maggid,
just curious, Umeamua kubandika hii tena?
just curious, Umeamua kubandika hii tena?
Na Maggid Mjengwa,
HUU ni mjadala niliouanzisha kule kwenye jukwaa la Jamii (www.jamiiforums.com). Nauendeleza hapa ili uwafikie wengi zaidi.
Ni tathimini yangu. Ni mtazamo wangu huru. Katika kuishi kwangu kuna chaguzi nilizozishuhudia kwa macho na nilizosoma vitabuni. Hivyo, ninachoandika kinatokana na uzoefu wangu wa kufuatilia kwa karibu mienendo ya chaguzi zetu.