britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Naendelea kuja hapa kivingine
Kabla ya kuendelea na declare kwamba Mi ni Mwana CCM nilofanya kazi ngazi zote za chama na kila awamu isipokuwa ya Mwalimu Nyerere,
Kila binadamu Ana mapungufu yake na ndo maana Mazuri ya JPM yapo na Mabaya yapo Pia ,
Niendelee kutumia frusa hii kuwa kumbusha kwamba Tanzania ni yetu sote na hakuna mtanzania zaidi ya mwingine,
Kuna ka kikundi uwa kanajiona wao ndo watanzania kuliko wengine ila kuna kengine nako kanaona ndo kanapaswa kupewa attention.
Faida kuu za Magufuli kuongoza Tanzania
1. Si kila kibaya ni kibaya mengine uletwa liwe funzo, funzo ni kwamba Tanzania haitakuja Tena kucheza na Nafasi ya Juu kumpa yeyote kisa ama kumkomoa mwingine au kisa kuhofia Fulani akitawala inakula kwa Fulani
2. Vetting kwenye kuwapitisha wagombea isiangalie utendaji wa kazi tu maana Magufuli mengine unaweza sema ila ukisema alikuwa mzembe ntabishana na wewe usiku kucha! Ila kupiga kazi si kigezo pekee cha kumpa mtu uongozi..na Yule aloficha faili namba 0332 la hospitali yetu ile kuu alipaswa kujua Taifa litakuja kuingia mkenge.
3. Imetuonesha aina ya wanasiasa hasa CCM tulio nao ni vigeugeu ukianzia na kigwangala ukaenda kwa kina Gambo wana switch kulingana na mdundo, wakati wa Magufuli walikuwa na msimamo fulan baada ya Magu kulala mbele wakageuka hii ni Hatari kwa uso wa dunia na nchini
4. Somo jingine ni kwamba wakati wa Kutafta Makamu wa Rais tuwe makini wenda ndo mnakuwa pia mmechagua Rais ajaye bila kujua, kuna chama fulan cha Upinzani kimewai pitisha mgombea mwenza kichekesho, kwa kuamini kwamba Rais anapaswa asiwe na vice threat wanasahau Katiba hii hata Dr Mpango japo Mungu aepushe mbali unaweza amka ukakuta ye ndo Rais wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba
5.Somo kwa Machawa wa Marais wamepata Somo kwamba usimdharau makamu wake akiondoka Rais Huyo Makamu ndo boss cc Polepole na Sabaya! Heshimu watu wote
6. Imetufundisha kwamba Taasisi nyingi za Tanzania hazina meno wanasikilizia Mungu mtu magogoni atasema nini wao wanafuata Mkumbo kwa kinachompendeza Mkuu wao wala si maslahi ya nchi ..
7. Imeleta funzo kwa watanzania miaka 6 wakiwa kifungoni bila kujua, hawakuwa huru
Nawaambia jambo moja Mwaka mmoja nilikutana na Marehemu Magufuli mlimani city kwenye sherehe za wakadiriaji majenzi, akawa anamwambia katibu wao tukiwa sehemu tunapata soda kwamba “hawa wanakusumbua kisa umewapa uhuru wa kutoa Mawazo Yao sana akasisitiza ukitaka uongoze vizuri wanyime uhuru Huo na pia hawatakuyumbisha nikasoma kitu hapo akiwa waziri
Soma Pia
Kabla ya kuendelea na declare kwamba Mi ni Mwana CCM nilofanya kazi ngazi zote za chama na kila awamu isipokuwa ya Mwalimu Nyerere,
Kila binadamu Ana mapungufu yake na ndo maana Mazuri ya JPM yapo na Mabaya yapo Pia ,
Niendelee kutumia frusa hii kuwa kumbusha kwamba Tanzania ni yetu sote na hakuna mtanzania zaidi ya mwingine,
Kuna ka kikundi uwa kanajiona wao ndo watanzania kuliko wengine ila kuna kengine nako kanaona ndo kanapaswa kupewa attention.
Faida kuu za Magufuli kuongoza Tanzania
1. Si kila kibaya ni kibaya mengine uletwa liwe funzo, funzo ni kwamba Tanzania haitakuja Tena kucheza na Nafasi ya Juu kumpa yeyote kisa ama kumkomoa mwingine au kisa kuhofia Fulani akitawala inakula kwa Fulani
2. Vetting kwenye kuwapitisha wagombea isiangalie utendaji wa kazi tu maana Magufuli mengine unaweza sema ila ukisema alikuwa mzembe ntabishana na wewe usiku kucha! Ila kupiga kazi si kigezo pekee cha kumpa mtu uongozi..na Yule aloficha faili namba 0332 la hospitali yetu ile kuu alipaswa kujua Taifa litakuja kuingia mkenge.
3. Imetuonesha aina ya wanasiasa hasa CCM tulio nao ni vigeugeu ukianzia na kigwangala ukaenda kwa kina Gambo wana switch kulingana na mdundo, wakati wa Magufuli walikuwa na msimamo fulan baada ya Magu kulala mbele wakageuka hii ni Hatari kwa uso wa dunia na nchini
4. Somo jingine ni kwamba wakati wa Kutafta Makamu wa Rais tuwe makini wenda ndo mnakuwa pia mmechagua Rais ajaye bila kujua, kuna chama fulan cha Upinzani kimewai pitisha mgombea mwenza kichekesho, kwa kuamini kwamba Rais anapaswa asiwe na vice threat wanasahau Katiba hii hata Dr Mpango japo Mungu aepushe mbali unaweza amka ukakuta ye ndo Rais wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba
5.Somo kwa Machawa wa Marais wamepata Somo kwamba usimdharau makamu wake akiondoka Rais Huyo Makamu ndo boss cc Polepole na Sabaya! Heshimu watu wote
6. Imetufundisha kwamba Taasisi nyingi za Tanzania hazina meno wanasikilizia Mungu mtu magogoni atasema nini wao wanafuata Mkumbo kwa kinachompendeza Mkuu wao wala si maslahi ya nchi ..
7. Imeleta funzo kwa watanzania miaka 6 wakiwa kifungoni bila kujua, hawakuwa huru
Nawaambia jambo moja Mwaka mmoja nilikutana na Marehemu Magufuli mlimani city kwenye sherehe za wakadiriaji majenzi, akawa anamwambia katibu wao tukiwa sehemu tunapata soda kwamba “hawa wanakusumbua kisa umewapa uhuru wa kutoa Mawazo Yao sana akasisitiza ukitaka uongoze vizuri wanyime uhuru Huo na pia hawatakuyumbisha nikasoma kitu hapo akiwa waziri
Soma Pia
Magufuli: Nilipanga kuchukua timu ya jeshi iwe ya Taifa
Kuanzia asubuhi jioni wao uwe mpira tu anayeshindwa apigwe rock up, hayo ni maneno aloyasema kipindi cha nyuma Ikulu, kutokana na matokeo mabovu ya stars ya kila wakati
www.jamiiforums.com
Je, Udini nani wa kuukomesha mtiririko wa udini unaoanza kuibuka ndani ya Watanzania?
Tusijidanganye kwamba hakuna udini unaoanza kuibuka baina ya Watanzania, Tusiwaone viongozi wetu saa nyingine wanaudhuria misiba ya wadini kwao tofauti, au wanafuturisha huku wakiwa dini tofauti, mkadhani bado taifa limesimama imara kama inavyosemwa Kwa sasa hata taasisi na forums kama JF...
www.jamiiforums.com
Kwanini Chato?
Kimsingi sikuona sababu za hifadhi ile kuitwa CHATO, Ukiangalia kwa umakini vitu vilivyosababisha ile hifadhi kupandishwa hadhi havipatikani Chato Tunaijua Chato kama sehem ya kagera kabla ya mwaka 2013, lakin baada ya kutengwa ikawa miongoni mwa eneno ya Geita tulidhani sarakasi zitaishia...
www.jamiiforums.com
Dr. Muzamili Mussa Kalokola, muhaya nshomile na Urais, infact Kikwete anamsapoti
Kwa mfuatiliaji mzuri sana wa mambo ya siasa na Taifa ili tuna watu watatu ambao ni wa kuangalia kwa makini, 1.Makongoro Nyerere, Mzanaki 2. Muzamir kalokola - Mhaya 3. John Magufuli- Mzinza(Mchanganyiko muhaya na wasukuma au wasuubi wa biharamulo) Ukabila mnaukataa lakin hawa viongozi wana...
www.jamiiforums.com