Kama umejaza course 4 second round application

Kama umejaza course 4 second round application

Teacher Emma

Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
21
Reaction score
9
Habari wadau wa Jf
Kama ulifanya second round application ya TCU siku za nyuma ulikuwa ukijaza course 4 ilikuwa huwez tena kuongeza ya 5 lakini cha ajabu jana nilipoclick "make second round application" ilikubali kuongeza course ya tano na kufanya machaguo kufikia 5. Kwa wale wenzangu na mie mlioishia 4 rudini muongeze ya 5 ili kupata nafasi moja ya ziada..maana asaiv usijiamin na hizo 4 tu.
 
Back
Top Bottom