa HIV

Kwa mujibu wa shirika la afya Duniani njia mojawapo ambayo itaweza kutufikisha kwenye haya malengo ni kuakikisha elimu ya ugonjwa wa HIV inawafikia watu wengi kadri inavyowezekana.mfano matumizi sahihi ya condom,kutoa elimu na ushauri kwenye makundi atarishi,

Njia nyingine ni kuwa na dadi kubwa ya watu waliopima HIV kadri inavyowezekana Kam Kun kipind ilikua ukienda Hospital zetu.kupimwa UKIMWI ilikua ni kama kitu Cha lazima utapimwa magonjwa yote lakin Ukimwi lazima upimwe utaki unataka

Njia nyingine ni kuwaanzishia matumizi ya dawa mara moja watu wote watakao kutwa na maambukizi ni rahisi sana mtu kuambukizwa HIV na mtu muathirika ambaye hatumii dawa ila sio rahisi kuambukizwa HIV na muathirika anayetumia dawa apo Kuna mambo ya Viral load kwahyo kadri tukavyokuwa na watumiaji wengi wa dawa ndio tukavyokuwa tunapunguza chain ya maumbukizi mapya

Njia nyingne ni kuhakikisha tuna wakinga wale wote wenye Wapenzi wanaoishi na HIV

Njia zipo nyingi ila hizo ni baadhihi ya zitakazotufishika kweny mpango wetu

Ile kauli ya kusema mbona sikuizi UKIMWI hautish Kuna watu wamepigana usiku na mchana kutufikisha hapa tulipo hadi tunaona UKIMWI ni kitu Cha kawaida
 
Mpango wa shirika la afya Dunia WHO hadi kufikia mwaka 2030 na kuendelea ni kuhakikisha wanauzuia maumbukizi mapya ya HIV Duniani Yani Kwa lugha rahisi ni kwamba kufikia hiyo mwaka shirika la afya litahakisha limepigana hadi kuzuia watu kuambukizwa HIV


Kwa mujibu wa shirika la afya Duniani njia mojawapo ambayo itaweza kutufikisha kwenye haya malengo ni kuakikisha elimu ya ugonjwa wa HIV inawafikia watu wengi kadri inavyowezekana.mfano matumizi sahihi ya condom,kutoa elimu na ushauri kwenye makundi atarishi,

Njia nyingine ni kuwa na dadi kubwa ya watu waliopima HIV kadri inavyowezekana Kam Kun kipind ilikua ukienda Hospital zetu.kupimwa UKIMWI ilikua ni kama kitu Cha lazima utapimwa magonjwa yote lakin Ukimwi lazima upimwe utaki unataka

Njia nyingine ni kuwaanzishia matumizi ya dawa mara moja watu wote watakao kutwa na maambukizi ni rahisi sana mtu kuambukizwa HIV na mtu muathirika ambaye hatumii dawa ila sio rahisi kuambukizwa HIV na muathirika anayetumia dawa apo Kuna mambo ya Viral load kwahyo kadri tukavyokuwa na watumiaji wengi wa dawa ndio tukavyokuwa tunapunguza chain ya maumbukizi mapya

Njia nyingne ni kuhakikisha tuna wakinga wale wote wenye Wapenzi wanaoishi na HIV

Njia zipo nyingi ila hizo ni baadhihi ya zitakazotufishika kweny mpango wetu

ile kauli ya kusema mbona sikuizi UKIMWI hautish Kuna watu wamepigana usiku na mchana kutufikisha hapa tulipo hadi tunaona UKIMWI ni kitu Cha kawaida

Basi sawa
 
Wawo wanadai ni Bora umpe mtu elimu ya kufanya ngono salama kuliko kumkataza mtu asifanye ngono kabisa utaleta mabadala mengine
Hiyo ni sawa na kuhalalisha madhara wanayopambana kuyaondoa. Kwa nini wasifundishe pia njia bora za kufanya uhalifu mwingine bila wahusika kuwadhuru directly wahanga wao?
 
Back
Top Bottom