Kama Plato aliishi miaka 3000 kabla ya yesu na maandiko yake yapo hadi leo kwanini tusiamini uwepo wa Yesu kama Mungu?

Leo unaita 2018 unajua ni kwanini ni 2018 na si vingine!!!??halafu ujikute nawe ni msomi wa chuo kikuu☹️☹️☹️
Ndio mkuu ningekuwa sijasoma wala nisingekuwa huru kifikra kama wewe ulivyo katika comfort zone ukijidanganya na mambo ambayo hayana ushahidi wowote.

Jiongeze mkuu waza nje ya box usikariri tu na kubugia kila unacholishwa. 😁
 
Kwasababu sijasema kile unachotaka kusikia mkuu.
Hapana mkuu:
Mimi nafikir hapa sio kila nikiingia Basi nikutane na kile tu ninachohtaji kukisikia Bali kuna mapya kabsa naweza vipata.
Sasa Fikiria jambo hili ili uelewe. WAZUNGU usipowasikiliza kwa makini utapata kizunguzungu vema tu!

Wao wamekupa Historia ya Huyo jamaa na ushahid wa uwepo wake kwasababu kaz zake zilikuw za mikono so zilihifadhiwa.
Yesu Historia yake tunaipata katka Biblia na huenda anajulikana zaidi kuliko huyo jamaa anaejulikana kwa walioenda shule tu!!

Leo hii wako watu wanaosema hawamjui YESU wakati Leo tunasema tar 17/10/2018 karne ya 21 Baada ya Yesu kuzaliwa ....yaani Leo Ni mwaka wa 2018 TANGU azaliwe Jamaa mmoja wa Israel anaitwa Yesu aliebadilisha historia ya Dunia.....
.hadi kukawa na mtindo wa BC/AD

Ukitaka kumpa mtu story ya kale lazma umwambie mtu hii story ilikuw kabla ya YESU (KK)
Au Baada ya YESU (BK).

Sasa Sielew NDUGU we humjui Yesu kwa namna gani;
 
Wana jukwaa pendwa naomba niulize swali kama habari za Plato na Aristotle ni za kweli na ziko documented kwann tutilie shaka kuwepo kwa yesu kristo wakati plato aliishi miaka elfu kabla ya yesu karibuni

Ahaekula lazima aende maliwatoni.

Mungu hana sifa hiyo.
 
Wana jukwaa pendwa naomba niulize swali kama habari za Plato na Aristotle ni za kweli na ziko documented kwann tutilie shaka kuwepo kwa yesu kristo wakati plato aliishi miaka elfu kabla ya yesu karibuni

Hii ina prove kabisa huyo Yesu mwenyewe hakuwahi kuwepo.....

He was a made up story of a made up guy from some qualified liers called stupid Jews!
 
Hapana mkuu:
Mimi nafikir hapa sio kila nikiingia Basi nikutane na kile tu ninachohtaji kukisikia Bali kuna mapya kabsa naweza vipata.
Sasa Fikiria jambo hili ili uelewe. WAZUNGU usipowasikiliza kwa makini utapata kizunguzungu vema tu!

Wao wamekupa Historia ya Huyo jamaa na ushahid wa uwepo wake kwasababu kaz zake zilikuw za mikono so zilihifadhiwa.
Yesu Historia yake tunaipata katka Biblia na huenda anajulikana zaidi kuliko huyo jamaa anaejulikana kwa walioenda shule tu!!

Leo hii wako watu wanaosema hawamjui YESU wakati Leo tunasema tar 17/10/2018 karne ya 21 Baada ya Yesu kuzaliwa ....yaani Leo Ni mwaka wa 2018 TANGU azaliwe Jamaa mmoja wa Israel anaitwa Yesu aliebadilisha historia ya Dunia.....
.hadi kukawa na mtindo wa BC/AD

Ukitaka kumpa mtu story ya kale lazma umwambie mtu hii story ilikuw kabla ya YESU (KK)
Au Baada ya YESU (BK).

