Kama Tanzania inataka kusaidia Congo, isifanye kwa siri

Wote mnaopinga kwenda Congo mtakuwa wanajesh mmevamia fan mnawaogopa m23,mliingia jesh kupata salary sasa mkachukue lindo congo hahahaaaaaaaaa yale mabom ya goms na mbagala yaliwakimbiza sasa haya ya m23 mtajiua kabla hayajalipuka..baba Membe waende kesho hao hahahahaaaaaaaaaaa
 
Duh..... Kuna mbunge alisema wanajeshi wetu wamekaa kidada dada. Nawaonea huruma sana, wasije wakaenda huko badala ya kuwapiga waasi wakaanza kuwaambia askari waasi " kaka muasi, chukua hii bunduki made in Tanga, ina hiliki na mdalasini ndani"

aah bujibuji huyo ashachafua hali ya hewa. Kwiii kwiw kwi
 
napongeza uamuzi wa kuingilia mgogoro wa congo. Kwanza utatupa nafasi ya kuonyesha nguvu yetu kijeshi (project military power),
Pili tutapata nafasi ya kufaidika na rasilimali za Congo...like everybody else
 
operations kama hizi inafaa kuwachukua wanajeshi wastaafu,wale makomandoo wastaafu wachangamkie deal hii
 
Mimi binafsi, I never saw any seriousness on his face. Sorry kwa wale nitakaowakwaza. Sijawahi na sitawahi kuwa na imani na huyo jamaa, eti nasikia ndo anautaka URAIS!!!!!!!!. URAIS is not that cheap!

kuhus askari wetu kuingia congo nakupambana si kitu cha ajabu au kibaya.Ubaya unakuja kama nguvu zao na sadaka yao itafisadiwa, na mwishowe wafe vifo in vain.

Kujitolewa kulinda wengine ktk haki ni sehemu ya maisha yetu ambayo ni noble,ila kufa ukisaidia mwovu ni mbaya.Au ukifa kwa kwa vile Membe anataka urais ni sadaka ovu ya Menge na sia ya wanajeshi.

majesh ya nchi kupelekwa sehemu mbalimbali dunia ni kuwasaidia jifunza tumia vifaa tofauto duniani na kupata uzoefu tofauti wa kivita mbao utakuwa kinga ya Taifa na hazina itakayowasaidia kwenda na dunia kwa jinsi inavyobadilika.

Kamwe msidhani kuwa unaweza ishi na binadamu kwa amani forever, bila kupigana.Kuna watu wachokozi na wenye kupenda tawala wengine dunia nzima .Watu hawa wabaya kila siku wanazaliwa ,wanatengenezwa na jamii ziwazungukazo.Pamoja na sheria kila siku nashuhudia watu wakikata wengie kwa sababu ndogo sana.Mataifa nayo huwa hivyo hivyom, viongozi wenye mhanuko au imani hatarishi.Kua fit muda mingi kunaweza kupa uhuru sana, na hii hufanyika kirahisi kwa kushirikiana na majemshi mengine duniani ili kujua tabia za watu, tamaduni zao na jisni gani zinachangia au kuporomosha maisha binafi
 
Uamuzi wa Tanzania uzingatie historia ya nini kilitokea tulipopeleka majeshi Msumbiji na Congo wakati wa Kabila - Mkubwa. Tumesikia mkuu wa majeshi wa Congo amesimamishwa kazi kwa kuwauzia waasi silaha unatarajia nini? Adui hajulikani hivyo unapata hasara kubwa.

Civil war ni ngumu kuliko vita na nchi kwa vile adui anakuwa hajulikani. Mara ya mwisho vita ya Congo ilisababisha nchi zaidi ya 6 za Afrika kupigana zenyewe kwa zenyewe kwenye ardhi ya Congo. Mimi naona ni bora kulinda mipaka yetu hasa na uingizaji silaha haramu kwa wananchi wa mikoani

COnventional war inaanza kuwa outdated, adui kachukua sura mpya ili aendelee kunyw adamu ya binadamu, na malipo yake watalipa watu wema ili kuleta ukombozi.Ila wakicheza adui pia atatumia walio kambi ya wema kumwaga damu zaidi ya wema bila faida ya kumwondoa muovu.

