- Thread starter
- #61
Mkuu upo sahihi kwa asilimia 99. Mimi nilishafanya utafiti wa kutosha na kujiridhisha, mwanamke anayetamka maneno ya aina ya hiyo kwa kurudia-rudia, mara nyingi anakuwa ameshakugeuza kama chapati bila ya wewe kujijua.
Sent from my Infinix X697 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X697 using JamiiForums mobile app