Kama ndivyo, kuna shida. Kubwa!

Kama ndivyo, kuna shida. Kubwa!

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Leo, nimemuona na kumsikia Wakili Msomi mwenzangu Peter Kibatala (kupitia video clip) akizungumzia uhalali wa barua iliyotumika kufungia makanisa yanayoongozwa na Askofu Gwajima.

Kwa mujibu wa Kibatala na muktadha wa mazungumzo yake ndani ya Mahakama Kuu kule Dodoma, Kanisa lililofungiwa lilijaribu kukata rufaa juu ya uamuzi huo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwa mujibu wa sheria.

Kibatala akaeleza kuwa Waziri husika ametamka kuwa barua husika, pamoja na mambo mengine, SI HALALI. Waziri amesema kuwa hakuna rufaa ya kuishughulikia kwakuwa barua ni batili na uamuzi uliobebwa humo ni batili.

Barua inayosemwa ni batili/si halali ndiyo iliyotumiwa na mamlaka za kiserikali wakiwemo polisi kutekeleza kinachobebwa na barua hiyo. Makanisa Dar es Salaam na Mbeya (penginepo sifahamu) yamefungwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Tumeona na kusikia kuhusu hili. Sasa, imewezekanaje barua batili/isiyo halali kusababisha kufanyika kwa yote haya? Nani huyu aliyeghushi barua hii na kusababisha yote haya? Amefanya haya kwa faida ya nani?

Kama hivyo ndivyo, tupo kwenye tatizo kubwa. Sana! Serikali itusaidie kubaini jambo hili na kukomesha kujirudia kwa jambo kama hili.
 
Petro E. Mselewa umepotea Sana siku hizi.

Angalau sasa unaongea lugha ya kidplomasia. Sisi wengine hatuamini kwenye ule msemo wa "zimwi likujualo..." Kwenye kujihusisha na CCM.

Kutokuwepo kwa haki mahali fulani, ni kutokuwepo kwa haki kila mahali". Martin Luther king.

Tatizo kwetu sisi watanzania haki ni ile tu inayotuhusu au dhuluma ni tendo baya dhidi yetu tu ila wakitendewa wengine ni hakuna tatizo!
 
Petro E. Mselewa umepotea Sana siku hizi.

Angalau sasa unaongea lugha ya kidplomasia. Sisi wengine hatuamini kwenye ule msemo wa "zimwi likujualo..." Kwenye kujihusisha na CCM.

Kutokuwepo kwa haki mahali fulani, ni kutokuwepo kwa haki kila mahali". Martin Luther king.

Tatizo kwetu sisi watanzania haki ni ile tu inayotuhusu au dhuluma ni tendo baya dhidi yetu tu ila wakitendewa wengine ni hakuna tatizo!
Mkuu, mimi nipo. Ninapokosa cha kuandika humu huwa nakuwa msomaji tu
 
Very SIMPLE wanaoteka na kuua umewaona popote!?, Gwajima alisema wazi hawana weledi ila wanashirikiana na polisi. Hapahapa jamii forums, barua ya kwanza kabisa kuletwa humu ilikuwa hata sahihi hakuna, tulipohoji ghafla Moderators wakaufuta Uzi ukapotea, baada ya kama nusu saa hivi Uzi ukaachiwa tena ukiwa na barua yenye sahihi. Nilisema humu kuwa Ile barua imetoka kwa wahuni wanaoshirikiana na polisi wenye vyeo, nao wakafata maelekezo bila kujiridhisha. Mwisho wa siku serikali imeikana barua. Hakuna mamlaka yoyote ya kiserikali iliyowahi kujihusisha na Ile barua directly zaidi ya polisi na mkuu wa wilaya walioingizwa mkenge na wahuni. Ile sahihi ni fake.
 
Kibatala akaeleza kuwa Waziri husika ametamka kuwa barua husika, pamoja na mambo mengine, SI HALALI. Waziri amesema kuwa hakuna rufaa ya kuishughulikia kwakuwa barua ni batili na uamuzi uliobebwa humo ni batili.
Kama ndiyo, Kibatala naye kaenda kufungua kesi dhidi ya nani na kulalamikia nn iwapo barua siyo halali?
 
