Kama ukiweza bembeleza watoto walale

Kama ukiweza bembeleza watoto walale

Manton

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,163
Reaction score
1,529
Ukiona mtu anakwambia mtu yeyote asiwashe taa hata kama giza lina tisha watoto, wanalia wanataka kujua nini kilichomo katika giza hilo. Bado sauti inasema: hakuna kuwasha taa. Basi cha kufanya wabembelezeni watoto walale, kutapambazuka tu, wakati mtoa katazo akiwa bado kafumba macho.

ONYO: Hadithi hii inafaa kusomwa na kujadiliwa na mtu mwenye upeo wa juu, wa kung'amua na kuchanganua mambo mapya kwa ufasaha bila mihemko.

Karibu.
 
Corona, Serikali, wananchi Nimejaribu kuwaza tu mkuu ila sijajua hadithi yako inatufundisha nini
 
Corona, Serikali, wananchi Nimejaribu kuwaza tu mkuu ila sijajua hadithi yako inatufundisha nini
Ninatufundisha tusiwapige watoto wanaotaka taa iwashwe wala kuwatisha, tuwabembeleze tu hadi wapate usingizi.
 
Haina jinsi subirini watoto walale ndio nanyi muanze kusaka watoto wengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom