Kama umeoa au haujaoa take this

Kama umeoa au haujaoa take this

Issue ni kuwa return sisi kwetu ni constant maana our worth haiendi kizembe our fruit of our labour tunaweza ku enjoy hata on our 50's na kupata mwanamke fresh

Ila nyie above 35 tu tayari umeshakuwa kama gari bovu leo limewaka kesho limezima
Hizi brainwashed ideas zinafanya kazi kwa dada zako mwaya sio kwangu.

Utachoka na utalala na kiu, Hii ni namba tofauti.
 
Kama unafurahia kupokea taarifa za misiba jifunze kuzipokea na taarifa za sherehe pia kwa sababu misiba na sherehe vyote vipo!
Hiyo ni false equivalence, kuwepo kwa misiba na sherehe hakufanyi hisia, uzito wala namna ya kuzipokea ziwe sawa.

Kila jambo lina muktadha wake,kusema vyote vipo, si hoja ya kuthibitisha kwamba vinapaswa kupokelewa kwa namna ileile.
 
Hizi brainwashed ideas zinafanya kazi kwa dada zako mwaya sio kwangu.

Utachoka na utalala na kiu, Hii ni namba tofauti.
Nakwambia hivi wewe dada yangu hawezi kuwa kama wewe uliyechezea ujana wako

She's still young under well parental care, sio wewe uliye kuwa unataka tapa kusoma psychological indoctrination zilizo kufanya ukose link na your feminine qualities..

Mda wako una karibia tamati, amka sasa upate angalau raha kwa kidogo ulicho bakiza
 
Nakuhakikishia utaishiwa matusi, i won’t stoop to your level.

Kwahiyo mwanetu ulikuwa unajaribu kusemaje?????


Teh.
Hayo sio matusi bali ni kukuonesha kuwa huna akili za kujua wanaume are working day and night to feed you hasa ulivyo kuwa mdogo, na hata kama ukiishi na singo mama, alipewa matumizi ya jasho la mwanaume.. Soo hicho kiburi ulicho nacho ni laana.
 
Hiyo ni false equivalence, kuwepo kwa misiba na sherehe hakufanyi hisia, uzito wala namna ya kuzipokea ziwe sawa.

Kila jambo lina muktadha wake,kusema vyote vipo, si hoja ya kuthibitisha kwamba vinapaswa kupokelewa kwa namna ileile.
Nadhani umenielewa hata kama hujakubaliana na nilichokisema!
 
Nakwambia hivi wewe dada yangu hawezi kuwa kama wewe uliyechezea ujana wako
Hili kutoka kwako kwa kweli halina uzito wowote, Masikini hujui tu…

She's still young under well parental care, sio wewe uliye kuwa unataka tapa kusoma psychological indoctrination zilizo kufanya ukose link na your feminine qualities
You are real pressed 😂😂 Soma pia, Elimu ni bure kuanzia primary hadi kidato cha 4.

..

Mda wako una karibia tamati, amka sasa upate angalau raha kwa kidogo ulicho bakiza
Hiyo raha unaweza kupata wewe pia.
 
1.Kwenye mambo yako muhimu ya maisha mipango ya maana usimshirikishe mwanamke wako.
2.Mwanamke wako sio ndugu yako,ni adui yako namba moja.
3.wanawake wapo kwa ajili ya kuharibu maono yako .
4.wanawake ni watu wenye maamuzi ya muda mfupi hawana long plan targets kwenye maisha yao.
5.kwa kuwa mwanaume ni kichwa maamuzi yote yenye tija kwenye familia fanya wewe mwenyewe.
6.Kama ulikuwa na mpango wako kabla ,mwanamke akaja na wazo zuri zaidi endelea na mipango yako.
7.wanawake ni watu vigeugeu.
8.uisiwaamini kamwe mwanamke anayekuambia kopa tufanye projects flan,never trust them.
9.Kama mwanamke anatoka familia tajiri sana na wewe unatoka uchumi wa kawaida ,just let her go.
10.kama ulimesekia amewahi kutoa mimba mwache.
11.kama anakopa na kuwa na vikoba mwache.
12.Kila mwanamke anayeshine kwa mafanikio makubwa nyuma yake kuna mwanamume boya.
13.usipoteze muda na nguvu zako kumridhisha mwanamke ,hawaridhiki.
14.siku ukiishiwa utaachwa
15.tafuta pesa huo ndio ufunguo wa warembo.
16.usiwahurumie mwanamke aliyeachwq na watoto wake ,unless wewe ni kaka yake au baba yake.
17.uxile pesa ya mwanamke.
18.hata kama mkeo anafanya kazi ,usitumie pesa zake kamwe.
19.wale mnawaita mama wa nyumbani wana unafuu mkubwa zaidi.
20.ni rahisi wao kudanga na mabosi wao hata kama kazi yenyewe ni housgirl au barmaid.
21 si lazima mkeo ajue kila kitu kuhusu pesa zako.
22.ficha pesa zako hiyo ndio nguvu yako mwanamume,weka akiba.
23.usihonge sana pesa nyingi ,wape matumaini mwanzoni kula sepa.
24.mwanamke aliyemwacha mwanamume mwenzako kuja kwako ana ugonjwa ule ule.
25.kadri wanavyoelimika ndivyo ushetani wao unazidi.
26.usimwamini sana mwanamke hata kama ni dada yako au mama yako.
27.wengi wanatamani kuwa wanaume ni vile hawawezi.
28.ukimfumania once mwache.
29.ni wazi kuwa hawezi kumwacha ex au mwanamume aliyemzalisha.
30.usislambe mbususu ya mwanamke,ni kujishusha ukuu wako,hataweza kukuheshimu.
31.kamwe usiseme udhaifu wako wowote kwa mwanamke hyo itakuwa fimbo ya kukuchapia milele.
32.eat your own bread
33.Watu wengi wakubwa waliangushwa na wanawake waliowaamini.
34.Usimnyenyekee mwanamke mwingine zaidi ya mama yako mzazi.
35.mwanamke anayekutongoza ni kahaba.
36.usitembee na mtu na dada yake au mama yake.
37.usipende kuchanganya nyama na samaki same pot.