Mataifa ya maghaibu yaliwekeza sana nguvu na kila kitu ktk un-conventional wars.NI jeshi letu kuchukua data vyema ili baadaye waweze kabilia na vita kama hizi ambazo ni hatari na mbaya sana, na mara nyingine hazina ushahidi wa kuweza mtetea mtu mwema.Hatutopenda wanasiasa na wanajeshi wakubwa wageuze kuw ani mradi bifsi na askari wetu wageuke mamluki binafsi wa hao watu.

Hizi vita ni ngumu sana kuchukua data vyema na kuweza tafsiri report mbalimbali ,sababu zikiwa ni makundi yenye maslahi.watanzania wenye asili ya Congo, rwanda na burundi, wakiingia kule huwa watapigana kw aupande walioagiziwa ila lazima watwasaidia walio kambi nyingine ila wenye asili ya damu.Report zao hazitobeba uhasilia wa chanzo , ni kama vile ingetengezwa tume ya kuchunguza kuungua kwa makanisa na wakawepo washeikh, sijui na aina nani, kw aliyesikiliza kwa makini kauli zao ni wazi kuwa wangedownplay sana souce ya matatizo na kuweka sababu duni kama sijui ugumu wa maisha kwa vijana, sijui muungano, sijui nini na nini.

NI kipindi majeshi yetu yakawa na njia sahihi za kuandika report zisizo amplify hali halisi au hata ku downplay chochote.Kwani vita za miaka ijayo zitakuwa kama civil.Mataifa yapiganayo yatatumia sana rais waliopo nchi jirani wenye asili ya kwao kunzisha vurugu ndnai ya nchi wakati mejeshi yao yakiw aktk vita nyingine, kutakuw ana kutumia dini, kutumia makundi mengine ya kisiasa na kihalifu.
 
arghhhhh...another bullshit from ccm...kama ishu ni kupeleka jeshi congo..aanze membe na mkewe na wanawe..sio watanzania tusiojua nini faida ya kupigana congo...TUSHAKOMBOA NCHI NYINGI KUSINI MWA AFRIKA NA HAKUNA NCHI HATA MOJA INAYOTAWALIWA NA WAKOLONI AFRICA...NOW ITS THEIR TURN KUJIONGOZA BILA MSAADA WA TANZANIA.

HUYU MEMBE ANATAFUTA POLITICAL JUSTIFICATION THROUGH INTERNATIONAL RECOGNITION IN KEEPING "PEACE"..AND TO START WITH ALIANZIA COMMORO NOW HE WANTS US IN DRC..TO HELL WITH THEIR PERSONAL MOTIVATED AMBITIONS....

2015 CCM LAZIMA WANGOOKE..OHHHH MAAAMAA.
 
Nafikiri umetazama karibu sana.

Nafikiri hatuna sababu, haja na zaidi uwezo wa kuwasaidia hawa jamaa. Tanzania kujiingiza kwenye huu mgogoro ni hatari. Mgogoro wa kongo ni zaidi ya Rwanda na Uganda, tafuta docomentary ya Aljezeera ya "Who assacinated Kabila" utagundua hili.

Umasikini tulio nao kwa sehemu fulani ni madhara ya vita ya kagera.vita ni gharama/ghali sana tusijiingize kwenye vita. Usisahau kuna Malawi hatujui litaishaje.

Nafikiri serikali iwe neutral na ilinde mipaka yake, itusaidie kupata maji safi, umeme, huduma za afya, itujengee barabara zaidi nk.


Naunga mkono hoja...

Hakuna sababu yeyote ya TZ kujiingiza kwenye mgogoro huo ... italeta baraaa hata kupelekea kuwepo kwa vikundi vya kiasi vikisaidiwa na uganda na rwanda kama hatua ya kulipiza kisasi...

Upembuzi yakinifu unahitajika sana ktk suala hili, siyo kukurupuka. DRC siyo Madagaska...
 
Lengo letu kupeleka jesh hko ni kupiga jalamba kwa ajili ya watoto wa joisi

Kufanya hivyo ni utaahira... watoto wa Joyce si-chochote. nikuweka rehani maisha na uhai wa askari wetu watukuka bila sababu yeyote ya msingi.. mimi nadhani iwepo haja ya jambo kama hili kupewa kibari na bunge...
 
Back
Top Bottom