The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 19,012
- 54,401
Nature ya Mwanaume ni mamlaka,Authority,hapendi dharau wala kuingiliwa kwenye territory yake,
Mwanaume ni mtawala by nature,Mwanamke akija kwako ina maana ameingia kwenye territory yako ambayo mtawala wake ni wewe,so usikubali Mwanamke awe mtawala wako ndani ya territory yako,asikupande kichwani,simama kama Mwanaume,
Sio kila kitu ni cha kushauriana na Mwanamke wako,vingine ni unatoa tu amri/ maamuzi,usiweke matumaini makubwa kwa mpenzi wako,huyo sio ndugu yako,pia usikubali aanze dharau kwa ndugu zako au wazazi wako coz huko ndio roots ya utawala wako ilipotokea,be strong as a Man.
Mwanaume ni mtawala by nature,Mwanamke akija kwako ina maana ameingia kwenye territory yako ambayo mtawala wake ni wewe,so usikubali Mwanamke awe mtawala wako ndani ya territory yako,asikupande kichwani,simama kama Mwanaume,
Sio kila kitu ni cha kushauriana na Mwanamke wako,vingine ni unatoa tu amri/ maamuzi,usiweke matumaini makubwa kwa mpenzi wako,huyo sio ndugu yako,pia usikubali aanze dharau kwa ndugu zako au wazazi wako coz huko ndio roots ya utawala wako ilipotokea,be strong as a Man.