Hapa umefel mkuuMapokeo ya kihistoria yanathibitisha existence ya Plato. Kwanza kazi zake bado zipo na zimekuwa na influence kubwa katika jamii since ancient time.
Modern day civilization ime stem from Greek civilization ambao tunajua kuwa wagiriki ndio watu wakwanza kuanzisha civilization ya binadamu kuishi kwa utashi ikiwa ni pamoja na kutunga sheria, kuanzisha mifumo ya elimu na mambo mengi yanayofanyika leo hii duniani.
Wanafalsafa kama Plato na wenzie ndio waliotengeneza hii misingi tunayoiona leo hii na inayoweza kuthibitika kisanyansi.
Lakini kwa suala ya Yesu hizo ni nadharia zilizoanzishwa na baadhi ya watu ambao mpaka leo haijajulikana nia yao ilikua nini lakini hudhaniwa kuwa nia yao ilikuwa ni indoctrination ili kuweza kuwa control wanadamu kwa kuwaogopesha kwa mambo yakutisha yasiyo na proof yoyote.
kama vile Plato anavyobishiwa pia.
Kwasababu sijasema kile unachotaka kusikia mkuu.Hapa umefel mkuu
Mkuu pilato na Plato ni watu wawili tofauti!!!!!!! SHANGAZO!!!!!!!!
umesema miaka 3000 kabla ya Yesu? inamaana miaka tunayo ambiwa yesu alihudumu hapa duniani (30+) huwenda pilato alimhukumu yesu huku yeye (pilato) akiwa na miaka 3030+??
au ni zile kanuni za kuhesabu miaka kurudi nyuma ndio zimetumiia hapa?
Ndugu ama Mimi sijamuelewa mtoa Uzi au sijakuelewa wewe, huyo kasema Plato yaani yule Mwanafalsafa nguli na MTU wa kale sana, ila wewe naona umemsema Pilato....!!!!!!! SHANGAZO!!!!!!!!
umesema miaka 3000 kabla ya Yesu? inamaana miaka tunayo ambiwa yesu alihudumu hapa duniani (30+) huwenda pilato alimhukumu yesu huku yeye (pilato) akiwa na miaka 3030+??
au ni zile kanuni za kuhesabu miaka kurudi nyuma ndio zimetumiia hapa?
ah nlisoma vibaya kumbe plato mwana love for wisdom? sawa nafuta comment yanguMkuu pilato na Plato ni watu wawili tofauti
ni plato mwanafalsafa na mwenzake Socrates na si pilato.Ndugu ama Mimi sijamuelewa mtoa Uzi au sijakuelewa wewe, huyo kasema Plato yaani yule Mwanafalsafa nguli na MTU wa kale sana, ila wewe naona umemsema Pilato....
Eti nini?Mapokeo ya kihistoria yanathibitisha existence ya Plato. Kwanza kazi zake bado zipo na zimekuwa na influence kubwa katika jamii since ancient time.
Modern day civilization ime stem from Greek civilization ambao tunajua kuwa wagiriki ndio watu wakwanza kuanzisha civilization ya binadamu kuishi kwa utashi ikiwa ni pamoja na kutunga sheria, kuanzisha mifumo ya elimu na mambo mengi yanayofanyika leo hii duniani.
Wanafalsafa kama Plato na wenzie ndio waliotengeneza hii misingi tunayoiona leo hii na inayoweza kuthibitika kisanyansi.
Lakini kwa suala ya Yesu hizo ni nadharia zilizoanzishwa na baadhi ya watu ambao mpaka leo haijajulikana nia yao ilikua nini lakini hudhaniwa kuwa nia yao ilikuwa ni indoctrination ili kuweza kuwa control wanadamu kwa kuwaogopesha kwa mambo yakutisha yasiyo na proof yoyote.
Ndio mkuu maana hazina scientific proofEti nini?
Za Yesu ni nadharia?
Ndio mkuu maana hazina scientific proof
Mungu hayupo.