Sasa Sielew NDUGU we humjui Yesu kwa namna gani;
Mkuu hayo mambo ya Calender ni mambo yakutungwa tu wala hayana usuhiano wowote na Yesu. Ni utaratibu uliowekwa na wasomi tu ili kuleta harmony katika jamii na kuweza kupangilia ratiba za matukio mbali mbali na kumbukumbu mbalimbali duniani.

Ndio maana kwa muslims nao wako mwaka wao wa tofauti japo wakija kwenye upande wa kidunia nao wanatumia Gregorian Calender.

Miaka ya nyuma wenzetu wa Far East (China, Korea, Japan n.k) walikuwa wanaziita siku, miezi, week kwa majina ya wanyama..

Utasikia unaambiwa

"The year of the ox, on the month of the hare, the day of the dog".. Hapo kwa wao wanaelewana vizuri tu.
 
Mkuu hayo mambo ya Calender ni mambo yakutungwa tu wala hayana usuhiano wowote na Yesu. Ni utaratibu uliowekwa na wasomi tu ili kuleta harmony katika jamii na kuweza kupangilia ratiba za matukio mbali mbali na kumbukumbu mbalimbali duniani.

Ndio maana kwa muslims nao wako mwaka wao wa tofauti japo wakija kwenye upande wa kidunia nao wanatumia Gregorian Calender.

Miaka ya nyuma wenzetu wa Far East (China, Korea, Japan n.k) walikuwa wanaziita siku, miezi, week kwa majina ya wanyama..

Utasikia unaambiwa

"The year of the ox, on the month of the hare, the day of the dog".. Hapo kwa wao wanaelewana vizuri tu.
Samahani mkuu kwani ww ulikuwa unahtaji ushahidi ndani ya Dini au Ya Dunia?

Ikiwaunakiri kuwa kalenda ziliandikwa kwa ajili ya kuleta mpangilio wa matukio kwann usikiri kuwa tukio la kuwepo kwa Yesu Duniani Ndo limesababisha pwepo na mfumo mzuri wa kalenda?
Unakataa mfumo wa kalenda ya kidunia hauhusiani na kristo akat ukitaka kumzungumzia plato lazma useme alikuepi KK.

Sikuelew
 
Samahani mkuu kwani ww ulikuwa unahtaji ushahidi ndani ya Dini au Ya Dunia?

Ikiwaunakiri kuwa kalenda ziliandikwa kwa ajili ya kuleta mpangilio wa matukio kwann usikiri kuwa tukio la kuwepo kwa Yesu Duniani Ndo limesababisha pwepo na mfumo mzuri wa kalenda?
Unakataa mfumo wa kalenda ya kidunia hauhusiani na kristo akat ukitaka kumzungumzia plato lazma useme alikuepi KK.

Sikuelew
Wewe ndio lazima useme KK ukitaka kumzungumzia Plato na sio mimi.

Na ndio maana nikakupa mfano wa watu wa Far East ambao hawaamini mambo ya Yesu na bado walikuwa na mfumo wao wa saa na calender.

Kwahiyo usitumie calender kama kigezo cha kutaka kuthibitisha kuwa Yesu alikuwepo.
 
At least nyie huwa mnajalibu ingawa bado.undefinedHata science inakiri pasipo na kitu kuna kitu,yaani vacum inasimama yenyewe ni sign ya kutokuwepo kitu.undefinedSasa Mungu hayupo,ila kuna............
undefinedwengine wanadai BarAbba ndo yesu
 
Matthew 27:11-26(New Revised Standard)Now Jesus stood before the governor; and the governor asked him,Are you the King of the Jews?Jesus said,You say so.But when he was accused by the chief priests and elders, he did not answer. Then Pilate said to him,Do you not hear how many accusations they make against you?But he gave him no answer, not even to a single charge, so that the governor was greatly amazed. Now at the festival the governor was accustomed to release a prisoner for the crowd, anyone whom they wanted. At that time they had a notorious prisoner, called Jesus Barabbas. So after they had gathered, Pilate said to them,Whom do you want me to release for you, Jesus Barabbas or Jesus who is called the Messiah?For he realized that it was out of jealousy that they had handed him over. While he was sitting on the judgment seat, his wife sent word to him,Have nothing to do with that innocent man, for today I have suffered a great deal because of a dream about him.Now the chief priests and the elders persuaded the crowds to ask for Barabbas and to have Jesus killed. The governor again said to them,Which of the two do you want me to release for you?And they said,Barabbas.Pilate said to them,Then what should I do with Jesus who is called the Messiah?All of them said,Let him be crucified!Then he asked,Why, what evil has he done?But they shouted all the more,Let him be crucified!So when Pilate saw that he could do nothing, but rather that a riot was beginning, he took some water and washed his hands before the crowd, saying,I am innocent of this man's blood; see to it yourselves.Then the people as a whole answered,His blood be on us and on our children!So he released Barabbas for them; and after flogging Jesus, he handed him
 
Mapokeo ya kihistoria yanathibitisha existence ya Plato. Kwanza kazi zake bado zipo na zimekuwa na influence kubwa katika jamii since ancient time.

Modern day civilization ime stem from Greek civilization ambao tunajua kuwa wagiriki ndio watu wakwanza kuanzisha civilization ya binadamu kuishi kwa utashi ikiwa ni pamoja na kutunga sheria, kuanzisha mifumo ya elimu na mambo mengi yanayofanyika leo hii duniani.

Wanafalsafa kama Plato na wenzie ndio waliotengeneza hii misingi tunayoiona leo hii na inayoweza kuthibitika kisanyansi.

Lakini kwa suala ya Yesu hizo ni nadharia zilizoanzishwa na baadhi ya watu ambao mpaka leo haijajulikana nia yao ilikua nini lakini hudhaniwa kuwa nia yao ilikuwa ni indoctrination ili kuweza kuwa control wanadamu kwa kuwaogopesha kwa mambo yakutisha yasiyo na proof yoyote.
Kwanini kwa Yesu iwe nadharia na Plato iwe sio?
 
Mapokeo ya kihistoria yanathibitisha existence ya Plato. Kwanza kazi zake bado zipo na zimekuwa na influence kubwa katika jamii since ancient time.

Modern day civilization ime stem from Greek civilization ambao tunajua kuwa wagiriki ndio watu wakwanza kuanzisha civilization ya binadamu kuishi kwa utashi ikiwa ni pamoja na kutunga sheria, kuanzisha mifumo ya elimu na mambo mengi yanayofanyika leo hii duniani.

Wanafalsafa kama Plato na wenzie ndio waliotengeneza hii misingi tunayoiona leo hii na inayoweza kuthibitika kisanyansi.

Lakini kwa suala ya Yesu hizo ni nadharia zilizoanzishwa na baadhi ya watu ambao mpaka leo haijajulikana nia yao ilikua nini lakini hudhaniwa kuwa nia yao ilikuwa ni indoctrination ili kuweza kuwa control wanadamu kwa kuwaogopesha kwa mambo yakutisha yasiyo na proof yoyote.
Akili yako imetiwa giza.
 
Wewe ndio lazima useme KK ukitaka kumzungumzia Plato na sio mimi.

Na ndio maana nikakupa mfano wa watu wa Far East ambao hawaamini mambo ya Yesu na bado walikuwa na mfumo wao wa saa na calender.

Kwahiyo usitumie calender kama kigezo cha kutaka kuthibitisha kuwa Yesu alikuwepo.
Ni ngumu sana kukana uwepo wa Yesu katika Uyahudi. Historian inathibitisha uwepo wake katika jiografia iliyopo hata leo eg mini na majimbo. Historia inawataja watu ambao walikuwa hirimu zake pia inataja watawala ambao walikuwa wakati wake.

Ukikataa uwepo wake kataa na hayo yote.
 
Plato
Wana jukwaa pendwa naomba niulize swali kama habari za Plato na Aristotle ni za kweli na ziko documented kwann tutilie shaka kuwepo kwa yesu kristo wakati plato aliishi miaka elfu kabla ya yesu karibuni
Plato aliishi 435BC wewe hiyo elfu tatu umeitoa wapi? Au uko canada nini manake huko bhange imeanza kuuzwa madukani
 
Back
Top Bottom