Kalynda na dada zake, bila Serikali inayolinda watu wake Watanzania watalizwa sana

Cashman

JF-Expert Member
Jun 8, 2018
2,293
3,965
Humu duniani kuna hatari nyingi sana. Hata kuweka pesa kwenye akaunti tu ni hatari kubwa. Kwani wakiamua kukitapeli wanaweza na serikali ikinyamaza hiyo itakuwa imekwisha.

Kuna wakati jamaa zangu walitapeliwa na watu wa bitcoin. Lakini nikaja kumsikia Rais wa nchi anapigia upatu mambo ya crytocurrency.

Tuna wasomi, wamepata exposure kwa gharama ya kodi zetu, lakini hawawezi kutulinda hata wakiwa serikalini.
Hatujui iwapo biashara ya crytocurrency ni ya kweli hadi tutapeliwe kwanza.

Tumekuwa wahanga wa makampuni ya kitapeli mengi yanayopata leseni na vibali vya kufanya kazi nchini. Huenda ikawa ni njia ya serikali kujiingizia kipato, lakini mi nasema ni uonevu mkubwa.

Hata hivyo baada ya kutapeliwa na Kalynda safari hii, tunasubiri kutukanwa tena kuwa hatuna akili na tuna tamaa ya pesa.

Bado makampuni ya crytocurrency yanakuja kuvuna tena mapesa ya bure kwa Watanzania. Zitatumika kauli za Rais jinsi alivyoisemea na hakuna mtu wa serikalini ataingilia kati kuokoa pesa za Watanzania.

Wakati wa Hayati Magufuli usingeona ujinga kama huu. Na hakika, kama ningekuwa Rais, ningewapoteza mmoja baada ya mwingine wanaosaidia utapeli huu. Maana huu ni ugaidi wa uchumi.

Unawafanya watu waogope kutumia fursa halali za kibiashara kimataifa, kwa kuwa hakuna usalama na serikali hailindi watu binafsi wanaohatarisha kufanya biashara kama hizi.
 
Humu duniani kuna riski nyingi sana.Hata kuweka pesa kwenye akaunti tu ni risk kubwa. Kwani wakiamua kukitapeli wanaweza na serikali ikinyamaza hiyo itakuwa imekwisha.

Kuna wakati jamaa zangu walitapeliwa na watu wa bitcoin. Lakini nikaja kumsikia Rais wa nchi anapigia upatu mambo ya crytocurrency.

Tuna wasomi,wamepata exposure kwa gharama ya kodi zetu,lakini hawawezi kutulinda hata wakiwa serikalini.
Hatujui iwapo biashara ya crytocurrency ni ya kweli hadi tutapeliwe kwanza.

Tumekuwa wahanga wa makampuni ya kitapeli mengi yanayopata leseni na vibali vya kufanya kazi nchini.
Huenda ikawa ni njia ya serikali kujiingizia kipato,lakini mi nasema ni uonevu mkubwa.

Hata hivyo baada ya kutapeliwa na Kalynda safari hii,tunasubiri kutukanwa tena kuwa hatuna akili na tuna tamaa ya pesa.

Bado makampuni ya crytocurrency yanakuja kuvuna tena mapesa ya bure kwa watanzania. Zitatumika kauli za Rais jinsi alivyoisemea na hakuna mtu wa serikalini ataingilia kati kuokoa pesa za watanzania.

Wakati wa Magufuli,usingeona ujinga kama huu. Na hakika,kama ningekuwa Rais, ningewapoteza mmoja baada ya mwingine wanaosaidia utapeli huu.
Maana huu ni ugaidi wa uchumi.

Unawafanya watu waogope kutumia fursa halali za kibuashara kimataifa, kwa kuwa hakuna usalama na serikali hailindi watu binafsi wanaorisk kufanya biashara kama hizi
Block chain Technology ama decentralized finance ni mfumo unaojioperate bila third party involvement kwamba mpe mtu pesa sijui akufanyie nini hapn ni wewe kuamua una own digital currencies I.e BTC,Luna,Eth katika online wallet ipi sio ku invest kwa makampuni upate return na hizi ni long term investment..
Inshu kubwa hapa ni elimu hafifi ya decentralized finance na Technology kwa watanzania wengi hivo Tunakurupuka tukisikia kuna Hela.

