BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,173
- 2,277
Baada ya Wananchi kupoteza mechi ya Leo huku kukiwa na matumaini hafifu kwenye re-match tunaweza kusema wachezaji wetu wamekufaje? Simba wao walisema walikufa kiume.
Matumaini siyo hafifu. Ni makubwa sana.Baada ya Wananchi kupoteza mechi ya Leo huku kukiwa na matumaini hafifu kwenye re-match tunaweza kusema wachezaji wetu wamekufaje? Simba wao walisema walikufa kiume.
Hunizidi furaha mkuuYAANI HAPA NIMEFURAAHI MPAKA KUMOYO...USM ALGER WAMETUPA RAHA KWAKWELI
YAANI HATA MTAANI KUNA AMANI SASAHunizidi furaha mkuu
Kolowizards wa kwanza kuongea kwa hekima.Mechi ya marudiano ndio tutajua kwamba jamaa amekufa vp
Haa Aibu Yao Wenyewe Mara Million 60,Mara Inachukua Kombe😆 😆 Wamekufa kindezi
DuuuuuWamekufa kibudu