Stahmy Junior
Member
- Mar 11, 2011
- 82
- 16
Hivi jamani laiti kama unapofanya tendo la ndoa ungehisi uchungu kama wa shubiri na sio utamu.
Je wangapi wangediriki kufanya ngono?
Je wangapi wangediriki kufanya ngono?
mia mkuuSimpooo....!kam ingekua hivyo basi shubiri ingekua tamu kama tendo la ndo.
so tungekula shubiri, alaf ungetuuliza "hivi ma shubiri ingekua chungu kama tendo la ndoa nan angeila"??
Simpooo....!kam ingekua hivyo basi shubiri ingekua tamu kama tendo la ndo.
so tungekula shubiri, alaf ungetuuliza "hivi ma shubiri ingekua chungu kama tendo la ndoa nan angeila"??
Simpooo....!kam ingekua hivyo basi shubiri ingekua tamu kama tendo la ndo.
so tungekula shubiri, alaf ungetuuliza "hivi ma shubiri ingekua chungu kama tendo la ndoa nan angeila"??
Kweli kabisa ni sawa na kusema hivi macho yangekuwa kwapani tungeonaje????
Simple tungekuwa tunatembea makwapa yapo juu tu.
Majibu mazuri sana
wangetupa wanywa gongo na Wavuta bangi!Kila kitu ni kitamu inategemea
unakichukuliaje tu!
Simpooo....!kam ingekua hivyo basi shubiri ingekua tamu kama tendo la ndo.
so tungekula shubiri, alaf ungetuuliza "hivi ma shubiri ingekua chungu kama tendo la ndoa nan angeila"??
Majibu mazuri sana wangetupa wanywa gongo na Wavuta bangi!Kila kitu ni kitamu inategemea unakichukuliaje tu!
nimependa hiyo statement,copz kuna philosopher alisema 'there is nothing bitter unless u think it is xo'
Kuna watu wabishi wewe!!
Majibu mazuri sana wangetupa wanywa gongo na Wavuta bangi!Kila kitu ni kitamu inategemea unakichukuliaje tu!
Dem kwangu angekuwa kituocha polis