38.the moment mwanamke amekuinulia mkono mwache,never mind.
39.dont entrust her withyour kids from another womb.
40.fanya bidii awe mama ya nyumbani.
41.kama ni mlevi au smoke just quit
42.mpe hela ya kutosha,kama baada ya muda mfupi atakuomba tena na tena mwache.
43.akikukosoa sana kuhusu kuvaa kwako vibaya ,mwache.
44.usikubali kulala ukweni.
45.hakuna single mother,
46.Kwenye shida kumbuka ,ni lazima akusaliti
47.kumbuka watataka uwafanyie mambo ambayo wao wenyewe hawayawezi.
48.wanachukulia ndoa ni kama guarantii ya wao kukumiliki.
49.kama ingekuwa hakuna vyeti vya ndoa ama vikipotea ni bora zaidi.
49.jitahid ujenge kabla hujaoa.
50.jitahid usioe mwanamke mpumbavu.
51.kwenye ndoa kuna fujo nyingi zaidi ya ukiwa single.
Nasema na nitazidi kusema " hakuna elimu ya ndoa, ila ndoa ndio inatoa elimu na kila mtu atapata elimu yake kadiri anavyotaka ajifunze nini"
 
Hayo sio matusi bali ni kukionesha kuwa huna akili za kujua wanaume are working day and night to feed you hasa ulivyo kuwa mdogo, na hata kama ukiishi na singo mama, alipewa matumizi ya jasho la mwanaume.. Soo hicho kiburi ulicho nacho ni laana.
Nimelaanika basi, Are you happy now?

Matatizo yako yameisha? Kama bado endelea mpaka upone….

I’m very good at giving people like you a punch bag.
 
Hili kutoka kwako kwa kweli halina uzito wowote, Masikini hujui tu…


You are real pressed 😂😂 Soma pia, Elimu ni bure kuanzia primary hadi kidato cha 4.


Hiyo raha unaweza kupata wewe pia.
Sasa unataka kuniambia kipindi Unasoma elimu ilikuwa bure wewe ndumira kuwili?

Siko pressed bali nakupa makavu wewe mpenda shotcut

Huna hoja sasa, ila tambua wanaume wa leo sio wajinga kukubali upuuzi wenu
 
Nimelaanika basi, Are you happy now?

Matatizo yako yameisha? Kama bado endelea mpaka upone….

I’m very good at giving people like you a punch bag.
Not giving a punch bag, but understanding that ukweli Kamwe haupingiki hata iweje
Unadhani your delulu lifestyle will get you any where, kumbe unajitafutita unnecessary suffering
 
Sasa unataka kuniambia kipindi Unasoma elimu ilikuwa bure wewe ndumira kuwili?

Siko pressed bali nakupa makavu wewe mpenda shotcut

Huna hoja sasa, ila tambua wanaume wa leo sio wajinga kukubali upuuzi wenu
Usituseme bwashee, mtoto mzuri kama binti wa kiziwi hakuna fala ataacha kumkubali😅

Note:Usinichokeze nalewa🤣
 
Sasa unataka kuniambia kipindi Unasoma elimu ilikuwa bure wewe ndumira kuwili?
Seriously huwa natamani uwe unaelewa unachokiongea, unfortunately for you.

Siko pressed bali nakupa makavu wewe mpenda shotcut
Teh
Huna hoja sasa, ila tambua wanaume wa leo sio wajinga kukubali upuuzi wenu
Sijui hata unazungumzia nini….. Sina ugomvi na wanaume, labda kama una refer kitu kingine.
 
Seriously huwa natamani uwe unaelewa unachokiongea, unfortunately for you.


Teh

Sijui hata unazungumzia nini….. Sina ugomvi na wanaume, labda kama una refer kitu kingine.
NKwambia hivi,

You'll keep being trash, usipo amka kifikra na kihisia

Sasa naona hata maneno huna,

Ila jua kuwa I'm rooting to see you change otherwise utanikimbia tu
 
Not giving a punch bag, but understanding that ukweli Kamwe haupingiki hata iweje
Unadhani your delulu lifestyle will get you any where, kumbe unajitafutita unnecessary suffering
If not giving you a punch bag, basi endorsing your stupidity. Yote haya yanafanya kazi moja. And that’s JF for you 😂😂

Yule mtoto/ mdogo wako ambaye yuko well parentified ndio unatakiwa ujali kuhusu lifestyle yake. Yangu haikusaidii kitu.
 
If not giving you a punch bag, bad endorsing your stupidity. Yote haya yanafanya kazi moja. And that’s JF for you 😂😂

Yule mtoto/ mdogo wako ambaye yuko well parentified ndio unatakiwa ujali kuhusu lifestyle yake. Yangu haikusaidii kitu.
Sitaki I nisaidie nataka ikusaidie wewe uliyepotea ndani ya psychology uchwara

Wewe tusipo kuangalia utawanywesha generation ijayo sumu ya feminism

Ndo nyie mlio kosa upendo mnapenda kuharibu kizazi kijacho
 
Back
Top Bottom