Am signing Out Dr D.P Mihayoh
 
Block chain Technology ama decentralized finance ni mfumo unaojioperate bila third party involvement kwamba mpe mtu pesa sijui akufanyie nini hapn ni wewe kuamua una own digital currencies I.e BTC,Luna,Eth katika online wallet ipi sio ku invest kwa makampuni upate return na hizi ni long term investment..
Inshu kubwa hapa ni elimu hafifi ya decentralized finance na Technology kwa watanzania wengi hivo Tunakurupuka tukisikia kuna Hela.

Am signing Out Dr D.P Mihayoh
Nina uhakika hajaelewa
 
Humu duniani kuna riski nyingi sana.Hata kuweka pesa kwenye akaunti tu ni risk kubwa. Kwani wakiamua kukitapeli wanaweza na serikali ikinyamaza hiyo itakuwa imekwisha.

Kuna wakati jamaa zangu walitapeliwa na watu wa bitcoin. Lakini nikaja kumsikia Rais wa nchi anapigia upatu mambo ya crytocurrency.

Tuna wasomi,wamepata exposure kwa gharama ya kodi zetu,lakini hawawezi kutulinda hata wakiwa serikalini.
Hatujui iwapo biashara ya crytocurrency ni ya kweli hadi tutapeliwe kwanza.

Tumekuwa wahanga wa makampuni ya kitapeli mengi yanayopata leseni na vibali vya kufanya kazi nchini.
Huenda ikawa ni njia ya serikali kujiingizia kipato,lakini mi nasema ni uonevu mkubwa.

Hata hivyo baada ya kutapeliwa na Kalynda safari hii,tunasubiri kutukanwa tena kuwa hatuna akili na tuna tamaa ya pesa.

Bado makampuni ya crytocurrency yanakuja kuvuna tena mapesa ya bure kwa watanzania. Zitatumika kauli za Rais jinsi alivyoisemea na hakuna mtu wa serikalini ataingilia kati kuokoa pesa za watanzania.

Wakati wa Magufuli,usingeona ujinga kama huu. Na hakika,kama ningekuwa Rais, ningewapoteza mmoja baada ya mwingine wanaosaidia utapeli huu.
Maana huu ni ugaidi wa uchumi.

Unawafanya watu waogope kutumia fursa halali za kibuashara kimataifa, kwa kuwa hakuna usalama na serikali hailindi watu binafsi wanaorisk kufanya biashara kama hizi
Bitcoin ni sarafu halali ya kidijitali, nadhani unazungumzia bitclub ambao walijinasibu kufanya biashara ya bitcoin kumbe matapeli, wakakimbia na mizigo ya watu!
 
Block chain Technology ama decentralized finance ni mfumo unaojioperate bila third party involvement kwamba mpe mtu pesa sijui akufanyie nini hapn ni wewe kuamua una own digital currencies I.e BTC,Luna,Eth katika online wallet ipi sio ku invest kwa makampuni upate return na hizi ni long term investment..
Inshu kubwa hapa ni elimu hafifi ya decentralized finance na Technology kwa watanzania wengi hivo Tunakurupuka tukisikia kuna Hela.

Am signing Out Dr D.P Mihayoh
Ulitaka kusemaje kwani bwashee? Mbona kama upo ukoo mmoja na akina Kilinda?
 
Ulitaka kusemaje kwani bwashee? Mbona kama upo ukoo mmoja na akina Kilinda?
Kusema bitcoin ni sawa na kalynda ni sawa na kusema pesa halali kwa malipo ya kitanzania ni sawa na kalynda.
Bitcoin ni digital currency halali. Ila kuna watu wanaojitokeza ndio wanawadanganya kuwa mtoe pesa wawasaidie kununua na kutrade bitcoin kisa wanakimbia na pesa yako. Hilo haliifanyi bitcoin kuwa utapeli ila ni kwamba umetapeliwa kama ambavyo unaweza kutapeliwa na wale wa mpesa hii pesa tuma huku.
 
Back
Top Bottom