Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Karma na Laana zipo, na huu si utani. Watu wanapigwa laana asikwambie mtu
Ushahidi mmojawapo wa laana
Enzi hizo nikiwa mtoto, kuna binti aliwahi ingia nyumbani kwao mida ya saa sita usiku, alikuwa anasoma college x mkoani Mwanza. Baada ya mama yake kupayuka, yule binti akaamua kujibishana naye. Ndipo mama kurusha jaro kwa binti. Binti naye kamtwanga mama yake na bakuri la uso. Basi bhana, mama kammwagia mwanae laana kuwa "atakufa kwa ngono" na maneno kemkem ya kuuzunisha. Mjomba wa binti kaja kumchukua na kumtoa mahali hapo. Miaka ikapita, nikakutana na yule binti kwenye bar X akiwa anauza mbususu
Ushahidi wa uwepo wa Karma
Kuna babu mmoja huwa tuna-share ideas za hapa na pale kuhusu maisha. Sometimes hunipa story za maisha yake ya ujana. Aliwahi nisimulia kuwa kuna kipindi walimla binti wa watu mande wakiwa watano nusu wamuue. Sababu ya msingi anadai kuwa binti alikuwa na tabia ya kutukana wanaume wanaomtongoza
Mwezi Desemba mwaka jana, mjukuu wake aliliwa mande na watu sita kwa kosa la kula pesa za vijana wa watu waliozitafuta kwa kubeba vifusi
Kwa ushahidi huo Hii inathibisha wazi uwepo wa laana na karma. Kama Mwenyezi Mungu atavitupilia mbali, wala mande kwa mjukuu wa huyo babu wataadhibiwa kwa kosa lisilowahusu, pia yule binti muuza papuchi ataadhibiwa kwa kosa lisilomhusu
Sababu ya binti kugawa mbususu ni maneno ya mama yake, na sababu ya vijana kula mande ni kwa vile tu iliandikwa kuwa "karma ni lazima ilipe". Hivyo walifanya kwa lengo la maandiko yatimie, na babu aumie roho sawa na jinsi ambavyo binti wa watu walivyomkojolea kipindi kile
Kama Mola atavitupilia mbali vitu hivyo, watu wengi tutaangamia. Kuna watu wanapasua spika za mabinti wa watu, kumbe sio wao, ni karma ya yale yaliyofanywa na ndugu zao kipindi cha nyuma
Inasikitisha sana
Na hili nalo mkalitizame
Ushahidi mmojawapo wa laana
Enzi hizo nikiwa mtoto, kuna binti aliwahi ingia nyumbani kwao mida ya saa sita usiku, alikuwa anasoma college x mkoani Mwanza. Baada ya mama yake kupayuka, yule binti akaamua kujibishana naye. Ndipo mama kurusha jaro kwa binti. Binti naye kamtwanga mama yake na bakuri la uso. Basi bhana, mama kammwagia mwanae laana kuwa "atakufa kwa ngono" na maneno kemkem ya kuuzunisha. Mjomba wa binti kaja kumchukua na kumtoa mahali hapo. Miaka ikapita, nikakutana na yule binti kwenye bar X akiwa anauza mbususu
Ushahidi wa uwepo wa Karma
Kuna babu mmoja huwa tuna-share ideas za hapa na pale kuhusu maisha. Sometimes hunipa story za maisha yake ya ujana. Aliwahi nisimulia kuwa kuna kipindi walimla binti wa watu mande wakiwa watano nusu wamuue. Sababu ya msingi anadai kuwa binti alikuwa na tabia ya kutukana wanaume wanaomtongoza
Mwezi Desemba mwaka jana, mjukuu wake aliliwa mande na watu sita kwa kosa la kula pesa za vijana wa watu waliozitafuta kwa kubeba vifusi
Kwa ushahidi huo Hii inathibisha wazi uwepo wa laana na karma. Kama Mwenyezi Mungu atavitupilia mbali, wala mande kwa mjukuu wa huyo babu wataadhibiwa kwa kosa lisilowahusu, pia yule binti muuza papuchi ataadhibiwa kwa kosa lisilomhusu
Sababu ya binti kugawa mbususu ni maneno ya mama yake, na sababu ya vijana kula mande ni kwa vile tu iliandikwa kuwa "karma ni lazima ilipe". Hivyo walifanya kwa lengo la maandiko yatimie, na babu aumie roho sawa na jinsi ambavyo binti wa watu walivyomkojolea kipindi kile
Kama Mola atavitupilia mbali vitu hivyo, watu wengi tutaangamia. Kuna watu wanapasua spika za mabinti wa watu, kumbe sio wao, ni karma ya yale yaliyofanywa na ndugu zao kipindi cha nyuma
Inasikitisha sana
Na hili nalo mkalitizame