gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,373
- 17,854
Halafu 2030 wataenda upinzani na mtawaunga mkono kwa oya oyaYAp kuna hatari bado ipo, na hii game bado haijaisha. Voices fro. Within zinaniambia kuna faction ya ccm wata retaliate
Halafu 2030 wataenda upinzani na mtawaunga mkono kwa oya oyaYAp kuna hatari bado ipo, na hii game bado haijaisha. Voices fro. Within zinaniambia kuna faction ya ccm wata retaliate
Bado hujajibu swaliHalafu 2030 wataenda upinzani na mtawaunga mkono kwa oya oya
Iulizeni familia yake, maana kwa sasa CCM haihusiki si mwanachama wakeSawa lakini yuko wapi
ok.Ya wengine yalianza hivi hivi.......Soka, Mdude, Polepole and many many others! Nowhere to be found until this second of an hour!
Muda utaongea.

Umeshawahi kujiuliza tangu Nchimbile atoweke naye kawa adimu?Hata mimi nauliza hivyo hivyo 😳
Hii ni ya Kweli ?! 😁
Labda aje hapa Tlaatlaah ndio nitaamini 😁 !!
Badala ya neno Nonsense! Siku hizi anatumia neno ok , ! 😁Umeshawahi kujiuliza tangu Nchimbile atoweke naye kawa adimu?
Mfano, mimi mdude siwezi msahau hata Ben saanane na Mawazo. Wamekuwa kwenye maisha yangu ya kila siku. Mara ya mwisho nilikuwa na mdude pale Dodoma tukishinikiza Mwabukusi atangazwe. Tukaanza kuimba nyimbo baada ya usalama na Polisi kuingilia uchaguzi. Alikuja tangazwa usiku wa manane.Katika public political domain.......very sad
Ukiona hivyo jua kimemlambaBadala ya neno Nonsense! Siku hizi anatumia neno ok , ! 😁
Dunia inaenda mbio sana 😁
Ya wengine yalianza hivi hivi.......Soka, Mdude, Polepole and many many others! Nowhere to be found until this second of an hour!
Muda utaongea.
Wataretaliate kivipi ?!YAp kuna hatari bado ipo, na hii game bado haijaisha. Voices fro. Within zinaniambia kuna faction ya ccm wata retaliate
Panua wigo wa swali lako, ongezea hivii: na kwa nini mama mzazi na wadogoze Polepole wamenyamaza hawasemi tena?Swali la kujiuliza
Ni kwanini Familia yake ipo Kimya mpaka muda huu?
Sure lo and it's the best answer!
Emmanule Nchimbi ni nani?
Mfano, mimi mdude siwezi msahau hata Ben saanane na Mawazo. Wamekuwa kwenye maisha yangu ya kila siku. Mara ya mwisho nilikuwa na mdude pale Dodoma tukishinikiza Mwabukusi atangazwe. Tukaanza kuimba nyimbo baada ya usalama na Polisi kuingilia uchaguzi. Alikuja tangazwa usiku wa manane.
Wengine mdude mnamjua mtandaoni. Wengine tunamjua kwa wema wake na uthubutu.