Unazungumzia kununuliwa nini Mkuu?! Coz umeweka red sehemu 3
Nimechekaje, pokea LIKE yangu mkuu siiioni kwenye screen
Ukikuta pahala panajengwa kisha kuna rundo la amchanga eti lazima upite juu ya Mchanga kama vile unapanda Mlima.
[*=1]Choo ya shule haikuwa na maji kwa ajili ya mtawazo, badala yake unatembea na gunzi mfukoni, au majani ukikosa vyote unatazama kulia na kushoto hamna mtu unakaa ardhini unasota harakaharaka au ukizidiwa kwenye kona ya ukuta then unatimua,
[*=1]Kutumia u.p.u.p.u kukomesha wanaotumia kuta na sakafu kama toilet paper mbadala, akiingia darasani utatambua tu kuwa huyu kakiuka kanuni za mtu ni afya, kiti kinakuwa hakikaliki
[*=1]Choo ya shule haikuwa na maji kwa ajili ya mtawazo, badala yake unatembea na gunzi mfukoni, au majani ukikosa vyote unatazama kulia na kushoto hamna mtu unakaa ardhini unasota harakaharaka au ukizidiwa kwenye kona ya ukuta then unatimua,
[*=1]Kutumia u.p.u.p.u kukomesha wanaotumia kuta na sakafu kama toilet paper mbadala, akiingia darasani utatambua tu kuwa huyu kakiuka kanuni za mtu ni afya, kiti kinakuwa hakikaliki
23. kuendesha ringi ya baiskeli![]()
sema kwa huku kijijii kwenu dsm mambo hayakuwepo kabisa
darasani kama ticha hayupo lazima mcheze mdako na stori nyingi za picha la jana la chekinorisi
Kulikuwa na mshkaji anaitwa Yunus Jebaa akili halina sijui yupo wapi huyu alikuwa anakaa Upanga kwao kuna Tv watu walikuwa wanamzungukajee asimulie Bruce Lee...Mara no treat no surrender sijui au American Ninja