Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,706
- 36,163
Hello!
Ndio hivyo wazee, kama umejiajiri fanya kazi kwa bidii maana biashara ikifilisika na wewe umefilisika automatically bila kipingamizi.
Ila kama umeajiriwa neno bidii halikuhusu, kumbuka kuwa kama ulijaza mkataba wa kuanza kazi ni vyema ujue kuna mkataba wa kumaliza kazi.
Watu wengi wameumia sana baada ya kufanya kazi kwa sifa na baadaye termination ikawakumba.
Work easy.
Fanya jukumu lako tu acha kimbelembele. Kuna watu ni vimbelembele mpaka wanavamia majukumu ya wengine.
Weka akiba kidogo kidogo usije ukachanganyikiwa siku utakayogeukwa na huyo bosi wako anayekusifia leo.
Ndio hivyo wazee, kama umejiajiri fanya kazi kwa bidii maana biashara ikifilisika na wewe umefilisika automatically bila kipingamizi.
Ila kama umeajiriwa neno bidii halikuhusu, kumbuka kuwa kama ulijaza mkataba wa kuanza kazi ni vyema ujue kuna mkataba wa kumaliza kazi.
Watu wengi wameumia sana baada ya kufanya kazi kwa sifa na baadaye termination ikawakumba.
Work easy.
Fanya jukumu lako tu acha kimbelembele. Kuna watu ni vimbelembele mpaka wanavamia majukumu ya wengine.
Weka akiba kidogo kidogo usije ukachanganyikiwa siku utakayogeukwa na huyo bosi wako anayekusifia leo.