GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,034
"Kama nchi yetu ya Uganda imebarikiwa Ardhi yenye Rutuba, Hali ya Hewa nzuri na Mazingira rafiki ya kumfanya Mkulima kwenda Shambani Kulima na akapata Chakula cha kutosha nikisikia kuna Waganda wanalia na kulalamika Njaa watakuwa ni Wapumbavu mno na hawastahili Kusaidiwa au hata kuonewa Huruma" amesema Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda Henry Okello Oryem.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia leo.
Miaka kadhaa iliyopita Waziri wa Fedha wa Tanzania Dk. Mwigulu Nchemba aliwahi kusema kuwa kama kuna Mtanzania anaona Maisha ya Tanzania ni magumu kwa kuwa na Utitiri wa Kodi na Tozo basi upesi sana ahamie nchini Burundi.
Huenda Marais wa Afrika wakawa Wanawateua Watendaji / Wasaidizi Wao ( Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ) ambao ama ni Wavuta Bangi au Wanywa Gongo au ni Maniac ( Wendawazimu )
Chanzo: BBC Dira ya Dunia leo.
Miaka kadhaa iliyopita Waziri wa Fedha wa Tanzania Dk. Mwigulu Nchemba aliwahi kusema kuwa kama kuna Mtanzania anaona Maisha ya Tanzania ni magumu kwa kuwa na Utitiri wa Kodi na Tozo basi upesi sana ahamie nchini Burundi.
Huenda Marais wa Afrika wakawa Wanawateua Watendaji / Wasaidizi Wao ( Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya ) ambao ama ni Wavuta Bangi au Wanywa Gongo au ni Maniac ( Wendawazimu )