[FONT=trebuchet
ms]Ridiculous stuff zinazoletwa na harusi. Watu badala ya kufocus kwenye
ndoa eti 'Not my type'. Kwani wewe malaika na yeye binadamu? The last
time I checked wote mnabelong to the same specie...Usiseme huendani na
mtu kwa sababu at the end of the day we are all different. Yani kusimama
tu na binadamu mwenzio unaona ni issue? Huendani naye kwa unamuoa wewe?
Hata ukipita mtaani watu wanakusema and frankly waliyokusema wakati
hupo hayakuhusu....
Kiukweli issue yako in utoto too much kiasi kwamba ushauri ni uende
ukakue kwanza[/FONT]
Yakkkkkhhhhhh
Yaani uache kwa maneno ya watu ambao hawakupunguzii wala kukuzidishia???
Huyo bi harusi kama she's a woman enough si aje akwambie mwenyewe kuwa hakutaki......
Kama hao marafiki wanauoendo sana na bibi harusi kwa nini wasingemsaidia wakasimamie mpaka kuwapa shida upande wa biharusi????
Hebu nenda kasimamie....ila.bi harusi akukuketea shombo mpe za uso afterall wao ndio wamekufata na si wewe ulowafata.....
Acha bibi harusi akukatae mwenyewe na usimpe sababu....
Usipende kusimamia
harusi za watu...wanasema ni nuksi... utakuwa huolewi...maana kama huko
under 30 afu umeshakuwa matron mzoefu ina maana unapenda sana
shughuli...
Nijuavyo mimi matron anatakiwa awe tayari kwenye ndoa...
Mi sijawahi kuwa matron na sijawai kuwaza eti ntakuja kukosa matron kisa
nimetolea watu nje waliponiomba niwe msimamizi...
Ridiculous stuff zinazoletwa na harusi. Watu badala ya kufocus kwenye ndoa eti 'Not my type'. Kwani wewe malaika na yeye binadamu? The last time I checked wote mnabelong to the same specie...Usiseme huendani na mtu kwa sababu at the end of the day we are all different. Yani kusimama tu na binadamu mwenzio unaona ni issue? Huendani naye kwa unamuoa wewe? Hata ukipita mtaani watu wanakusema and frankly waliyokusema wakati hupo hayakuhusu....
Kiukweli issue yako in utoto too much kiasi kwamba ushauri ni uende ukakue kwanza
asante mkuu. nafikilia niwambie nasafiri
nakushukuru mtu mkubwa ila sio lazima ku comment uzi wa kitoto.ungepita tu
petcash, ukisoma vizuri
utagunduo huyu mdada ni mwenye majivuno sana na ingawa amejaribu kuweka
mada aonekane kaonewa lakini nahisi huyu dada anatatizo kwenye public
relations hasa ukirefer alisema anapenda sherehe maana ndo zake hizo
kusimamia sasa huenda pozi alizoweka kwenye hyo picha iliwakera
watu.ila dada ananata.
Mmmhhh
Yaani wanawake bwana tuna mambo. ..hivi hapo hao mashost wanaona wivu tu hakuna kingine!
Kwa maoni yangu
Usiache, just do it!ukiacha watafurahi!
Najua utakuwa umemzidi bi harus muonekano mzuri!!!!!
Hahaa haaa
Jus do it
Na yeye bi harusi ni
mzembe, hivi nani siku hizi anachaguliwa maid of honor? Hao rafiki zake
hakuwaona hadi waje wakuombe wewe?? Wewe shoga angu kasimamie vizuri tu
coz hiyo familia ndo wamekuomba. So wewe nenda vizuri tu, na make sure
unaitendea haki hiyo shughuli. Hahaha haya mambo bana unashangaa kila
mtu anawish maid of honor ndo angekuwa mtarajiwaa mwee
Yakkkkkhhhhhh
Yaani uache kwa maneno ya watu ambao hawakupunguzii wala kukuzidishia???
Huyo bi harusi kama she's a woman enough si aje akwambie mwenyewe kuwa hakutaki......
Kama hao marafiki wanauoendo sana na bibi harusi kwa nini wasingemsaidia wakasimamie mpaka kuwapa shida upande wa biharusi????
Hebu nenda kasimamie....ila.bi harusi akukuketea shombo mpe za uso afterall wao ndio wamekufata na si wewe ulowafata.....
Acha bibi harusi akukatae mwenyewe na usimpe sababu....
Ridiculous stuff zinazoletwa na harusi. Watu badala ya kufocus kwenye ndoa eti 'Not my type'. Kwani wewe malaika na yeye binadamu? The last time I checked wote mnabelong to the same specie...Usiseme huendani na mtu kwa sababu at the end of the day we are all different. Yani kusimama tu na binadamu mwenzio unaona ni issue? Huendani naye kwa unamuoa wewe? Hata ukipita mtaani watu wanakusema and frankly waliyokusema wakati hupo hayakuhusu....
Kiukweli issue yako in utoto too much kiasi kwamba ushauri ni uende ukakue kwanza