Kama ni kweli na ushahidi upo....

Kama ni kweli na ushahidi upo....

Hili swala la Makonda mbona limekuwa complicated-in this day and age it should not be happening-could it be analindwa na the master-why don't he just come out and cleanse himself of the dirt
Dah.... Na cha ajabu zaidi...imehit Sana hiki kipindi cha kupambana na watu wa ngada
 
Unataka nilist hapa kama darasani? Njoo ofisini kwetu msemwa advocates it plaza Dar nikupe darassa la kisheria usisahau 50,000 ada ya kuniona.

Nashukuru sana ndugu. Nilikuuliza kwa kuwa ulianza kutoa elimu humu nikadhani ninaweza kupata elimu zaidi toka kwako na wangine wakafaidika pia kupitia jukwaa hili. Samahani sikuelewa kuwa ulikuwa "unaitangaza huduma unayoiuza".
Asante kwa uliyonijuza ndugu lakini kwa sasa sina hicho kiasi nitakapokipata sitachelewa kuja kupata elimu zaidi.
 
Mkuu Nyani Ngabu,mfumo wa kisheria wa nchi yetu ya Tanzania hauruhusu mtu binafsi kumfungulia mwingine,na kuendesha kesi mahakamani,kesi ya jinai. Kinachotakiwa ni kwa mtu mwenye ushahidi dhidi ya jinai ya mwingine kuuwasilisha ushahidi huo kwa mamlaka zinazohusika,mfano polisi au TAKUKURU,ili hatua stahiki zichukukiwe. Mamlaka hizo na nyinginezo,kama Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ndizo zitakazomshtaki mhusika. Ndiyo kusema,wenye kuamua kushtaki au la ni watawala waliopo kwenye mamlaka hizo iwe ushahidi umekabidhiwa au ule walionao wenyewe.
ndiyo mahana Lijuakali kafungwa na Kisena kutoguswa?
 
Kichwa cha habari kinajieleza, Makonda tayari anatuhumiwa, kwanini mamlaka haziwajibiki juu ya tuhuma za huyu bwana mkubwa, wapo watumishi wengi wa serikali saivi baadhi yao, wamefungwa wengine wamefukuzwa kazi, lakini walituhumiwa kama huyu bwana mkubwa, mamlaka zilichukua hatua yakawakuta yalowakuta, why Makonda
 
Siungi mkono kumiliki cheti feki. ila kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake na itategemea huyo mbuzi atafungwa wapi.
 
FB_IMG_1489615885531.jpg
 
Huyu ni kama RizMoko kwa wakati huu. Ama firstboy wetu yani mtoto wa mkubwa yani. Bashite yani.
 
Back
Top Bottom