Leo, nimemuona na kumsikia Wakili Msomi mwenzangu Peter Kibatala (kupitia video clip) akizungumzia uhalali wa barua iliyotumika kufungia makanisa yanayoongozwa na Askofu Gwajima.

Kwa mujibu wa Kibatala na muktadha wa mazungumzo yake ndani ya Mahakama Kuu kule Dodoma, Kanisa lililofungiwa lilijaribu kukata rufaa juu ya uamuzi huo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwa mujibu wa sheria.

Kibatala akaeleza kuwa Waziri husika ametamka kuwa barua husika, pamoja na mambo mengine, SI HALALI. Waziri amesema kuwa hakuna rufaa ya kuishughulikia kwakuwa barua ni batili na uamuzi uliobebwa humo ni batili.

Barua inayosemwa ni batili/si halali ndiyo iliyotumiwa na mamlaka za kiserikali wakiwemo polisi kutekeleza kinachobebwa na barua hiyo. Makanisa Dar es Salaam na Mbeya (penginepo sifahamu) yamefungwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Tumeona na kusikia kuhusu hili. Sasa, imewezekanaje barua batili/isiyo halali kusababisha kufanyika kwa yote haya? Nani huyu aliyeghushi barua hii na kusababisha yote haya? Amefanya haya kwa faida ya nani?

Kama hivyo ndivyo, tupo kwenye tatizo kubwa. Sana! Serikali itusaidie kubaini jambo hili na kukomesha kujirudia kwa jambo kama hili.
Mkuu naomba CV ya huyu Jaji aliyeteuliwa Leo na mama , especially kwenye miaka yake
 
Kama ndiyo, Kibatala naye kaenda kufungua kesi dhidi ya nani na kulalamikia nn iwapo barua siyo halali?
Unajirudisha nyuma kwa kutojua au kwa makusudi.., kanisa zimezingirwa na polisi na kuzungushiwa utepe, na mengine hivyohivyo mikoani kwa barua ya mtandaoni, Kibatala kaandika barua kwa waziri mwenye dhamana kuuliza uhalali wa Ile barua kaambiwa sio halali, bado huelewi!?, ulitaka Kibatala afanyeje ili waumini waendelee na Ibada zao!?
 
Leo, nimemuona na kumsikia Wakili Msomi mwenzangu Peter Kibatala (kupitia video clip) akizungumzia uhalali wa barua iliyotumika kufungia makanisa yanayoongozwa na Askofu Gwajima.

Kwa mujibu wa Kibatala na muktadha wa mazungumzo yake ndani ya Mahakama Kuu kule Dodoma, Kanisa lililofungiwa lilijaribu kukata rufaa juu ya uamuzi huo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwa mujibu wa sheria.

Kibatala akaeleza kuwa Waziri husika ametamka kuwa barua husika, pamoja na mambo mengine, SI HALALI. Waziri amesema kuwa hakuna rufaa ya kuishughulikia kwakuwa barua ni batili na uamuzi uliobebwa humo ni batili.

Barua inayosemwa ni batili/si halali ndiyo iliyotumiwa na mamlaka za kiserikali wakiwemo polisi kutekeleza kinachobebwa na barua hiyo. Makanisa Dar es Salaam na Mbeya (penginepo sifahamu) yamefungwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Tumeona na kusikia kuhusu hili. Sasa, imewezekanaje barua batili/isiyo halali kusababisha kufanyika kwa yote haya? Nani huyu aliyeghushi barua hii na kusababisha yote haya? Amefanya haya kwa faida ya nani?

Kama hivyo ndivyo, tupo kwenye tatizo kubwa. Sana! Serikali itusaidie kubaini jambo hili na kukomesha kujirudia kwa jambo kama hili.
Ni serikali yenyewe ndiyo wamefanya hivi sema tu wamebainika ndiyo wanakuja na ujinga wa kusingizia watu wengine. Hii serikali ya CCM haina viongozi wenye akili sote twajuwa hili, kama tungekuwa na watu wenye akili tungewaachiaje kina Steve Nyerere, Mwijaku, Baba Levo, na Dotto Magari kuwa wasemaji wa Mama Abdul?
 
