Kama Spika wa Zamani Job Ndugai alijiuzulu, nitashangaa Dkt. Bashiru akibaki na Ubunge wake. Aonyeshe uzalendo wa kutoridhishwa na watawala

Mm simpendi bashiru hila ktk hili amepiga kwenye mshono wa Cham na serekali

Kudos bashiru shusha bomo wakikah vibaya walipue jinsi walivyo mmaliza Dr jpm

Itisha mkutano na wahandishi wa hbr
 
Sasa iko wazi, Dkt. Bashiru Ally Katibu Mkuu wa Zamani wa Chama na Serikali anaonekana kutoridhishwa na watawala waliopo madarakani ambao kwa maneno yake mwenyewe anasema ni wanyonyaji kwa wakulima.

Katibu Mkuu huyo ambaye kabla ya uteuzi wake kuwa Katibu Mkuu wa serikali aliteuliwa kuwa Balozi na aliyekuwa Rais wa JMT Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ameonekana akiwa kama mbogo pale anapotoa hotuba yenye mrengo wa kuhamasisha wakulima dhidi ya watawala na wale anaowaita ni Mawakala wao.

Mawakala wao haikufahamika zaidi ni watu gani lakini anasema ni wale wanaosifia serikali badala ya kudai haki zao.

Kwa kuwa Uzalendo ni kutumikia nchi yako kwa mapenzi na kuridhika na kile kiongozi wako anachofanya kwa Maslahi ya taifa tunatarajia kuona Dkt. Bashiru Ally akiuvua ubunge ambao aliteuliwa na viongozi wa Chama na serikali.

La kama ni maneno tu yamemtoka kwa bahati mbaya basi ajitokeze aombe msamaha kwa Watanzania na serikali kama alivyofanya Mh Spika Ndugai.

Nimekosa mimi nimekosa mimi nimekosa sana.
Kwani lazima kila mbunge aimbe pambio?
 
Sasa iko wazi, Dkt. Bashiru Ally Katibu Mkuu wa Zamani wa Chama na Serikali anaonekana kutoridhishwa na watawala waliopo madarakani ambao kwa maneno yake mwenyewe anasema ni wanyonyaji kwa wakulima.

Katibu Mkuu huyo ambaye kabla ya uteuzi wake kuwa Katibu Mkuu wa serikali aliteuliwa kuwa Balozi na aliyekuwa Rais wa JMT Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ameonekana akiwa kama mbogo pale anapotoa hotuba yenye mrengo wa kuhamasisha wakulima dhidi ya watawala na wale anaowaita ni Mawakala wao.

Mawakala wao haikufahamika zaidi ni watu gani lakini anasema ni wale wanaosifia serikali badala ya kudai haki zao.

Kwa kuwa Uzalendo ni kutumikia nchi yako kwa mapenzi na kuridhika na kile kiongozi wako anachofanya kwa Maslahi ya taifa tunatarajia kuona Dkt. Bashiru Ally akiuvua ubunge ambao aliteuliwa na viongozi wa Chama na serikali.

La kama ni maneno tu yamemtoka kwa bahati mbaya basi ajitokeze aombe msamaha kwa Watanzania na serikali kama alivyofanya Mh Spika Ndugai.

Nimekosa mimi nimekosa mimi nimekosa sana.
Huyo hana tofauti na Luhaga Mpina.....sukuma gang wana hasira mpaka wanataka kupasuka 😂😂😂😂
 
Akijiuzulu wananchi wazalendo tutaandamana.Tunataka viongozi wanaojitambua kama hawa siyo wa kusifu kila kitu hata vitu vya kipuuzi.Hata Mimi kauli ya anaupiga mwingi huwa inanikera sana.yaani umeme kutoka 27000 hadi 570000 ndani ya mita30halafu punguani mmoja wa ccm anasema bibi anaupiga mwingi?Huo ni ujinga na 2025 tuna bashiru iki aje awashughulikie hawa wanavyoibaribu nchi yetu
Bashiru huyu huyu chawa wa Magufuli leo ndio amekuwa Mzalendo?/wewe ni kichaa siyo bure.

Bashiru na wapuuzi wenzake ndio wameuwa uchumi wa Tanzania na kuifikisha nchi hapa ilipo.
 
Sasa iko wazi, Dkt. Bashiru Ally Katibu Mkuu wa Zamani wa Chama na Serikali anaonekana kutoridhishwa na watawala waliopo madarakani ambao kwa maneno yake mwenyewe anasema ni wanyonyaji kwa wakulima.

Katibu Mkuu huyo ambaye kabla ya uteuzi wake kuwa Katibu Mkuu wa serikali aliteuliwa kuwa Balozi na aliyekuwa Rais wa JMT Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ameonekana akiwa kama mbogo pale anapotoa hotuba yenye mrengo wa kuhamasisha wakulima dhidi ya watawala na wale anaowaita ni Mawakala wao.

Mawakala wao haikufahamika zaidi ni watu gani lakini anasema ni wale wanaosifia serikali badala ya kudai haki zao.

Kwa kuwa Uzalendo ni kutumikia nchi yako kwa mapenzi na kuridhika na kile kiongozi wako anachofanya kwa Maslahi ya taifa tunatarajia kuona Dkt. Bashiru Ally akiuvua ubunge ambao aliteuliwa na viongozi wa Chama na serikali.

La kama ni maneno tu yamemtoka kwa bahati mbaya basi ajitokeze aombe msamaha kwa Watanzania na serikali kama alivyofanya Mh Spika Ndugai.

Nimekosa mimi nimekosa mimi nimekosa sana.
Bumbafu wewe kwahiyo mtu asitoe maoni? Lazima asifie serikali hatakama inakosea? Umeme shida, maji shida, chakula ghali nashida, elimu hovyo alafu tusiikosoe serikali tubaki tunaisifia daima!!! Stupid nonsense...
Bashiru atulie walioguswa pabaya waweweseke akiondolewa bungeni atakuwa kaondoka kishujaa! Hakuna kuomba msamaa naamini hato tuangusha sisi tunaopenda kuusema ukweli
 
Bashiru huyu huyu chawa wa Magufuli leo ndio amekuwa Mzalendo?/wewe ni kichaa siyo bure.

Bashiru na wapuuzi wenzake ndio wameuwa uchumi wa Tanzania na kuifikisha nchi hapa ilipo.
Samia amefufua nini?
Umeme zero, maji zero, njaa kilo 3000 kwa kilo toka 1500, vifo vimeongezeka , mazingira zero mpaka MTO ruaha umekauka.
Elimu mikopo kila kona lakini ufauru unadidimia.
Ilikuwa royal tour na corona , ikawa censorship kwa helicopter wakati Bukoba wanakufa hakuna helicopter ya wokozi!!
Shame shame.
 
Sasa iko wazi, Dkt. Bashiru Ally Katibu Mkuu wa Zamani wa Chama na Serikali anaonekana kutoridhishwa na watawala waliopo madarakani ambao kwa maneno yake mwenyewe anasema ni wanyonyaji kwa wakulima.

Katibu Mkuu huyo ambaye kabla ya uteuzi wake kuwa Katibu Mkuu wa serikali aliteuliwa kuwa Balozi na aliyekuwa Rais wa JMT Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ameonekana akiwa kama mbogo pale anapotoa hotuba yenye mrengo wa kuhamasisha wakulima dhidi ya watawala na wale anaowaita ni Mawakala wao.

Mawakala wao haikufahamika zaidi ni watu gani lakini anasema ni wale wanaosifia serikali badala ya kudai haki zao.

Kwa kuwa Uzalendo ni kutumikia nchi yako kwa mapenzi na kuridhika na kile kiongozi wako anachofanya kwa Maslahi ya taifa tunatarajia kuona Dkt. Bashiru Ally akiuvua ubunge ambao aliteuliwa na viongozi wa Chama na serikali.

La kama ni maneno tu yamemtoka kwa bahati mbaya basi ajitokeze aombe msamaha kwa Watanzania na serikali kama alivyofanya Mh Spika Ndugai.

Nimekosa mimi nimekosa mimi nimekosa sana.
Hawezi kujihuzulu, per diem 250,000 + sitting 300,000 =550,000 kwa siku akiwa bungeni x 16 siku + 14 za kamati total = 16,500,000 + 12,000,000 nje na rushwa kwa mwezi 28,500,000 hiyo ni mwezi mmoja broo
 
Tuweke sawa kumbukumbu.
Ndugai alifukuzwa kwanza kabla ya kutangaza kujiuzulu.tuendelee na mada
 
Kwa kuwa Uzalendo ni kutumikia nchi yako kwa mapenzi na kuridhika na kile kiongozi wako anachofanya kwa Maslahi ya taifa tunatarajia kuona Dkt. Bashiru Ally akiuvua ubunge ambao aliteuliwa na viongozi wa Chama na serikali.
Kk uzalendo au mzalendo sio lazima ukubaliane na kila matakwa ya kiongozi wako,

uzalendo Ni kukubaliana na matakwa yakiongozi wako pale anapokuwa sahihi kwa maslahi ya nchi, kama kiongozi wako yuko kinyume na maslahi ya nchi hapa ndo mzalendo hutakiwa kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi.

Kwa mtazamo wangu, Dr. Bashiru wala Hana haja ya kujivua ubunge hapa na badala yake awe tayal na matokeo yawale wasioridhika na kauli yake hi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi wa CCM ajiuzulu kwa kupenda mwenyewe haipo hiyo.

Waache waumbuane kutusaidia wapigakura
Labda kabla hatujakimbilia aniuzu,ebu tuaangalieni hayo Maneno aliyosema yana ukweli wowote ule!? Je Nini hatima ya Taifa hili Kama hayo anayosema ni kweli!!??
 
Ajiuzulu kwa misingi ipi?
watanzanzania ni mazwazwa mtu anaandaa bandiko eti aiombe msamaha serikali,
wakati kasema ukweli.
I join with Bashiru.
Ukweli usemwe
 
Labda kabla hatujakimbilia aniuzu,ebu tuaangalieni hayo Maneno aliyosema yana ukweli wowote ule!? Je Nini hatima ya Taifa hili Kama hayo anayosema ni kweli!!??
Unajua hata shetani anafahamu kuwa Mbinguni ni pazuri lakini anahakikisha hakuna anayekwenda huko.

Alichoongea Bashiru ni ukweli 200%. Lakini he is part of our failures
 
Kwa kuwa Uzalendo ni kutumikia nchi yako kwa mapenzi na kuridhika na kile kiongozi wako anachofanya kwa Maslahi ya taifa tunatarajia kuona Dkt. Bashiru Ally akiuvua ubunge ambao aliteuliwa na viongozi wa Chama na serikali.
Uongozi ni pamoja na kuwaonya viongozi wenzio unapoona haulizishwi na mienendo yao. Platform aliyopo inamruhusu kufanya hayo.

Na anaitumia hiyo plaform, kosa lake lipi sasa.?Basi samia nae ajiudhuru kwa kutofurahishwa na utendaji wa wateule wake.
 
Unajua hata shetani anafahamu kuwa Mbinguni ni pazuri lakini anahakikisha hakuna anayekwenda huko.

Alichoongea Bashiru ni ukweli 200%. Lakini he is part of our failures
Hana cha kuwambi watanzania wakamwelewa
 
Akijiuzulu wananchi wazalendo tutaandamana.Tunataka viongozi wanaojitambua kama hawa siyo wa kusifu kila kitu hata vitu vya kipuuzi.Hata Mimi kauli ya anaupiga mwingi huwa inanikera sana.yaani umeme kutoka 27000 hadi 570000 ndani ya mita30halafu punguani mmoja wa ccm anasema bibi anaupiga mwingi?Huo ni ujinga na 2025 tuna bashiru iki aje awashughulikie hawa wanavyoibaribu nchi yetu
Viongozi wanaojitambua 2015-2020 kama akina Bashiru mbona walikuwa hatarini sana? Iweje leo
 
Sasa utaumia wakati CCM fursa kibao? CCM wanachogombea ni ukubwa tu wa Keki unayomegewa lakini hakuna anayekosa

Kama unabisha muulize mwenyekiti wa Bawacha Halina Mdee na mwenyekiti wa Bavicha mh Patrobas Katambi na Makatibu Wakuu wa Chadema Taifa Dr Slaa na yule Dr mwingine mumewe Nusrat
Umekosa hoja John
 
Mbona Kinana alishawai kuwatetea wakulima? Tuanzie hapo kwanza ,Maneno aliyoyasema bashiru kuwatetea wakulima ni ya uongo? Ni lini wakulima wa nchi hii walishafurahisha/kutendewa vyema na serikali pasipo kulalamikiwa? Kwahiyo Kinana au Bashiru akijitokeza kuwasemea ndio kusema anaisema vibaya serikali?

Kwasasa kuna mgao mkubwa wa umeme na maji ,je kiongozi wa ccm akija kusema haya utasema anaisema vibaya serikali,kwenye tatizo la maji na umeme serikali inalaumiwa kwa 100% ,maana tuna vyanzo vyote vya umeme ,makaa ya mawe ,upepo ,jua ,gesi ,nuclear ,thermal energy ,biogas etc ,serikali imejikita kwenye source moja ya maji tu.
Alichokosea ni kuhamasisha uchochezi. Eti wakulima wawatishe watawala.
 
Back
Top Bottom