Kama tunaamini katika vyama, CCM itatawala daima!

Ni wapi pameandikwa kuwa CCM itatawala milele? Nani alisema kuwa CCM haitaondoka madarakani? Je,wanaosema kuwa CCM itatawala milele wana hatimilki ya kutawala milele?
Alitumia sababu gani za misingi kusema kuwa CCM haitaondoka madarakani?
Je,anajua tofauti ya kizazi cha sasa na cha zamani?
CCM kuondoka madarakani ni LAZIMA NA SIO OMBI. Hakuna lenye mwanzo likose kuwa na mwisho. Iwe kwa kiparata au kwa mguu CCM lazima ing'oke. Kitu chochote hupitia hatua 3,kuzaliwa,kukua na kufa,hata bidhaa sokoni hupitia hatua 3.
 
Mkuu bk7 wako wapi? haya maswali ni mazito namtaka ifweero aje ajibu maana yuko kuzimu na amegoma kutoka huko,saa ya ukombozi ni sasa mpaka nchi ya ahadi.
 
Kaka usemayo yana ukweli 100%mm na ww na wengine tuelezane ukweli pasi na kuficha vijana tumekuwa wa2 wklalamika lakn siku yakupiga kura utawaona wazee kwa wingi lkn vijana wakuhesabu.

a
 
Back
Top Bottom