Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,285
- 2,043
Hakika ni Jambo la AIBU na AJABU kwa Serikali kukataa KIPOKEA MISAADA iliyopelekwa na CHADEMA kwa Watanzania wenzao waliopata JANGA la MAFURIKO na wengi kufa na wengine kulazwa huku wengine wakiendelea kutafutwa.
Na kama Serikali ilikuwa haiwataki Waliopeleka MISAADA yaani VIONGOZI wa CHADEMA basi INGEKUBALI MISAADA iliyopelekwa na CHADEMA kwa WAHANGA wanaotaka hiyo MISAADA kwani hiyo MISAADA imechangwa na Watanzania wenye Uchungu na Maafa yaliyowapata Watanzania wenzao na SIO VIONGOZI wa CHADEMA tu.
Inavyoonekana CCM imeingiza SIASA kwenye hili Janga na kusahau kuwa hata hiyo MICHANGO inayotolewa na SERIKALI ni KODI za Watanzania bila kujali ITIKADI za WALIPA KODI.
CCM iache UBAGUZI usio na TIJA kwa TAIFA kwenye MASUALA na MATUKIO MAZITO Kama haya.
Watanzania tukemee hii TABIA ya UBAGUZI kwani inatengeneza CHUKI kwa WANANCHI.
Na kama Serikali ilikuwa haiwataki Waliopeleka MISAADA yaani VIONGOZI wa CHADEMA basi INGEKUBALI MISAADA iliyopelekwa na CHADEMA kwa WAHANGA wanaotaka hiyo MISAADA kwani hiyo MISAADA imechangwa na Watanzania wenye Uchungu na Maafa yaliyowapata Watanzania wenzao na SIO VIONGOZI wa CHADEMA tu.
Inavyoonekana CCM imeingiza SIASA kwenye hili Janga na kusahau kuwa hata hiyo MICHANGO inayotolewa na SERIKALI ni KODI za Watanzania bila kujali ITIKADI za WALIPA KODI.
CCM iache UBAGUZI usio na TIJA kwa TAIFA kwenye MASUALA na MATUKIO MAZITO Kama haya.
Watanzania tukemee hii TABIA ya UBAGUZI kwani inatengeneza CHUKI kwa WANANCHI.