Very SIMPLE wanaoteka na kuua umewaona popote!?, Gwajima alisema wazi hawana weledi ila wanashirikiana na polisi. Hapahapa jamii forums, barua ya kwanza kabisa kuletwa humu ilikuwa hata sahihi hakuna, tulipohoji ghafla Moderators wakaufuta Uzi ukapotea, baada ya kama nusu saa hivi Uzi ukaachiwa tena ukiwa na barua yenye sahihi. Nilisema humu kuwa Ile barua imetoka kwa wahuni wanaoshirikiana na polisi wenye vyeo, nao wakafata maelekezo bila kujiridhisha. Mwisho wa siku serikali imeikana barua. Hakuna mamlaka yoyote ya kiserikali iliyowahi kujihusisha na Ile barua directly zaidi ya polisi na mkuu wa wilaya walioingizwa mkenge na wahuni. Ile sahihi ni fake.
Tukisema CCM na Police wanaupumbavu wa hali ya juu, huwa tunamaanisha hivi. HII NCHI INA UJINGA MWINGI SANA.
 
Leo, nimemuona na kumsikia Wakili Msomi mwenzangu Peter Kibatala (kupitia video clip) akizungumzia uhalali wa barua iliyotumika kufungia makanisa yanayoongozwa na Askofu Gwajima.

Kwa mujibu wa Kibatala na muktadha wa mazungumzo yake ndani ya Mahakama Kuu kule Dodoma, Kanisa lililofungiwa lilijaribu kukata rufaa juu ya uamuzi huo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwa mujibu wa sheria.

Kibatala akaeleza kuwa Waziri husika ametamka kuwa barua husika, pamoja na mambo mengine, SI HALALI. Waziri amesema kuwa hakuna rufaa ya kuishughulikia kwakuwa barua ni batili na uamuzi uliobebwa humo ni batili.

Barua inayosemwa ni batili/si halali ndiyo iliyotumiwa na mamlaka za kiserikali wakiwemo polisi kutekeleza kinachobebwa na barua hiyo. Makanisa Dar es Salaam na Mbeya (penginepo sifahamu) yamefungwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Tumeona na kusikia kuhusu hili. Sasa, imewezekanaje barua batili/isiyo halali kusababisha kufanyika kwa yote haya? Nani huyu aliyeghushi barua hii na kusababisha yote haya? Amefanya haya kwa faida ya nani?

Kama hivyo ndivyo, tupo kwenye tatizo kubwa. Sana! Serikali itusaidie kubaini jambo hili na kukomesha kujirudia kwa jambo kama hili.
Wakati fulani nilikuwa Lilongwe, Malawi, na kulikuwa na duka limeandikwa "Anything goes."
 
Leo, nimemuona na kumsikia Wakili Msomi mwenzangu Peter Kibatala (kupitia video clip) akizungumzia uhalali wa barua iliyotumika kufungia makanisa yanayoongozwa na Askofu Gwajima.

Kwa mujibu wa Kibatala na muktadha wa mazungumzo yake ndani ya Mahakama Kuu kule Dodoma, Kanisa lililofungiwa lilijaribu kukata rufaa juu ya uamuzi huo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwa mujibu wa sheria.

Kibatala akaeleza kuwa Waziri husika ametamka kuwa barua husika, pamoja na mambo mengine, SI HALALI. Waziri amesema kuwa hakuna rufaa ya kuishughulikia kwakuwa barua ni batili na uamuzi uliobebwa humo ni batili.

Barua inayosemwa ni batili/si halali ndiyo iliyotumiwa na mamlaka za kiserikali wakiwemo polisi kutekeleza kinachobebwa na barua hiyo. Makanisa Dar es Salaam na Mbeya (penginepo sifahamu) yamefungwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi.

Tumeona na kusikia kuhusu hili. Sasa, imewezekanaje barua batili/isiyo halali kusababisha kufanyika kwa yote haya? Nani huyu aliyeghushi barua hii na kusababisha yote haya? Amefanya haya kwa faida ya nani?

Kama hivyo ndivyo, tupo kwenye tatizo kubwa. Sana! Serikali itusaidie kubaini jambo hili na kukomesha kujirudia kwa jambo kama hili.
Iyo barua imeandikwa na Akili mnemba....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom